DK PDIDYSio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Pesa ya Pasaka kesho ipo boss, mapema asubuhi tu.FT YANGA DRW ✓✓✓✓✓✓✓SIMBA ANAFUNGWA ✓✓✓✓✓✓✓
CHINI ya GOLI 3 ✓✓✓✓✓✓nikokwamassawe
Mpangoo Ya Mungu tusubiri MARUDIANOAiseee we mtu mbaaaaaadd sanaaaa yaaaaani!
Nyuzi zako huwa nazifatilia sana tangu 2021. Na mara nyingi zinakuwa sahihi sana. Ila nasikitika kwanini sikuzingatia utabiri wako kwa mechi ya Simba vs Al Ahly hadi nikapuyanga.
Halafu kuna watu huwa wanasema eti haya mambo hayawezekani. Iiiinnhiiiii 😅🤣 (in Magufuli's voice).P didi unafanya unajimu
rudia kusoma huu mchango wako alafu changia tenaDaah mpira umekushinda Brother Al walivyo Unga vile hizo goli tatu wanazitoa wapi watu wanasafiri na sahani na mapipa kama enzi za kina Jim Mored au Stiven Nemes..
Umetisha mzee babaSio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Nimeshukuru hapa Mpwaa si ulisema twende kucheki gemu na maombi Mamelodi hawajaamini..Mpwaaaa drw umeionaaaaaa .....
Huu sio utabiri ni ubabaishaji, andika matokea halisi sio kubahatishaMpangoo Ya Mungu tusubiri MARUDIANO
YANGA ANAFUNGWA 2-0/2-1/3-0
SIMBA ANAFUNGWA KUANZIA BAO 3 NK