Utachukua uamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako kumbe sio wako?

Mwanaume mwenzangu aliyezaa na mke wangu nitahakikisha anatangulia mbele za haki. Then mwanamke tunatemana.
Hawezi kuniharibia familia kifala then nimwache salama.
 
hapo kwenye previous husband hapo,ndio ajifunze, kumbe alipora mke wa mtu.
 
Huyu mwanamke ni shetani kweli, watoto hata hawafanani na yeye mwenyewe wala Jeremy.
 
Roho mtakatifu wako ndio anaruhusu uzinzi
 
Daah yaani watoto walishakuwa hivyo
Na mna muda mrefu kwenye ndoa+uchumba sugu+ uchumba hapo tuseme wana zaidi ya miaka 20 sasa kwa nini muachane? Hapo ni kumsamehe tu na hao watoto kaa kimya usiwaambie watakusaidia baadae ukiwa hauna nguvu.
Milionea huyo kacheza ligi ya Uingereza hana shida na hela,ila amekataa kuendelea kuyalea mabao ya mwanaume mwenzie.
 
Kama ni Mmasai unalipwa fidia ya ng'ombe wote wanakua wako. Kwisha kazi.

Kama ni koo zetu za simba, na wote wametokana na koo ya simba tunalea bila kuulizana, watoto wa koo za simba ni vigumu sana kujua babake wa kibaiolojia ni nani. Mwanamke wa koo ya simba anaweza kujulikana mapema sana kua huyu kaigawa nje ya koo ya simba, hapo hukumu ya kifo kwa mama na mtoto inamuhusu, tena mtoto akiwa mdogo kabisa au hata kabla hajazaliwa. Mwanamke ndio haepuki kabisa hukumu ya kwenda kuigawa nje ya koo ya simba, wakati ana uhuru wa kujamiiana na yeyeote kwenye koo ya simba.

Hayo matatizo koo za simba hatuna. Ukitaka kuzifahamu koo za simba, pitia uzi huu; Zijuwe koo za Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…