UTAFITI BINAFSI: Urefu wa mtu(feet) Ni sawa sawa na Urefu wa uume wake( inches)

Huu utafiti si kweli, wakati tunasoma Olevel kuna jamaa alikuwa mfupi kinoma ila mzigo wake ulikuwa wa ajabu, yaani mkienda kuoga bafu la wazi nyie wengine mnajiona kama mmepewa vya kusaidia haja ndogo itoke tu.
📌📌📌
 
Soma na hilo chapisho uongeze maarifa,
 

Attachments

Nakuunga mkono. Nilifanya kazi kampuni moja wafanyakazi mkimaliza kazi mnaingia changing room unavua sare ya kazi unaoga unatinga viwalo vya nyumbani.

Mimi ni mrefu wa wastani sasa jamaa ni mfupi sana kwangu lakini alipojiachia aingie bafu akaoge, duuuu! Nilishindwa kujizuia nilicheka sana hadi jamaa akanistukia. Kiukweli siko vibaya sana niko Mandingonized ila jamaa anamzigo kama.mguu wa mtoto.
 
Hujui kama watu wafupi Urefu wetu umekimbilia chini?
 
Anko dereva nakusabahi kwa bashasha

Aunt abiria nimekuhamu, vile umekuwa mtu adimu...ngoja nitafanya utaratibu wa mabadiliko ya katiba, kifungu kidogo kinachokufanya uwe adimu na nitakuambia
 
uo ni ujinga kama ujinga mwingine,mchepuko wangu ni mrefu afu una kibamia
 
uo ni ujinga kama ujinga mwingine,mchepuko wangu ni mrefu afu una kibamia
 
uo ni ujinga kama ujinga mwingine,mchepuko wangu ni mrefu afu una kibamia
 
Aunt abiria nimekuhamu, vile umekuwa mtu adimu...ngoja nitafanya utaratibu wa mabadiliko ya katiba, kifungu kidogo kinachokufanya uwe adimu na nitakuambia
Nimekuhamu pia uncle dereva.
Majukumu yanabana kiaina😊

Amini usiamini Niko sehemu nimekaa nasubiria majibu ya utaratibu wa mabadiliko ya katiba hususani kifungu sana😅😅
 
Braza acha dharau kwa sisi wafupi maana utashangazwa na mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…