Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
MBWA;Mbwa mkubwa wewe
Huo ndio usomi sasa!!sio wale ma profeseri wanaosubilia teuzi kila siku!!huyu dada mala nyingi sana huwa yuko straightKama ni mwalimu wa chuo inabidi aanze kuwaza ile biashara yake ya mchicha, hachukui wiki hapo amuulize nondo!
kumbe huna jazba kama weji nimekusomaMBWA;
Mbwa huwa anatoka na mwindaji kwenda kuwinda, wakiwa wanatoka mwindaji huwaaga nduguze kwa kauli kwamba " tunakwenda kuwinda",
Wakiwa mawindoni, mwindaji hugeuka mhamasishaji kwa humuhamasisha mno mbwa kukimbiza kitoweo mpaka akikamate;
Baada ya kukikamata, Mbwa hubweka kwa sauti kubwa kumfahamisha bosi wake kuwa tayari amekamata kitoweo,
Baada ya kufika eneo la tukio, mwindaji humchapa mbwa bakora akimtaka kuachia kitoweo;
wakati akiwa anachapwa mbwa hulia kwa maumivu, ila anapolia anatoa kilio kikiwa na maswali lukuki, ya kama mwindaji anamaanisha au amekosea, kwakua wakati wanatoka nyumbani kwenda kuwinda walikuwa wakitoka wakiwa na lengo moja la kwenda kuwinda.
watakapofika nyumbani, mwindaji huandaa kitoweo na kuanza kula;
Mbwa hubakia akimwangalia mwindaji akila kitoweo chote, mpaka anamaliza,
mwisho wa yote , hubakia kupata mifupa.
Ndio maana wawindaji wote hakuna hata mmoja mwenye afya wote wamekonda kutokana na laana za mbwa.
Ubinafsi ni kitu kibaya sana, ingawa mbwa ni mnyama ambaye ni very loyal.
Uwe na siku njema mkuu.
Tangu report ya TWAWEZA izinduliwe ndo umepata bando la kuingia Youtube leo?Maneno hayo aliyasema katika mjadala wa kujadili repoti ya utafiti wa TWAWEZA, Mwalimu wa Chuo Kikuu Cha D'salaam Dr. Vincensia Shule
Mkanda ya ziwa mwenzakeHuyo ktk picha ndo amesema? If yes ni Dr Vincensia Shule.
Nimewaza hivyo hivyoHuyo mwalim mbona kama dadaake na yule mbunge wa kawe
Kilimanjaro huyo sishangai alichosemaHuyo ktk picha ndo amesema? If yes ni Dr Vincensia Shule.
Hii ni jumuiya gani nchi hii!?...ISIS tunapaswa...
Ukosoaji wa kifedhuli, dharau, kebehi, haufai...!!!! Kwa elimu yake, sijui malezi yake, alipaswa kutumia lugha ya staha kwa Mh. Rais JP Magufuli wakati akijadili hoja hiyo. Hivi, critical thinking, inafundishwa kwa kutumia lugha za kuudhi namna hii!? Huyo Dr. anaweza kuwa na pweinti lakini uwasilishaji wake wa hoja, haukubaliki. Vinginevyo, jambo hili ni "mtego as/-\li".Huyo mwalim mbona kama dadaake na yule mbunge wa kawe