UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Huu mfumo kaunda nyerere ili wakristo wawezekuwatala wasilamukupitia kanisa leo hii kila ofice ya serikali ukiuliza kwenye wfanyakazi 20 wafanyakazi16 ni wakristo, yaani hakuna usawa, wakurugenzi wao, wakuu wamikoa wao, wakuu wa wilaya wao,mabalozi wao, mawaziri wao, makatibu wao, wasilamu wamepewa wajumbe wa nyumba kumi tu,wakristo wanakauli yao ya kijing ,eti wasilamu hawajaoma,
 
Maandiko ya biblia yanahusu ulimwengu mzima,

Tanzania ni moja ya nchi zisizotawaliwa kwa mfumo wa aina yoyote ya "KIROHO"

Nchi ya Ujerumani ni ya kikristu ambapo makasisi wake hulipwa mishara na Serikali,

Nchi ya Uingereza nayo ni ya mfumo kristu ambapo viongozi wa kiroho wanalipwa na serikali,

Nchi yenye mfumo wowote wa "kiroho". Mfano mfumo islamu: haitatokea hata chembe kiongozi mkuu wa nchi kuwa mkristu,

Vivyo hivyo nchi yenye mfumo kristu haitatokea kiongozi wa nchi kuwa muislamu!

Hivyo ndivyo mfumo kristu unavyofanya kazi,

Acheni bla bala hapa
hembu wape ambacho hamna wa kuwapa ktk misikiti yao
 
Hoja zipi? Hoja yako ya utafiti imekuacha mtupu, yule jamaa wa Wavuti kakuweza kweli teh teh teh, majibu yake umeyachukua kisha umeedit bandiko lako ukayaweka, hauna tofauti na saa mbovu.

Ukijadiliana na Nicholas unaweza tapika. Anachoandika anakijua mwenyewe. Itakuwa viloba vinamsumbua huyu mla nguruwe.
 
Last edited by a moderator:
Huu mfumo kaunda nyerere ili wakristo wawezekuwatala wasilamukupitia kanisa leo hii kila ofice ya serikali ukiuliza kwenye wfanyakazi 20 wafanyakazi16 ni wakristo, yaani hakuna usawa, wakurugenzi wao, wakuu wamikoa wao, wakuu wa wilaya wao,mabalozi wao, mawaziri wao, makatibu wao, wasilamu wamepewa wajumbe wa nyumba kumi tu,wakristo wanakauli yao ya kijing ,eti wasilamu hawajaoma,

Lete takwimu za kiutafiti sio hisia mkuu,
 
Asante kwa kujitolea kujibu, lakini swali langu liko directed to Yericko. Yeye ndiye anayebeba dhamana ya huu utafiti sio wewe.

Mwache ajikusanyekusanye aje ajibu mwenyewe, ili baadae asiseme kuwa sio maneno yake.

What I want ni percentage ya watu walio kwenye umri wa kufanya kazi/kuajiriwa, sio porojo porojo kama ulizoandika hapa. I want NUMBERS and ​I want them from Yericko...
Km ungekuwa na akili kidogo ungeona hilo suala la watu kuwa daa bila kutambulika na kila siku wanaingia wengia tuu...issue ya waislam kugomea pia....halafu nimesema kuhusu suala la OVERLAPPING kwa data kati ya TRA na Sensor..kwanza TRA ni more current kwani watu wanajiandika mfululizo kadiri wanavyoongoeza bisahra, sensor hufanywa mara moja... Data za sensor ni minimum(At least)...Sijui unakomaa nini kumtafuta Yericko au una issue binafsi?Mbona yeyote naweza kujibu na Yericko akafurahi kwa vile lengo ni kujadili mambo...ndio maana kaleta hapa.

Nadhani hapa ndipo hata watu wa sensor wanapoweza pima data zao km zitakuwa chini ya za TRA linapokuja suala la umri wa kuajiriwa, waliopo ktk ajira na ajir agani, ikiwa za sensor zitazidi, then watajiuliza km za senso ni sahihi then watu wengi wanasepa kodi.
 
Asante sana kwa ufafanuzi murua mkuu wangu!

Wewe ni kituko cha jf' kiukweli. Sasa kajibu nini zaidi ya kejeli ya dini? Halafu unajiita rastafaray wakati mkatoriki uliejazwa chuki dhidi ya uislamu na waislamu.
 
mill 48,261,942.....ni figure ya makadirio ya nchi nzima wewe kijana...na every second Idadi ya watu inabadilika haraka sana kutegemeana na rate iliyo sawa na difference ya wanaozaliwa, wanaokufa, wanahama na kuhamia kwa kubadili uraia.

