UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Teh teh teh teh, magari mabovu yanavutana, jamaa yako alipeleka huu utafiti wake kule Wavuti hana hamu kakutana na za uso, ndiyo kisa cha yeye kufanya editing kwenye bandiko lake alikutana na mtu wa shoka hebu soma hii chini hapa.

Yericko Nyerere, alivyokuwa mtupu kichwani bila aibu amechukua majibu ya huyu mtu na kuyaweka kwenye bandiko lake, teh teh teh...angalia haya majibu halafu angalia juu kwenye bandiko lake.

CC; THE BIG SHOW FaizaFoxy Ally Kombo, kahtaan,


Brother Huyu Jamaa,
Ndio maana ninasema ni mtu wa kuhurumiwa sana,
Ni bora kabisa kukosa mali kuliko kukosa akili na utambuz wa mambo,
Hapa sasa kila mwenye akili zake timamu ataona ni kwa jins gani huyu jamaa alivyo mtupu kichwani.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh, magari mabovu yanavutana, jamaa yako alipeleka huu utafiti wake kule Wavuti hana hamu kakutana na za uso, ndiyo kisa cha yeye kufanya editing kwenye bandiko lake alikutana na mtu wa shoka hebu soma hii chini hapa.

Yericko Nyerere, alivyokuwa mtupu kichwani bila aibu amechukua majibu ya huyu mtu na kuyaweka kwenye bandiko lake, teh teh teh...angalia haya majibu halafu angalia juu kwenye bandiko lake.

CC; THE BIG SHOW FaizaFoxy Ally Kombo, kahtaan,

Usipotoshe ukweli,

Soma nilicholeta kisha jenga hoja au uliza swali
 
Last edited by a moderator:
Mimi naomba niseme ukweli japo kuna ambao wata chukia. Ukweli ni kwamba kutokana ma sababu mbali mbali Waislamu(ma si wa Tanzanja tu) wako very sensitive kwenye maswala ya imani yao. Wanakua na hisia kali mno ambayo saa nyingine husababisha jazba na kukurupuka. Ndio maana si rahisi kusikia Wakristo wakiandamana kisa Yesu katukanwa au biblia ime chomwa moto lakini kwa wenzetu ni jambo la kawaida kuandamana na hata kuua kisa mtu mmoja au watu wachache wamemtukana Mohammad au kuchoma moto kurani.

Sasa basi turudi kwa Tanzania. Kutokana na hisia kali za Waislamu kutokana na dini yao ni rahisi watu wachache wenye maslahi binafsi kutoa matamko na kuwa tumia Waislamu vibaya. Kama mtakua mmesoma critical thinking au philosophy mtakua mnajua nadharia za ethos/emotions (kubishana kwa kuteka hisia za watu) na logos/logic (kutumia logic kwenye ubishi). Sasa kutokana na wenzetu kuwa na emotions kali ukiwaambia chochote kuhusu dini yao badala ya kukaa chini na kutafakari wana tumia hisia mno. Je Tanzania ni mara ngapi kuona Wakristo kama Wakristo kuandamana? Je mara ngapi tumeona Waislamu wakifanya hivyo?

Mimi siwalaumu wenzetu kuwa na hisia kali na dini zao. Ni jambo jema. Lakini watambue kwamba ulimwengu kuna watu wa aina mbali mbali. Wasitumie hisia kali kutokana na matamko au vitendk vya wajinga wachache. Kwa hili ningeomba wapunguze papara na jazba na watambue kuna watu wanao tumia dini kwa maslahi binafsi. Sio kila mtu mwenye imani sawa na wewe ana nia njema na wewe. Usimsikilize mtu kisa tu ana abudu kwenye jengo sawa na wewe na usimpuuzw mwingine kisa tu hana imani sawa na wewe.

Najua kuna wachache wata nijibu kwa jazba (nategemea hilo nisha lielezea hili hapo juu) lakini natumia mtu akitulia na kutafakari ataona kuwa kuna kwa ukweli fulani kwenye maneno yangu.

