Utachukua uamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako kumbe sio wako?

Mwanamke anayefanya hivi ni mjinga kupitiliza. Hii inaleta maumivu ya kihisia ya maisha pale mtoto atakapokuja kuambiwa mtu ambaye alikuwa anamchukulia ni baba yake siyo baba yake. Naona madhara yako kwa watoto zaidi kuliko wazazi.
Hakika maumivu zaidi ni kwa watoto, baba aliewalea kwa upendo kuambiwa sio baba yao haiwezi kuwaacha salama kabisa.
 
Hao ni kuwatoa tu kafara mkuu... Siwezi kulea matoto mpaka yawe makubwa hivyo, alafu niwaache hivi hivi 👹👹
 
Mwanamke kama huyo ni nyoka. Kuendelea kuishi naye ni kisanga, ni kuachana tu
 
Ndio hujuani nao tena? Sidhan kama ni ishu rahisi kiasi hicho kwa watoto uliowapenda na kuwajali.
Utafanyaje🤔utalea tena? Watoto wa zamani wangeheshimu lkn wa siku hz ZiVu zikianza kuota anakuvimbia kisa yy sio bao lako!

Kuna jamaang alilea tangu ikiwa mimba hadi mtoto anafikisha miaka saba ndo anajua sio mtoto wake akakata tu mawasiliano na kuachana rasmi na demu
 
Daah yaani watoto walishakuwa hivyo
Na mna muda mrefu kwenye ndoa+uchumba sugu+ uchumba hapo tuseme wana zaidi ya miaka 20 sasa kwa nini muachane? Hapo ni kumsamehe tu na hao watoto kaa kimya usiwaambie watakusaidia baadae ukiwa hauna nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…