Dar es Salaam ilikuwa inacheza na watu kati ya 5mil na 10mil na inaweza kuwa imezidi..ila data za Yericho no za watu ambao walipatikana na kuhesabiwa.....duh kwa hiyo figura unayotaka niw azi haukustahili ktk huu mjadala.

Wakati mwingine unapoandika kitu, jaribu kukisoma kwanza!
Wapi umeskia mtu mwenye elimu yake akatoa makadirio ya population ya mji wowote dunia eti kati ya 5 mil to 10mil??
Cant you even think for a moment??

Haya makadirio ya watu au panya??
 
Maandiko ya biblia yanahusu ulimwengu mzima,

Tanzania ni moja ya nchi zisizotawaliwa kwa mfumo wa aina yoyote ya "KIROHO"

Nchi ya Ujerumani ni ya kikristu ambapo makasisi wake hulipwa mishara na Serikali,

Nchi ya Uingereza nayo ni ya mfumo kristu ambapo viongozi wa kiroho wanalipwa na serikali,

Nchi yenye mfumo wowote wa "kiroho". Mfano mfumo islamu: haitatokea hata chembe kiongozi mkuu wa nchi kuwa mkristu,

Vivyo hivyo nchi yenye mfumo kristu haitatokea kiongozi wa nchi kuwa muislamu!

Hivyo ndivyo mfumo kristu unavyofanya kazi,

Acheni bla bala hapa

Na hii theory umetoa wapi!?
Na kabla hujaendelea kutoa maneno meengi, una maana gani kusema nchi km uingereza kiongozi wake mkiristo!!

Kwanza unafahamu maana ya kujiita mkiristo??

Biblia inakwambia "uliberali ni haramu"!
Queen Elizabeth ndio ktk viongozi wa kwanza kusaini na kuikubali sheria mpya ya kuwaruhusu waliberali kuwa treated kama wanandoa wengine!! Na baadhi ya viongozi wakubwa wa kanisa!

Sasa kuna ukristo hapo?? Au ukristo ni kabila na taifa??

Kwa hivyo, kauli yako ya kusema haiwezekani kuwa na mfumo kristo wakati kiongozi sio mkiristo ifute!
Wako viongozi wamewekwa km pambo tu! Au mfumo unakuwa umetapakaa kila kona na kuufuta inatakiwa kiongozi awe jasiri asiyeogopa lawama!

Mfano mzuri ni Tz! Na huo mfumo kristo umesambaa km saratani!

Kuuondoa inataka mapambano ya hali ya juu sana! Lkn siku zote chanzo cha matibabu ni kuutambua ugonjwa kwanza!
Na sisi tumeisha yatambua maradhi!
Iliyobaki ni kutafuta dawa tu!.
 
Watu walio filisika kihoja hutumia udini na ukabila kutafuta uhalali katika jamii.
 
haha....wauza vitumbua ktk vichochoro hawalipi kodi, wauza mirungi na waganga uliowakataa...wauza unga, wauza udi, ..wengi hawalipi..Kwanza saa wanazojipanga huko barabara nav vibarazani ni muda wakati maduka yamefungwa..pita miji yote nchini ...sehemu ambzo mchana ni maduka..jioni ukipita kunawaka mioto na vyakula vyenye viungo vingi sana....huku wakichoma udi, na vitu vingine vy akishirikina wakiamini vinavuta bishara..waokopa ushuru wa jiji saa hizo hawapo....

Hembu sema tena wapi unajua uokotaji wa ushuru..?kn unabisha pita dar sehemu yoyote ya waswahili wengi.....uone uwekezaji wao..ila ukipita kwa wakristu utakuta kuna bar iliyosajiliwa na mpishi anakuwa kakodi kwa mwenye bar ambaye anakuwa answerable ktk kodi....

Hembu kidogo basi mtumie kaili ili kupunguza maswali ya kurudiarudia km habari ya "kuku na yai"

Wacha kijichekesha km mtoto!
Unasema kuna mitaa ya kikristo Dar!!?
Hebu ntajie mmoja
Halafu unataja baa kuwa ni za wakiristo!!?
Hivi nyie ukristo mnautafsiri kwa maana gani??
Hebu muulize yesu, je! Wewe unaejiita mgalatia unaruhusiwa kuuza pombe na vitimoto??
Sasa sio kwa sababu wewe unaitwa nicholas eti ndio iwe sababu ya kujiita mkristo!
Ukristo ni sheria na kanuni, na km utaenda kinyume nazo, basi wewe sio mkristo bali ni tapeli unaetumia jina la imani za watu! Na kwa mfano huu pia kuna waislamu wengi tu wanaojipa vyeo sio vya kwao ktk dini!
 
Kumbe hii dunia imeumbwa na Yesu nilikuwa sijui.