Yesu 'akitukanwa' FFU na Dola kwa ujumla huwakilisha hisia za Wakristo ndio maana hutaskia Mkiandamana kwa kuwa Risas za Moto zinatumika na Magereza yanajaza watu kwa niaba yenu, 1996 Yesu 'alitukanwa' (Uungu wake ulikanwa) Paroko Lwambano wa Parokia ya mburahati akaenda kulalamika Ikulu watu wakaja kuuawa,Msikiti ukaporwa wakapewa Bakwata (Wakala wa Mfumo), 2001 Hamis Dibagula akakana Uungu wa Yesu Dola ikamtia Kizuizini na kifungo kikafuata sasa kama Dola ina react hivi kuna haja gani ya kuandamana Wakristo? Waislam hawana Wakala wa kudai haki zao ndio maana wanatoka wenyewe kuonesha hisia zao japo wanajua watapigwa Risasi, Wame Opt kununua Uhuru wao wa kulalamika kwa kukubali kupigwa Risas za moto na kugeuzwa Gereza kuwa ndio makazi yao!
 
Ndugu Yn acha kupotosha watu eitha kwa kutokujua ama kwa makusudi.....Watu wanaposema mfumo Kristo hawamaanishi idadi ya watu aliopo seeikalini la hasha.......Wanazungumzia maamuzi ya upendeleo kwenye Dini moja (ukristo ) haijalishi wanaofanya Hiyo maamuzi ni Wa Dini gani..........Hivyo utafiti wako umejaa mbegu ya chuki hasa kwenye mambo ya Dini ......Nakushauri kama kweli unataka kufanya utafiti wako jikite kupata ukweli ya kuwa kuwa Dini inapendelewa? kwa njia zote wakati Dini zingine zikipakwa mafuta kwa mgongo wa chupa? halafu leta majibu ya utafiti wako........Vinginevyo umejificha uso mwili unaonekana...........

Ondoa hisia za kidini unapojadili mada hii ndugu,

Unaposema watu wa dini nyingingi wanapendelewa, hivi ukitaka kujiridhisha madai hayo, wapi utatafiti kama sio huku kwenye sekta za serikali?
 
Ndilo Yericko Nyerere alitakiwa alifanyie utafiti na siyo kutafuta majina ya kuwa Dini baadala ya mfumo Kristo kwa manna ya upendeleo.......
Yesu 'akitukanwa' FFU na Dola kwa ujumla huwakilisha hisia za Wakristo ndio maana hutaskia Mkiandamana kwa kuwa Risas za Moto zinatumika na Magereza yanajaza watu kwa niaba yenu, 1996 Yesu 'alitukanwa' (Uungu wake ulikanwa) Paroko Lwambano wa Parokia ya mburahati akaenda kulalamika Ikulu watu wakaja kuuawa,Msikiti ukaporwa wakapewa Bakwata (Wakala wa Mfumo), 2001 Hamis Dibagula akakana Uungu wa Yesu Dola ikamtia Kizuizini na kifungo kikafuata sasa kama Dola ina react hivi kuna haja gani ya kuandamana Wakristo? Waislam hawana Wakala wa kudai haki zao ndio maana wanatoka wenyewe kuonesha hisia zao japo wanajua watapigwa Risasi, Wame Opt kununua Uhuru wao wa kulalamika kwa kukubali kupigwa Risas za moto na kugeuzwa Gereza kuwa ndio makazi yao!
 
