Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mimi sijadharau mtu madam.Hahaha,am happily married Mkuu,but why mnawadharau sana wanawake single,huwa roho ya huruma na ubinadamu inanitesa.
Wanaume wengi wabongo hapana kwa kweli,sometime nashukuru sana sikuolewa na mbongo juu vijana wangu wangerithi hizi tabiambaya za kutusi wanawake like wako entitled to....
All women's deserves respect.
Anipe namba nimpigie nimuweke sawa.....😹😂
Bloo yupo nyumbani.
Mbwanda kala mbwandaHii ndiyo mbwa kala mbwa
It's OK.Mimi sijadharau mtu madam.
Love ❤️ youIt's OK.
Oooh please,kuweni na huruma na hawa kinadada wanapitia sana,tulaumu hawa wanaume wanaowakimbia,tusipokemea hii tabia inazidi,mifumo yetu ndio inatuangusha wanawake,ingekuwa nchi zinajitambua wasingejaribu huo mchezo,sheria ingewabana ukizaa ujue unalea child support inakatwa juu kwa juu kupitia kipato chako.Sasa huyo unayetaka alee ndiye alimkimbia? Mimba apewe na mwingine halafu mzigo mnataka abebeshwe mwingine, ebwoo!!
Yote inawezekana, pia inaweza ikawa ni TikTik kampeni ya kushawishi wote wakubali tu kulea, maana sasa hivi watu hawataki kusikia ujinga huo. Pia kuna haohao single mom walilelewa wao na watoto wao lakini ukubwani watoto wakatambulishwa kwa baba zao na wale baba walezi walipotezewa mazima.
Ya Mungu Mungu sawa, olewa na aliyekuzalisha. Hivyo ndivyo Mungu atakavyo, au Mungu sasa hivi amebadilisha utaratubu anataka watu wazaezae kwanza ndipo baadaye wakatafute ndoa? Maana miungu ni wengi
😂 ongea na mdogo wake bloo vizuri atakupa namba.Anipe namba nimpigie nimuweke sawa.....😹
Kuna wanaokimbiwa, na kuna wanaosababisha waachwe. Kabla ya kulilia mifumo, ni vyema watu wakabadilika, wazingatie tu maadili, wautafute ukomavu wa akili. Kuhusu Child support, siyo kama hiyo sheria haipo, implementation yake haiwezekani sababu wazazi wenyewe wanahitaji support ili angalau mkono uende kinywani.Oooh please,kuweni na huruma na hawa kinadada wanapitia sana,tulaumu hawa wanaume wanaowakimbia,tusipokemea hii tabia inazidi,mifumo yetu ndio inatuangusha wanawake,ingekuwa nchi zinajitambua wasingejaribu huo mchezo,sheria ingewabana ukizaa ujue unalea child support inakatwa juu kwa juu kupitia kipato chako.
Watoto siyo baraka, watoto ni jukumu ndiyo maana usipowajibika kwenye jukumu hilo basi watoto hai huweza kuwa sumu, fedheha n.kAlichokosea huyo dada ni kutosema ukweli but watoto wote ni baraka.sasa utapata mtu kazalisha lakini kutwa kutukana single mom's that's weird.
Komassava!
Msaada wa ushauri.
Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.
Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha
Je unamshauri nini
Soma kuelewa mkuu. Usiwahi ku reply kabla hujaelewaKwa hiyo kwa kuwa kuna wanaume wanaouyanga wewe ndiyo unajitokeza kuwa mfukio mashimo wao na mbeba dhambi zao kwa kujiokotea wanawake waliozalishwa na hao wanaume?
Kama wewe mabao ya wengine yasivyokuhusu...Hayakuhusu mkuu
kitanda hakizai shetani.. unalea tu.. ila amkanye asirudie tenaKinyume cha haram ni halali. Huyo si mtoto wake halali kwa sababu yeye siyo baba halali wa mtoto, tusaidie kinyume cha halali ni kipi.
AhhhhhWakwangu aliniambia ana mmoja, baada ya miaka 8 nakuja gundua ana watatu
Endelea na mkeo huna sababu ya kuachana naye, hata ukienda kuoa mwingine huna uthibitisho wowote kuwa kila atakachokueleza ni ukweli na hakuna mengine aliyohifadhi moyoni.Mimi sijadharau mtu madam.
Single maza asiolewe, aendelee zalishwa tuMnaongea vibaya sana juu ya single mom's, hivi hizo mimba walijiweka wenyewe?si mliwakimbia!
Niliona tiktok mtoto wa single maza anajengea babake aliemlea nyumba kali,huyo mtoto ndio anainua hiyo familia,anasomesha hata watoto wa babake wa kufikia.
Ya MUNGU mengi msimalize maneno.