Utabiri wa Sheikh Yahya Hussein mwaka 2006 na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke

huyo mzee aliingia kwenye 18 za GWAJIMA.GWAJIMA akapiga maombi jamaa akakata moto
 
Sasa mbona alishindwa kujitabiria kifo chake?
Ethics haziruhusu. Hata madaktari hawaruhusiwi hata kutibu relatives wao. Na ndio maana na waganga wa kienyeji kuwatafutia watu dawa za utajiri lakini wao hubakia maskini.
 
Kweli nakumbuka kabisaa
 
Interesting! Una maana ya kuwa hata mama Samia naye atatutoka baada ya kuteua makamu wa rais mwingine? Don't tell me that!! Tunahitaji uongozi wake sasa more than ever!
 
Kwahiyo sisi tutaamini vipi Kama hii ni habari ya kweli??
 
Kuamini katika mambo ya utabiri ni moja ya makosa makubwa ya kishirikina kwa mujibu wa Imani ya kiislam
Wewe dini huijui watabiri wengi ni wasomi wakubwa wa dini ya kiislam
 
Basi sawa...kuna kingine tena alichotabiri tukitarajie?
(A)--Alitabiri Simba atafungwa na yanga matokeo yake ikawa tofauti.

Akaokolewa na police baada ya genge la mashabiki wa Simba kuvamia kwake Magomeni..


(B)--Ila ninachokumbuka ni shehe yahya kusema Tanzania itatawaliwa na mwanamke wakati wa mchakato wa uchaguzi na kikwete kupita kupitia ccm.

Akipoulizwa kwann ulisema atashinda mwanamke?

Akasema ktk utabiri wa nyota hazitambuwi majina ya mtu,

Bali nyota zinatambuwa namba.
Kama ilivyo computer.

Kwahyo kikwete ana nyota ya kike kupendwa na watu..

Watu tulimuelewa hivyo...hayo mengine sidhani kama yana ukwl.

Na haukuwa utabiri wa siri bali ulitolewa kwenye magazeti kipindi hicho 2005..
 
Lete picha (ushahidi wa video) sio brah brah na kutishana...
 
Kutabiri ni kama kubet tu ukichana mkeka unakaa kimya mkeka ukitiki lazima uanikwe.
 
Ni kweli kabisa hii niliwah isoma kweny gazet la KIU..mwaka 2012..... Kipindi Niko School!!

Nalkumbuka hili gazetii japo muda ulikua umpitaaa....

Lakin kuna rafik angu alkuja nalo shule!!!
Watu walibishan mnooo....nalkumbuka ile siku.,......

RIP Mnajimu!!!!
 
Kila mtu atakufa wakati wake ukifika
 
Uongo mtupu. Leteni huo ukurasa wa Hilo gazeti tuusome. Sio kutuketea ngonjera hapa baada ya kuwa tukio limeshatokea halaf ndo museme utabiri. Hakuna utabiri Kama huo
 
Uongo mtupu. Leteni huo ukurasa wa Hilo gazeti tuusome. Sio kutuketea ngonjera hapa baada ya kuwa tukio limeshatokea halaf ndo museme utabiri. Hakuna utabiri Kama huo
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…