Ndugu zangu waswahili,

Huyu ndugu ni miongoni mwa walioadhiriwa na propaganda hizi za mfumo kristu,

Hajui hata dhana ya MoU, sijui tumuokoaje,

Dr W.P.Slaa aliwahi kutoa ufafanuzi mpana sana kuhusu MoU na Kanisa,

Hakuna hata senti 1 ya mlipakodi wa Tanzania inayoingia kwenye MoU kwa dhamira tajwa, MoU ni makubaliano kati ya Kanisa na shirika la kigeni (ujerumani), serikali ya Tanzania ni shahidi tu katika Makubaliano hayo,

Inaonekana MoU lilikuwa jambo geni kwako hadi Padri Slaa alipokufafanulia. Kwanini Radio Maria walitoa ufafanuzi tofauti na Padri Slaa? Huenda unafikiri kila usiyemuona ni mchovu kitaaluma kama walio karibu yako. Pole na mfumo wenu Kristo.
 
Brother Huyu Jamaa,
Ndio maana ninasema ni mtu wa kuhurumiwa sana,
Ni bora kabisa kukosa mali kuliko kukosa akili na utambuz wa mambo,
Hapa sasa kila mwenye akili zake timamu ataona ni kwa jins gani huyu jamaa alivyo mtupu kichwani.

Nilisema wazi kuwa wewe hii mada ipo kifuani na huwezi kuitabipika hata kidogo,

Uliahidi kupuuza na kutoweka hapa lakini moyo unakusuta,

Punguza papara bwana mdogo, utaugua vidonda vya tumbo bure!
 
ZeMarcopolo,

Huu mtihani mgumu sana hakuna majibu zaidi porojo.

Mkuu,

Tatizo la Yericko anafanya mzaha na mambo yasiyohitaji mzaha.

Jana aliahidi akiamka leo atakuja tuongee numbers. Naona amechukua daftari lake akajumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya akaona his numbers dont add up. Sasa ameamua kuingia mitini. Hataki kujadili numbers anajikita kwenye "kusutana".

Yericko siku hizi amekuwa na roho mbaya kama Mwanakijiji, sijui kwa nini!!!

Originally Yericko alikuwa ni "kijana" anayeonekana kuwa na malengo mema na nchi yake. Lakini lately ameingia kwenye kundi la watu kama Mwanakijiji. Lakini Yericko inabidi ajue kumuiga tembo,.....

Mwenzie Mwanakijiji hata ikitokea demage haimdhuru, yuko zake States. Yeye mkazi wa Kigamboni anaiga iga tu!
 
Ndilo Yericko Nyerere alitakiwa alifanyie utafiti na siyo kutafuta majina ya kuwa Dini baadala ya mfumo Kristo kwa manna ya upendeleo.......

Wamuulize aliyepiga 'ban' kitabu cha SIASA YA TANZANIA BARA NA KANISA KATORIKI.
 
Nimehuzunika sana kuona huu nao unaitwa Utafiti,Labda kwa kuwa Lugha yetu ni finyu kwenye Misamiati, Mtafiti huyu kashindwa kwanza kabisa Mwanzo wa Utafiti wake kwa kuanza kukejeli eti ' wanaoimba Wimbo huu wa Mfumo Kristo walishindwa kutoa majibu Mujarrab' Vitabu kadhaa vimeandikwa kikiwemo cha Pdri Sivalon akieleza Nafasi ya kanisa Tanganyika, Professor Hamza Njozi kaandika 'The Killing of Mwembe chai and Political future of Tanzania', Tape, Hotuba za Masheikh na Wanazuoni wa Kiislam wameeleza kwa kirefu sana.
Waislam siku zote mmekuwa mkidandia sana vitabu vyenye malengo mengine, just because mnadhani kuwa mnaweza pata,kitu ch akuwasaidi kwa muda mfupi..hii ndio mentality ya CUF pia....

Waislam waliwahi pia Ingia kichwakichwa ktk Darwin theory of Evolution na kujaribu thibitisha kuwa Quran ilishaandika mapema n aujinga mwingine....

