Uwe utafiti wa kwel au wa uongo ila jambo la msingi ni kuwa kunakushuka, tazama ratio 96-71=25, mwaka 2016
71-55=16 mwaka 2017
55-( )=? Mwaka 2018
Kwa takwim hizi kunakupolomoka kwa ccm na serikali,
Ukiwa baba bora, hutakasirika ikiwa mtoto wako anaonesha kufel, la maana utakachofanya ni kuyakubali matokeo na kutafuta mbinu ya kumsaidia mtoto asiendelee kufeli...
Wito kwa serikali, wafanyie kazi utafiti huu..wachukulie +v altitude zaidi kuliko -v
Wananchi wanamalalamiko mengi miyoni mwao, na hakuna lugha sahihi ya kuwaambia zaidi ya kuwapa kile ambacho kitawapa mkate wao, sio takwimu