Naona alikuwa excited, huku anashangaa ujasiri wa huyu Mama.namuona Max ameshika kidevu anaona balaa linamjia Dr.
YES, ANASHANGAA UJASIRI HUU. HUWEZI JUA LABDA WAKIMUUA HUYU INTERNATIONAL COMMUNITY...... MUNGU ANA MIPANGO YAKENaona alikuwa excited, huku anashangaa ujasiri wa huyu Mama.
SASA HIVI WANAMTAFUTIA KA KOSA KADOGO, JUZI HUKUJA KAZINI, URAIA CHETI CHA DARASA LA SABA and the likeTusubiri majibu kutoka juu
Hivi Nondo yuko wapi mkuu hebu nipe dondoo maana sijamsikia kitamboKama ni mwalimu wa chuo inabidi aanze kuwaza ile biashara yake ya mchicha, hachukui wiki hapo amuulize nondo!
Hahaha...ISIS tena??Watanzania hasa CCM, NEC, ISIS tunapaswa kubeba lawama kwa kuinajisi ofisi kuu ya nchi
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Wasiojulikana, loh dada yangu Mungu atakusimamia. TUOMBE
Sasa hapo mnapa sapoti kwa ujasili wake au mnamtisha na kumkatisha tamaa?Kama ni mwalimu wa chuo inabidi aanze kuwaza ile biashara yake ya mchicha, hachukui wiki hapo amuulize nondo!
Wangapi watamwelewa Dr. Hata wakimwelewa je, nani ana uthubutu kama wake? Nyoka wametamalaki vyuoni.Maneno hayo aliyasema katika mjadala wa kujadili repoti ya utafiti wa TWAWEZA, Mwalimu wa Chuo Kikuu Cha D'salaam Dr. Vincensia Shule