Tatizo tume na dola tu, lkn ccm hata wanaccm wenyewe hawaitaki.vipi mwaka wa uchaguzi 2025,Vyama vikuu vya upinzani ACT WAZALENDO na CHADEMA, Vitaigeuza CCM kuwa chama cha upinzani?
Hii taarifa ni kweli ipo, lkn uthabiti wa utabiri wake ndiyo shida."Meme" 👈 hili neno linatosha kabisa kunifanya nisiiamini hiyo taarifa hata kidogo 🤒😎
Rejea tabiri zake 2010,Wakuu nimepita sehemu nikaikuta hii meme ambayo ilitengenezwa na Wataalam iki mnukuu aliyekuwa mtabiri na msoma nyota mashuhuri Afrika Mashariki na kati marehemu Sheikh Yahya Hussein, vipi huyu marehemu alikuwa anaona mbele zaidi?
Alichokitabiri kwa asilimia kubwa kimetimia, vipi mwaka wa uchaguzi 2025,Vyama vikuu vya upinzani ACT WAZALENDO na CHADEMA, Vitaigeuza CCM kuwa chama cha upinzani?
View attachment 3009639
Ebu tuwe wakweli, ni upinzani gani wa kuchukua nchi?Wakuu nimepita sehemu nikaikuta hii meme ambayo ilitengenezwa na Wataalam iki mnukuu aliyekuwa mtabiri na msoma nyota mashuhuri Afrika Mashariki na kati marehemu Sheikh Yahya Hussein, vipi huyu marehemu alikuwa anaona mbele zaidi?
Alichokitabiri kwa asilimia kubwa kimetimia, vipi mwaka wa uchaguzi 2025,Vyama vikuu vya upinzani ACT WAZALENDO na CHADEMA, Vitaigeuza CCM kuwa chama cha upinzani?
View attachment 3009639
Kipindi hicho video zilikuwa adimu sana, media zilizokuwa kwenye chati wakati huo ilikuwa magazeti na redio. Huo utabiri ni kweli aliufanya kabla ya kifo chake na sikuuamini sana mpaka nikausahau..... Lakini amepatia kwa kiasi kikubwa, tungoje kuona kama 2025 upinzani utachukua nchi.Ulongo mtupu,leteni video Tuamini.
Mhu! Nilikuwa nafuatilia uchaguzi wa India na Africa Kusini nikajifunza kwamba vyama vikongwe duniani vinaendelea kupoteza 'mass support' nadhani kwa sababu ya kwamba 'mwenye shibe hamjui mwenye njaa'.Wakuu nimepita sehemu nikaikuta hii meme ambayo ilitengenezwa na Wataalam iki mnukuu aliyekuwa mtabiri na msoma nyota mashuhuri Afrika Mashariki na kati marehemu Sheikh Yahya Hussein, vipi huyu marehemu alikuwa anaona mbele zaidi?
Alichokitabiri kwa asilimia kubwa kimetimia, vipi mwaka wa uchaguzi 2025,Vyama vikuu vya upinzani ACT WAZALENDO na CHADEMA, Vitaigeuza CCM kuwa chama cha upinzani?
View attachment 3009639
Weka video ya huo mkutano..Nimesoma hii article pale kwenya magazeti ya Shigongo, ikanishtua kwa vile inaoneka utabiri wake ulikuwa kweli kabisa. je ni coincidence tu au ni kweli alikuwa anajua kupiga mahesabu ya kuona mbele? Najua kuwa aliwahi kutabiri kuwa mtu yeyote atakayechukua formu kumpiga Kikwete mwaka 2010 angekufa ghafla, watu ndani ya CCM ambao walikuwa wameshapanga mkakati wa kumng'oa Kiwkete mwaka 2010 wakaa kimya kabisa.
ALIYEKUWA Mtabiri maarufu Afrika Mashariki, Shehe Yahya Hussein aliitisha mkutano wa wahariri na waandishi wa habari mwaka 2006 na kuzungumzia utawala wa Rais Jakaya Kikwete ukiwa na umri wa mwaka mmoja tu.
Baada ya kuzungumza hayo nilipata nafasi ya kumuuliza. Je Tanzania baada ya Kikwete inaweza kupata rais mwanamke?
Shehe Yahya alinijibu:
“Baada ya vipindi viwili vya Rais Kikwete atakuja rais ambaye ni mweusi mchapa kazi lakini mchekeshaji sana, hata hivyo atatawaka kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata rais mwanamke.”
Wahariri na waandishi waliguna kuonesha kutokubaliana naye wakiwemo wahariri wakongwe Hemedi Kimwaga, Yasini Sadiki, Magnus Mahenge na wengine ambao siwezi kuwakumbuka.
Shehe Yahya baada ya kuona tunambishia alichukua ubao kama ule wa darasani na mkononi alishika kutabu kilichoandikwa Astrology: Monthly numerology, akaanza kufanya hesabu kwa fomula anazojua yeye na akatuambia kwamba kwa Jakaya inaonesha atamaliza muda wake wa miaka kumi na lakini ajaye ataongoza kwa kipindi kifupi.
Tulimuuliza ataongoza kwa muda mfupi kwa sababu gani, alisema hayo mengine yeye hawezi kujua lakini akasisitiza kwamba hivyo ndivyo itakavyokuwa. Tulitawanyika pale kila mmoja akiwa anaona kama amepigwa ‘changa la macho’.
Lakini sasa nimeng’amua kwamba kumbe alikuwa akimtabiria mama Samia bila yeye mama kujua tulichokuwa tunafanya.
HAKIKA SHEHE YAHYA ALIKUWA MNAJIMU WA KWELI.
Kumbuka haya yanatokea baada ya miaka 15 ya utabiri wake na mtabiri akiwa katangulia mbele za haki. Sheh Yahya alifariki mwaka 2011. Mungu ampe raha ya milele na amnusuru na adhabu ya kaburini.