Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hivi unawezaje kusema umaarufu wa Rais umeshuka wakati kila kukicha wabunge na madiwani wa upinzani wanahama vyama vyao kwenda kumuunga mkono?
Jamani hebu twende taratibu kidogo, haya maisha magumu tuliyonayo msituongezee stress nyingine kwenye ubongo.
Jamani hebu twende taratibu kidogo, haya maisha magumu tuliyonayo msituongezee stress nyingine kwenye ubongo.