Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuhamu pia uncle dereva.
Majukumu yanabana kiaina😊
Amini usiamini Niko sehemu nimekaa nasubiria majibu ya utaratibu wa mabadiliko ya katiba hususani kifungu sana😅😅
🥰🥰🥰…Hahah mabadiliko ya katiba huwa yanahitaji kikao maalumu, kitachoongozwa na spika mimi...hivyo shaka ondoa kwanza
Kheeeeh nifake kwa kipi? Au kwa faida ya nani? Unaeteseka ni wee. Wala sio shida zangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha ku fake buddy
According to kisima chake....Nitake radhi, 4.5 sio kibamia.
Nitake radhi, 4.5 sio kibamia.
Habari zenu wakuu,
Hope mko fresh Sana. Nimefanya huu utafiti kwa muda wa wiki Moja na Nimetumia sample size ya watu (wanaume) 50 na hatimaye nimegundua kwamba Urefu wa mtu in terms of feet unawiana na Urefu wa uume wake in terms of inches ukiwa umepanda mtungi (umesimama).
Nilifanya jaribio kwangu Mimi mwenyewe nikaona Urefu wangu wa mwili unawiana kabisa na Urefu wa uume wangu. Nikawa na ukakasi kidogo ndo nikaanzisha zoezi la utafiti.
Naomba nisieleweke vibaya pliz, sio kwamba nilikuwa naenda kuwapima watu Moja kwa moja ila nilikuwa nawasanua Kama vipi wajipime wenyewe Kisha waniletee majibu.
Majamaa wali-cooperate Sana na walikubaliana nami wakasema Urefu wa mwili (ft) na Urefu wa uume (inch) unawiana Moja kwa Moja.
Kwa mfano mtu akiwa na Urefu wa 6.5 feet Basi bila Shaka uume wake utakuwa inchi 6.5 ukiwa umesimama. Ukiwa na Urefu wa futi 4.5 bila Shaka uume wako utakuwa 4.5 inches (kibamia).
Before you comment by either disputing or supporting my research please make sure you do a practical test on yourself.
Tuendelee kufanya utafiti mpaka pale tutakapopata dawa kuongeza Urefu wa uume😂
DeepPond njoo huku unene Jambo lako.
Inashangaza adse inabidi aitesst mikuyenge kabisa aje na hoja kamiliMwanaume anawaza uume wa wanaume wenzake
Makande ahahahaTafiti wanazofanya watu wakiwa washashiba mapure...
MmhHabari zenu wakuu,
Hope mko fresh Sana. Nimefanya huu utafiti kwa muda wa wiki Moja na Nimetumia sample size ya watu (wanaume) 50 na hatimaye nimegundua kwamba Urefu wa mtu in terms of feet unawiana na Urefu wa uume wake in terms of inches ukiwa umepanda mtungi (umesimama).
Nilifanya jaribio kwangu Mimi mwenyewe nikaona Urefu wangu wa mwili unawiana kabisa na Urefu wa uume wangu. Nikawa na ukakasi kidogo ndo nikaanzisha zoezi la utafiti.
Naomba nisieleweke vibaya pliz, sio kwamba nilikuwa naenda kuwapima watu Moja kwa moja ila nilikuwa nawasanua Kama vipi wajipime wenyewe Kisha waniletee majibu.
Majamaa wali-cooperate Sana na walikubaliana nami wakasema Urefu wa mwili (ft) na Urefu wa uume (inch) unawiana Moja kwa Moja.
Kwa mfano mtu akiwa na Urefu wa 6.5 feet Basi bila Shaka uume wake utakuwa inchi 6.5 ukiwa umesimama. Ukiwa na Urefu wa futi 4.5 bila Shaka uume wako utakuwa 4.5 inches (kibamia).
Before you comment by either disputing or supporting my research please make sure you do a practical test on yourself.
Tuendelee kufanya utafiti mpaka pale tutakapopata dawa kuongeza Urefu wa uume😂
DeepPond njoo huku unene Jambo lako.
MmhHainaga hiyo mzeebabaa,
Nilivyokuwa nasoma O level kulikuwa na ile kuonyeshana uanamume tunaangalia size ya uume wako,si unajua tena mambo ya bwenini,usela kwa sanaaaaaaa,basi kuna mwanangu mmoja mdogodogooo wa kuitwa jina la utani kipanado kutokana na ufupi wake,alikuwa na mtalimbo balaaa,aliwazidi waliomzidi urefu wote kasoro mlumendago mie tu kmmke,halafu dude lake lilikuwa nene balaaaaaaaa.
kwa hiyo research yako ni fekero mzeee