CC; Ally Kombo,

Utajulia wapi km HUJUI KUWA YESU NI NENO,NENO LA MUNGU NDILO ATUMIALO KUUMBA.HUO UJUMBE UPO KTK QURAN ILA MTAFUMBWA SANA MACHO NA MAMBO MENGI ILI MWIHSOWE MUANGAMIE CHEZA NA MAJINN NINI.

Neno la Mungu "LINAUMBA" Mungu analitoa tuu.LENYEWE LINATENDA.......ndio maana Quran inatoa mfano Yesu aliumba ndege, halfu mnapigwa chenga kwa neno KWA UWEZA WA MUNGU....kwani Mungu mwenyewe ni Nani...

Kwenye mikataba unashauriwa usome vimaandishi vidogo kwa makini....

*JINN NI MOTO, JINI PIA NI UZAO WA IBLIS, MAJINN IN WAISLAM..MAJINN YANAKULA DAMU NA MAVI.....WAISLAM WANAISHI NAO......URAFIKI WA MAJINN NA WATU UNA MUSKELI SIKU ZA MWISHO..


Yet waislam hawajwahi ng`amua kitu hadi leo........kwanini hawatakuwa na amani hata siku moja....

mcc tena:ALLY Kombo akathibitishe km Yesu Si NENO na HILO neno ndilo linaumba .
 
Wacha kijichekesha km mtoto!
Unasema kuna mitaa ya kikristo Dar!!?
Hebu ntajie mmoja
Halafu unataja baa kuwa ni za wakiristo!!?
Hivi nyie ukristo mnautafsiri kwa maana gani??
Hebu muulize yesu, je! Wewe unaejiita mgalatia unaruhusiwa kuuza pombe na vitimoto??
Sasa sio kwa sababu wewe unaitwa nicholas eti ndio iwe sababu ya kujiita mkristo!
Ukristo ni sheria na kanuni, na km utaenda kinyume nazo, basi wewe sio mkristo bali ni tapeli unaetumia jina la imani za watu! Na kwa mfano huu pia kuna waislamu wengi tu wanaojipa vyeo sio vya kwao ktk dini!

unasemaje?mbona unapotosha mambo ili uzidi kidanganya?nimesema mitaa ya kikristu..?hiyo mitaa ikoje?Naona unachanganya mitaa yenye shughuli nyingi za Wakristu na mitaa kuwa ya kikristu.....

Hayo mengine sijui ya utapeli na nini niwewe tuu unastruggle kupata tafsiri ya Ukristu kwa fikra za kislam..Ndi Ngumu..ulezi na Pombe vinakemewa ktk Ukristu kwa namna ambayo ni tofauti na uislam.Hata uongo kw auKristu uongo ni mbaya, kuua ni kubaya..kubaka ni kubaya kw ambakaji mwenyewe..kwa waislam kunategemea nani kafanyiwa na kwa maslahi ya nani.
 
Asante sana kwa ufafanuzi murua mkuu wangu!

Unajua wenzetu waislam wantumia fikra za kiislam kudefine dunia universal...sasa kila kitu kimekuwa km fumbo...Wenztu wamepambana wewe ila kila mara waankutana na serikali ...mwenzao mmoja akawshtua itakuwa serikali inawapigania....mwingine aliyekutana na sherika akasema hizi sheria si zetu....mwingine akawaamabia dawa ni kubadili serikali tuweke yetu na nasisi ili sasa tuanze pambana na hawa jamaa walioweka mfumo wao.Yaani hawakujua wakristuw anatumia advantage ya uraia wao kwanza na stahiki zake km ulinzi , halafu pili sheria inayotoa uhuru kwa wengine.Wanchofanya wao ni kuzidai hizi haki kwa serikali.

Jamaa watagonga hapa wewe....hadi wachoke wakakusanya tena nguvu.......nadhani hakuna haja ya mtu kuwashtua ...
 
hah nimelijbu hili swali long time:

-Makosa ya jinai ni ya jamhuri jamhuri ndio inayoshitaki mhalifu.

-Pia wakristu km raia chini ya sheria wanalindwa kwa sheria ya nchi na serikali ndio inapaswa toa huo ulinzi...so kwa utaratibu huo mtapigana sana serikali kwanza kabla hamjaifikisha hii nchi ktk vita za kidini.hata wakristu wangekuwa na vicha akm nyie nao pia wangedhibitiwa na serikali

Kingine ambacho kinawasumbua kuelewa huko msikitini?

