UTAFITI BINAFSI: Urefu wa mtu(feet) Ni sawa sawa na Urefu wa uume wake( inches)

UTAFITI BINAFSI: Urefu wa mtu(feet) Ni sawa sawa na Urefu wa uume wake( inches)

Huu utafiti si kweli, wakati tunasoma Olevel kuna jamaa alikuwa mfupi kinoma ila mzigo wake ulikuwa wa ajabu, yaani mkienda kuoga bafu la wazi nyie wengine mnajiona kama mmepewa vya kusaidia haja ndogo itoke tu.
📌📌📌
 
Habari zenu wakuu, hope mko fresh Sana. Nimefanya huu utafiti kwa muda wa wiki Moja na Nimetumia sample size ya watu(wanaume) 50 na hatimaye nimegundua kwamba Urefu wa mtu in terms of feet unawiana na Urefu wa uume wake in terms of inches ukiwa umepanda mtungi(umesimama).

Nilifanya jaribio kwangu Mimi mwenyewe nikaona Urefu wangu wa mwili unawiana kabisa na Urefu wa uume wangu. Nikawa na ukakasi kidogo ndo nikaanzisha zoezi la utafiti. Naomba nisieleweke vibaya pliz,sio kwamba nilikuwa naenda kuwapima watu Moja kwa moja ila nilikuwa nawasanua Kama vipi wajipime wenyewe Kisha waniletee majibu. Majamaa walicooperate Sana na walikubaliana nami wakasema Urefu wa mwili( ft) na Urefu wa uume(inch) unawiana Moja kwa Moja.

Kwa mfano mtu akiwa na Urefu wa 6.5 feet Basi bila Shaka uume wake utakuwa inchi 6.5 ukiwa umesimama.
Ukiwa na Urefu wa futi 4.5 bila Shaka uume wako utakuwa 4.5 inches( kibamia).

Before you comment by either disputing or supporting my research please make sure you do a practical test on yourself.

Tuendelee kufanya utafiti mpaka pale tutakapopata dawa kuongeza Urefu wa uume😂

DeepPond njoo huku unene Jambo lako.
Soma na hilo chapisho uongeze maarifa,
 

Attachments

Daah mwanangu unajindanganya sana umenikumbusha kisa kimoja hivi enzi za ujana form 3 hiyo tupo bwenini kama kawaida Sisi wanaume ma story yetu ya hapa na pale mara ikafika mada ya jamaa yetu mmoja sijui jamaa huwa hapendi kuoga na watu wengi anaogaga peke yake kisa ni kuwa mwana ana mguuu wa mtoto
Si ukatokesa ubishani hapo kuwa hamfikiii jamaa moja yeye alikuwa form 2 ngoma ikaanza tutafute uushaidi na kweli bweni zima nikajaa kulinganisha hawa viumbe issue ni hivi hawa jamaa mmoja ni mrefu mwingine ni mfupi aisee wale jamaa inch 10 wanafika
Nakuunga mkono. Nilifanya kazi kampuni moja wafanyakazi mkimaliza kazi mnaingia changing room unavua sare ya kazi unaoga unatinga viwalo vya nyumbani.

Mimi ni mrefu wa wastani sasa jamaa ni mfupi sana kwangu lakini alipojiachia aingie bafu akaoge, duuuu! Nilishindwa kujizuia nilicheka sana hadi jamaa akanistukia. Kiukweli siko vibaya sana niko Mandingonized ila jamaa anamzigo kama.mguu wa mtoto.
 
Habari zenu wakuu, hope mko fresh Sana. Nimefanya huu utafiti kwa muda wa wiki Moja na Nimetumia sample size ya watu(wanaume) 50 na hatimaye nimegundua kwamba Urefu wa mtu in terms of feet unawiana na Urefu wa uume wake in terms of inches ukiwa umepanda mtungi(umesimama).

Nilifanya jaribio kwangu Mimi mwenyewe nikaona Urefu wangu wa mwili unawiana kabisa na Urefu wa uume wangu. Nikawa na ukakasi kidogo ndo nikaanzisha zoezi la utafiti. Naomba nisieleweke vibaya pliz,sio kwamba nilikuwa naenda kuwapima watu Moja kwa moja ila nilikuwa nawasanua Kama vipi wajipime wenyewe Kisha waniletee majibu. Majamaa walicooperate Sana na walikubaliana nami wakasema Urefu wa mwili( ft) na Urefu wa uume(inch) unawiana Moja kwa Moja.

Kwa mfano mtu akiwa na Urefu wa 6.5 feet Basi bila Shaka uume wake utakuwa inchi 6.5 ukiwa umesimama.
Ukiwa na Urefu wa futi 4.5 bila Shaka uume wako utakuwa 4.5 inches( kibamia).

Before you comment by either disputing or supporting my research please make sure you do a practical test on yourself.

Tuendelee kufanya utafiti mpaka pale tutakapopata dawa kuongeza Urefu wa uume[emoji23]

DeepPond njoo huku unene Jambo lako.
Hujui kama watu wafupi Urefu wetu umekimbilia chini?
 
Anko dereva nakusabahi kwa bashasha

Aunt abiria nimekuhamu, vile umekuwa mtu adimu...ngoja nitafanya utaratibu wa mabadiliko ya katiba, kifungu kidogo kinachokufanya uwe adimu na nitakuambia
 
uo ni ujinga kama ujinga mwingine,mchepuko wangu ni mrefu afu una kibamia
 
uo ni ujinga kama ujinga mwingine,mchepuko wangu ni mrefu afu una kibamia
 
uo ni ujinga kama ujinga mwingine,mchepuko wangu ni mrefu afu una kibamia
 
Aunt abiria nimekuhamu, vile umekuwa mtu adimu...ngoja nitafanya utaratibu wa mabadiliko ya katiba, kifungu kidogo kinachokufanya uwe adimu na nitakuambia
Nimekuhamu pia uncle dereva.
Majukumu yanabana kiaina😊

Amini usiamini Niko sehemu nimekaa nasubiria majibu ya utaratibu wa mabadiliko ya katiba hususani kifungu sana😅😅
 
Back
Top Bottom