Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Kwahiyo mimi ni nani?Kwa nini ulikubali kulea bao la mwanaume mwingine? Umepata ulichostahili
Kuna wanaume mnajua kujidharirisha. Kweli unamuoa single maza?
Hao wanawake ni takataka na wanaowaoa ni wapumbavu na wajinga
Sentensi ya mwisho inakuhusuKwahiyo mimi ni nani?
Kivipi? Mbona hujihamini??Sentensi ya mwisho inakuhusu
Hivi wewe unavyopondaga single maza una uhakika huyo babako ni your biological father na sio amekulea kwa hisani tu?? Wewe na mamako mlitakiwa muwe Street?! Una uhakika mamako hakumsingizia babako mimba yako? Namaanisha babako analea bao la mtu mwingine as you put it?!Kwa nini ulikubali kulea bao la mwanaume mwingine? Umepata ulichostahili
Kuna wanaume mnajua kujidharirisha. Kweli unamuoa single maza?
Hao wanawake ni takataka na wanaowaoa ni wapumbavu na wajinga
Aliyemfuata mwenzake kutoka kwao aondoke.Sawa Sasa geuza ingekuwa yeye mwanamke angeondoka ??
MASINGO MAMA 80% NI MAKAHABA.Hivi wewe unavyopondaga single maza una uhakika huyo babako ni your biological father na sio amekulea kwa hisani tu?? Wewe na mamako mlitakiwa muwe Street?! Una uhakika mamako hakumsingizia babako mimba yako? Namaanisha babako analea bao la mtu mwingine as you put it?!
Nitajuaje km na wewe sio product ya single maza?!MASINGO MAMA 80% NI MAKAHABA.
TUNAISHI NAYO MTAANI HUKU.
Ikiwa sio product na ana uhakika(pengine copy right ya baba yake)?Nitajuaje km na wewe sio product ya single maza?!
Daah masikini, hadi hurumaNice kutembeza kipigo cha mbwa koko
Wewe ni robot la matopeKwahiyo mimi ni nani?
Piga chiniKomassava!
Msaada wa ushauri.
Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.
Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha
Je unamshauri nini
Hayakuhusu mkuuHivi wewe unavyopondaga single maza una uhakika huyo babako ni your biological father na sio amekulea kwa hisani tu?? Wewe na mamako mlitakiwa muwe Street?! Una uhakika mamako hakumsingizia babako mimba yako? Namaanisha babako analea bao la mtu mwingine as you put it?!
Kwani hata matiti ya kunyonyesha mtu tatu plus wanaume hakuyaona?Binafsi sitaki kuwa muhukumu kwa sababu hakuna binadamu mkamilifu kwa kuzingatia hao single maza mimba zao hazikutungwa kwa uwezo wa roho mtakatifu. Kuna wakati hata sisi wanaume tunapuyanga sana kwa hili na sisi pia tuwajibike na sio kuwatupia tu lawama.
Daah hii nayo ngumu kumeza. Kwa sababu swali linarudi palepale kwa hakukwambia iliyo kweli
Akili yako iko kwenye tundu la chini.Kwa nini ulikubali kulea bao la mwanaume mwingine? Umepata ulichostahili
Kuna wanaume mnajua kujidharirisha. Kweli unamuoa single maza?
Hao wanawake ni takataka na wanaowaoa ni wapumbavu na wajinga