Kasome Kwanza Hukumu ya Maarufu ya Mahkama ya Rufaa ya 2001 ambayo huwa ni sheria (Kesi ya Dibagula) imetamka Bayana si Kosa kisheria kutamka au kuhubiri kuwa Yesu si Mungu, wewe bado unang'angania eti ni halali Serikal kushtaki,Kesi ya Kashfa huanza kwa anaekashifiwa kulalamika kwenye Mamalaka husika sio kukimbilia Ikulu, wapi mmewahi kufungua Jalada la Malalmiko kuwa mnakashifiwa, Nyie mnapoikana Miungu ya wengine kama vile Mizimu mmeshawah kufunguliwa kesi ngapi kwa kukashif Miungu ya Asili au kukana Utume wa Muhammad?
Huu ulioita ukichaa wa Waislam ndio uliofuta hukumu ya Jaji Nixon Chipeta aliehukumu kwa Imani yake badala ya Sheria! Msilazimishe serikal kuwa Wakili wa kutetea Uungu wa Yesu, Hata Missionaries walikashif miungu ya Asili ili dini isambae leo mnalazimisha kupewa Immunity na Serikal ili Mungu wenu asihojiwe?
 
Anyway kuwasaidia wenzangu waislam, naona kuna wengi watakuwa wamenichukia hadi wanataamani hata wanikute na kukata shingo:

utafiti wangu wa kupitia maandiko, kuangalia practicea za waislam na event ktk jumuia za kiislam zilinifikisha ktk haya:

-kunagalia nature ya majinn, mahitaji ya majinn, mahusiano yao na waislam, ......
-kunagalia uelewa wa waislam kuhusu majinn nafaida na hasara zake , Maandiko yanawasemaje hawa viumbe na uhalali wa hayo mahusiano.

Nimekuja gundua haya shida ya waislam na ambayo haitokwisha ni Uwepo wa MAJINN ktk uislam......hawa viumbe wa ajabu ktk ajabu yao wamepelekea waislam kuwa na "Chaos".Wapo waislma wajuao ninayoyaongea ila wameyakubali kwa vile wanajua jinsi ya kuishi nayo kwa faida zao na madhara wanayoyaelekeza kwa wengine.NA kuna waislam wasiojua ambao wanashikiliwa na confusion ya hwa viumbe...ambao ni makini sana kutengeneza problems na kuzisolve kili kuzidi wafanya wayatumiayo kudhani kuwa shida ipo sehemu nyingine.

Majinn wan ahabari mbili ktk quran kuhusu Nature yao..ila ninachukua Nature ya wale uzao wa Iblis(Shetani).Majinn yanakula Mavi na Damu...yote.Vyoo vingi vya waislam ndipo watu hufa sana. wengi watakubali hili.Huko ndipo majinn huhifadhiwa,ila pia ndipo nao huwinda watu km windo no moja, achilia mbali ajali za njia , na mahospitali....

Waislam wengi waatakuwambia kuwa wana majinn kadhaa ila hawasemi ni vipi wanawapatia damu...pengine hawajui kwa vile wenye huo utaalamu ni wachache wanaohitajika majinn yalileta shida....Majinn huleta shida sana ktk jamii za kiislam hadi wapatie damu, ama wapewe vitu fulani fulani ndipo watulie....na mara nyingi shida yao ni mbaya haswa inayoweza hata sababu mtu kufa.

Majinn wanatajwa kuwa viumbe very trick sana...na wengi wataona ktk dunia ya kiislam ipo very delicate ,ni ngumu sana kuelewana ,na vitu vidogo huw avinalipuka kuwa vikubwa na blood sana.NImehoji sana watu wenye kupenda waganga, wazee wa matambiko..watunza majinn , wazee wa dini hata kuhsuhudia waislam kadhaa wakipandisha majinn na kuanza nyonga wengine, wang`ata wengine na hata kujipiga chini hadi damu itoke....na baadaye shekhe huja na ubani na mambo mengine baadaye hao jamaa hushuka..ktk kuhoji na kuangalia kwa makini.Its all about blood ndugu zangu na si blood kidogo au ya siku moja.

Ninachoweza sema na kumoa mwenye nia njema km ushauri utakaosaidia kupunguza haya maambo ni hii:Majinn yashughulikiwe kktk uislam..kw akuaytoa kabisa....si kuyatuliza ..shri za kidini zitapotea..zitabaki shari za washari walio waovu km waovu wengine.Otherwise mtazunguka mbuyu sana "comfussed" na kila sabaua itakua sababua ya fasta tuu ila hazitokuwa na uzito wa kuweza tambulika.

Damu ya Wakristu ina dhamani kwa vile shetani anajua si mali yake.....damu ya waislam wengi tayari amemilikishwa , na yeye anataka ongeza faida...Ili litimie lile Neneo Kuwa tutakombolewa Kwa damu yake..Damu ya Yesu mwenyewe ilikuwa na dhamani kubwa sana.......yaani shetani alilipwa deni lake na ziada...km ni nyamba alipewa kuku badala ya mautumbo ya nyumbu.

NI ushauri tuu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom