Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu Wana maono.😂😂😂😂😂😂Ndo nataka nimjue maana nimeshangazwa sana.
Umetimia nusu maana precision logo yake sio nyekundu. Huenda utabiri wake ni wa ajali nyingineUtabiri umetimia
Hakuna kitu bhanaKuna watu Wana maono.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisaUtabiri haujatimia, huyu jamaa alisema ndege itakatika vipande viwili na ndege ina beji nyekundu. Lakini sio kweli vyote hivyo
Tuache upuuzi watanzania
YeahUmetimia nusu maana precision logo yake sio nyekundu. Huenda utabiri wake ni wa ajali nyingine
Wabongo hawana haja ya kusoma vzuri wao ndege ni ndegeYeah
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Bukoba leoWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Ukielewa vibaya hutasaidia kituTunaikemea kwa jina la Yesu hiyo roho ya mauti.