Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Wewe ni mganga ?
 
Hataree hebu tuanze kumfuatilia kwa makini tunaweza jifunza kitu
Mimi naamini yeye ni mtu anayeamini katika ndoto... so kuna uwezekano aliona ndotoni... Na mara nyingi akiota basi huwa kweli... Hii hata kwangu iliwahi tokea kwenye janga moja kubwa hapa Tanzania... Asubuhi naamka nakutana na taarifa mbaya za kitaifa...
 
Precision air ila mbili na tatu umeongopa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…