UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Bora hata ingekuwa kampuni binafsi huyo jamaa kageuza nchi kama familia yake ,akiamka asubuhi makofi kwa mama ,mara mateke kwa watoto ,vichapo kwa mashangazi na hakuna wa kumfanya kitu kisa nchi imekuwa familia yake
Yana mwisho haya ila aombe sana uwe mwisho mwema japo vihunzi vya Karma sijui atavirukaje

Hongera Dk Shule kwa kusimamia ukweli .
 
Mbwa mkubwa wewe
MBWA;

Mbwa huwa anatoka na mwindaji kwenda kuwinda, wakiwa wanatoka mwindaji huwaaga nduguze kwa kauli kwamba " tunakwenda kuwinda",

Wakiwa mawindoni, mwindaji hugeuka mhamasishaji kwa humuhamasisha mno mbwa kukimbiza kitoweo mpaka akikamate;

Baada ya kukikamata, Mbwa hubweka kwa sauti kubwa kumfahamisha bosi wake kuwa tayari amekamata kitoweo,

Baada ya kufika eneo la tukio, mwindaji humchapa mbwa bakora akimtaka kuachia kitoweo;

wakati akiwa anachapwa mbwa hulia kwa maumivu, ila anapolia anatoa kilio kikiwa na maswali lukuki, ya kama mwindaji anamaanisha au amekosea, kwakua wakati wanatoka nyumbani kwenda kuwinda walikuwa wakitoka wakiwa na lengo moja la kwenda kuwinda.

watakapofika nyumbani, mwindaji huandaa kitoweo na kuanza kula;

Mbwa hubakia akimwangalia mwindaji akila kitoweo chote, mpaka anamaliza,

mwisho wa yote , hubakia kupata mifupa.

Ndio maana wawindaji wote hakuna hata mmoja mwenye afya wote wamekonda kutokana na laana za mbwa.

Ubinafsi ni kitu kibaya sana, ingawa mbwa ni mnyama ambaye ni very loyal.

Uwe na siku njema mkuu.
 
Hao nyoka nao siku yao ipo, wacha wajidanganye kuwa wao wapo salama sana, tukiisha ataanza na wao.
 
Kama ni mwalimu wa chuo inabidi aanze kuwaza ile biashara yake ya mchicha, hachukui wiki hapo amuulize nondo!
Huo ndio usomi sasa!!sio wale ma profeseri wanaosubilia teuzi kila siku!!huyu dada mala nyingi sana huwa yuko straight
 
  • Mungu akulinde Dr Tunawahitaji watu wanaojiamini kama ww..
University of Dar es Salaam, Creative Arts, Faculty Member vicensia Shule (Dr.Phil.) is a recycle-designer, filmmaker and a senior scholar at the Department of Creative Arts, University of Dar es Salaam, Tanzania. Vicensia is a gender expert and has been involved in the transformative feminist movement building in Tanzania and Africa for over a decade. She has researched and written extensively on matters related to arts, media, cultures, and gender in Tanzania. She is the current chair of TGNP Mtandao, one of the major feminist organizations in Africa. She also works as an independent producer/director for theatre, film, radio and television productions.
 
Ku
MBWA;

Mbwa huwa anatoka na mwindaji kwenda kuwinda, wakiwa wanatoka mwindaji huwaaga nduguze kwa kauli kwamba " tunakwenda kuwinda",

Wakiwa mawindoni, mwindaji hugeuka mhamasishaji kwa humuhamasisha mno mbwa kukimbiza kitoweo mpaka akikamate;

Baada ya kukikamata, Mbwa hubweka kwa sauti kubwa kumfahamisha bosi wake kuwa tayari amekamata kitoweo,

Baada ya kufika eneo la tukio, mwindaji humchapa mbwa bakora akimtaka kuachia kitoweo;

wakati akiwa anachapwa mbwa hulia kwa maumivu, ila anapolia anatoa kilio kikiwa na maswali lukuki, ya kama mwindaji anamaanisha au amekosea, kwakua wakati wanatoka nyumbani kwenda kuwinda walikuwa wakitoka wakiwa na lengo moja la kwenda kuwinda.

watakapofika nyumbani, mwindaji huandaa kitoweo na kuanza kula;

Mbwa hubakia akimwangalia mwindaji akila kitoweo chote, mpaka anamaliza,

mwisho wa yote , hubakia kupata mifupa.

Ndio maana wawindaji wote hakuna hata mmoja mwenye afya wote wamekonda kutokana na laana za mbwa.

Ubinafsi ni kitu kibaya sana, ingawa mbwa ni mnyama ambaye ni very loyal.

Uwe na siku njema mkuu.
kumbe huna jazba kama weji nimekusoma
 
Maneno hayo aliyasema katika mjadala wa kujadili repoti ya utafiti wa TWAWEZA, Mwalimu wa Chuo Kikuu Cha D'salaam Dr. Vincensia Shule


Tangu report ya TWAWEZA izinduliwe ndo umepata bando la kuingia Youtube leo?
 
Huyo mwalim mbona kama dadaake na yule mbunge wa kawe
Ukosoaji wa kifedhuli, dharau, kebehi, haufai...!!!! Kwa elimu yake, sijui malezi yake, alipaswa kutumia lugha ya staha kwa Mh. Rais JP Magufuli wakati akijadili hoja hiyo. Hivi, critical thinking, inafundishwa kwa kutumia lugha za kuudhi namna hii!? Huyo Dr. anaweza kuwa na pweinti lakini uwasilishaji wake wa hoja, haukubaliki. Vinginevyo, jambo hili ni "mtego as/-\li".
 
A political agenda with nothing to the uchunguzi wa twaweza. Chadema mpeni ubunge wa kuteuliwa tu, hana nafasi at a learning institution.
 
Back
Top Bottom