UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Naamini kuwa kwa hii serikali ya Dikteta John Pombe Magufuli huyu dada hana chake tena kwenye hiyo ajira na baada ya hapo atatiwa misukosuko sana. Ila tunahitaji wajasiri zaidi ili kuupinga huu udikteta ulioshamiri sasa ndani ya nchi yetu! Tuupinge Udikteta wa John Pombe Magufuli kwa nguvu zetu zote!
 
Hata mitaani nyoka wamejaa tele! Wakisikia jina magufuli wanainua masikio kama popo!
Tuanze maisha kama ya miaka ya sabini tulivyokuwa tunaangalia huku na kule kabla ya kuongea. Tumerudi kule kule. Wa wakati huo walikuwa hawaui wala kupotezea ila kulikuwa na vizuizi wengine waliwekwa vizuizi vya ndani kama Tuntememke Sanga.
 
Naamini kuwa kwa hii serikali ya Dikteta John Pombe Magufuli huyu dada hana chake tena kwenye hiyo ajira na baada ya hapo atatiwa misukosuko sana. Ila tunahitaji wajasiri zaidi ili kuupinga huu udikteta ulioshamiri sasa ndani ya nchi yetu! Tuupinge Udikteta wa John Pombe Magufuli kwa nguvu zetu zote!
In Tundu Lissu's voice
 
mkuu, nondo alisimamishwa kama sio kufukuzwa mpaka kesi inaemkabili ya kujiteka itakapomalizika! Sasa hivi nadhani atakua uraiani na sio chuo!
Aisee yupo uraiani kama Mwigulu Nchemba? Kweli Mungu hanywi chai!
 
Nyoka mpaka darasani ili kupeleka umbeya TISS mwalimu kaongea nini? Tunarudi zama za Giza kweli.
 
Back
Top Bottom