Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
We ndo bure kabisa!Unajua maana ya sampling?..... Mfano hapa Tanzania maeneo yaliyofunikwa na misitu na misitu mataji wazi ni takriban hekta milioni 40 plus, sasa ikitakiwa uhesabu miti yoote iliyomo humo ndani, urefu wa kila mti na unene wa kila mti utafanyaje? Utavamia kila pori kufanya hiyo kazi?
Hivi unawezaje kusema umaarufu wa Rais umeshuka wakati kila kukicha wabunge na madiwani wa upinzani wanahama vyama vyao kwenda kumuunga mkono?
Jamani hebu twende taratibu kidogo, haya maisha magumu tuliyonayo msituongezee stress nyingine kwenye ubongo.
Mkuu Tindo za masiku naona bado upo katika ubora wako nilimiss sana nondo zako hizi.... Hoja uliyojenga ina mantiki sana ila cha kushangaza waafrika tunatunga sheria ambazo hatuko tayari kuzisimamia sasa unaweka tume ya uchaguzi, umamwaga mabilion kwa ajili ya uchaguzi alafu hauko tayari kupokea matokeo hasi what's that??.... Kama wanaona demokrasia ni mzigo wafute tu vyama vingi ili tuepuke gharama zisizo na tija kwa nchi maskini kama yetu. Kiukweli trump alikua sahihi kutuita sh*t holes!!!Hilo lingekuwa kipimo maridhawa kama lingeheshimiwa, lakini huko ndio upuuzi wa muafrika unapodhihirika. Unakuta ccm wanatoka na mabox ya kura vituoni kibabe kisha wanayajaza na kuyarudisha yakiwa na kura za chama chao. Kisha bila aibu unakuta wanashangilia ile mbaya eti wanakubalika na wananchi! Kibaya zaidi unakuta kwenye wanaoshangilia huo ushindi wa kipuuzi wako mpaka ma professor, PhD holders nk. Katika mazingira hayo wazungu wakituita manyani watu wanakasirika.
Nasi tutashangaa sana kwamba mwaka huu hajuliki then mwakani 90%Hivi jiulize wewe tangu uwasikie hao Twaweza je uliwahi kuhojiwa? Au hata angalau ulipita sehemu ukawakuta vijana wao wanaendesha zoezi hili la kuhoji watu?
Mimi kinachonishangaza nchini Uingereza na South Africa nimewahi kukutana na group za research na nikahojiwa lakibi nchini mwangu sijawahi kumsikia mtu akitowa ushuhuda wa kuhojiwa na hawa researchers uchwara
Mimi kwa dhati kabisa naamini tafiti hizi huwa zinaandaliwa mezani na kwenye mtandao tu na kinachotengenezwa hapa ni kutafuta uhalali wa kumpandisha Rais kukubalika kwake muda sahihi ukifika ili hizi tafiti magumashi ziwe kama reference.
Tunakubali sisi ni wajinga lakini si kiwangi hicho wanachorudhania, tunaelewa sana malengo yao ni nini.
Nchi ambayo bunge limetiwa mfukoni hakuna taasisi nyingine yenye ubavu wa kufurukuta.
Haya ni maagizo maalum ya kuwalaghai watu na wafadhili kwamba Tanzania kuna uhuru wa kutoa maoni.
Tanzania tume ndio last saySasa sisi tufanye nini? basi tusubiri box la kura liseme
Pole pole akiwa mwanachamaTwaweza ni tawi la chama.
Box la kura litasema nini ndugu yangu wakati ninyi wenyewe mnaliwekea maneno mdomoni?Sasa sisi tufanye nini? basi tusubiri box la kura liseme
lema ebu acha vurugu bwana ingelikua ccm peke yake katika utafiti huu ungelipongeza eti eeGodbless E.J. Lema @godbless_lema 17h17 hours ago
Utafiti wa TWAWEZA unapaswa kutiliwa mashaka hata kama unatoa faraja kwa kiasi fulani dhidi ya washindani wetu kisiasa,ninafikiri TWAWEZA wanatafuta zaidi uhalali kwa ajili ya siku za usoni kwa manufaa ya Taasisi yao na Serikali, pitieni UTAFITI wao kwa makini.
17+ milioni (2020 kura za urais kama mambo yanaenda hivi hivi)Sasa sisi tufanye nini? basi tusubiri box la kura liseme
Hata Mimi sikubaliani nao kabisa utafiti huo kwa sababu haiwezekani magufuli akawa bado anakubalika kwa 55% kwa wananchi, katika hili niko pamoja na Lema
Mkuu nchi ina wajinga wengi sana wala sio kushangaa ndio ukweli. Ukitaka kuanini kwenye hoja ya msingi mtu anaingiza ushabiki wa kipumbafu.Kwakweli...Hata mimi siamini nchi hii ina wajinga wengi kiasi hiki... yaani 55%
Tumeshaufanyia utafiti utafiti huu hakuna sehemu wananchi walihojiwa, au wewe towa ushuhuda ni lini umehojiwa?Utafiti hupingwa kwa/na utafiti...njooni na tafiti zenu, basi..
Mkuu Tindo za masiku naona bado upo katika ubora wako nilimiss sana nondo zako hizi.... Hoja uliyojenga ina mantiki sana ila cha kushangaza waafrika tunatunga sheria ambazo hatuko tayari kuzisimamia sasa unaweka tume ya uchaguzi, umamwaga mabilion kwa ajili ya uchaguzi alafu hauko tayari kupokea matokeo hasi what's that??.... Kama wanaona demokrasia ni mzigo wafute tu vyama vingi ili tuepuke gharama zisizo na tija kwa nchi maskini kama yetu. Kiukweli trump alikua sahihi kutuita sh*t holes!!!
Cc Malcom Lumumba
Mkuu kuna mahali nimeandika jana kwamba huyu JPM kwasasa kukubalika kwake ni 30% kwenda chini..Hata Mimi sikubaliani nao kabisa utafiti huo kwa sababu haiwezekani magufuli akawa bado anakubalika kwa 55% kwa wananchi, katika hili niko pamoja na Lema