Padri Kueleza nafasi ya kanisa ni theological point of view, kwa makanisa yoyote duniani kuwa na utaratibu wa kuangalia mabadiliko ya nchi, mahusiano ya kanisa na dola, mahusiano ya kanisa na dini nyingine..Na vile vile ili kanis akuweza survive lazima nao wapambane ili waweze liweka kanisa mahali salama.hina tofauti na struggle y amakundi mengine ili kuweza pata uwakilishi ktk sehemu nyeti za nchi.Km waislam wanasubiri kupew akw anjia zisizo halali wala kuw ana mipango mizuri.Haiwezei kuwa makosa ya wakristu.

Hata ktk familia mtoto anaweza chukua zaidi kiasi ambacho angeweza rithishwa kihalali km mgawo ungekuwa wa sehemu, kwakuiba na kwenda fuja, au akasubiri na kupewa kihalali kwa pamoja na kwenda tumia kwa busara ili kufanikisha huku akiwa na baraka za baba....

Waislamw amekuwa wakichukua tunu za nchi kwa njia rejareja sana, na hivyo hawajafaidika....
Hata kama huamini ulipaswa kupitia na kuweka hoja zao ili Upate 'Lacuna' Gap ambalo litakufanya Uanze Reserach, Sasa umekwepa Hoja zao halafu umekimbilia kuweka majibu yasiyo na Maswali, Hospital za Mkoa za Serikali Hazina X-ray halafu unasifia Serikal kupeleka Pesa kanisani kununua X ray tena hizo fedha hazina ukaguzi wa serikal kujiridhisha na Matumizi yake.

Unapojaribu zima ubongo kirahisi hivi unaondoa credibility yako kuchangia hii hoja..

Sasa ulitaka serikali ifanya nini:Km hospital za kanisa ni kubwa kuliko ya serikali sehemu hiyo na serikali inataka watu wote hata ombaomba na walalamikajiw a kiislam, na wanahitaji X-ray ulitaka serikali ifanye nini?Pengine hujatembea mikoani ukaona Hospital za kanisa halafu uone kipi serikali ingechagua..Hopsital km Bwagala, Hydom,Rombo Huruma, etc....Zinahudumia watu wengi sana, uwekezaji w akanisa ni mkubwa sana.....wagonjwa ni wengi sana, sasa serikali kuambia kuwa X_ray imeleta shida na kulipa mishahara ya madaktari amabo waliongezwa na serikali zaidi ya budget ya kanisa..ndio kosa?

Kwa taarifa yako hizo hospital zikishingia mkataba na serikali huduma hushuka sana, watu huwa wengi sana, hadi mifumo ya uchafu kushindwa stahimili ..hii inaonyesha serikali haiwezi na haijafika mbali kabisa..waislam hadi sasa ni kulalama hakuna hata hospital moja mmesimamisha ili nanyi mpate hizo hela mnazolilia.
Mara zote Serikal imekuwa Mlalamikaji kwenye madai yanayoitwa Kashfa dhidi ya Dini Kikristo wakati kesi ya Madai haihusu Serikali na wapo Waislam walikwishapigwa Risasi,kufa kufungwa kwa kukana Mungu wa Kikristo lakin hakuna hata kesi moja ya Wakrsito wakipinga Uungu wa Allah au miungu ya Asili.

Unachokosea ni kwamba, wakristu huwajibisha serikali kwanza ktk kujibu hoja.Sababu ambazo nataka uzishike kwa umakini na usirudi tena kwa hili kuelezea ujinga wako:

1.Sheria ya nchi inakataza kukashifu dini nyingine....right?Kwa mkristu au mhindu kumwambia Mungu wao si Mungu ni kufuru....kwani wao ndio wamemchagua kuwa Mungu wao wa Kumwabudu..km Nyie mlivyomchagua allah na muhamad km miungu wenu.Utashangaa kumjulisha muhamad..ila ukweli ndio huo.Quran inaongelea wingi kila mahali.."sisi, tu etc" n amahali pa kumtaja allah na muhamad hutajwa kwa pamoja(kumhehsimu allah na mtume wake)..huwezi bisha hii kufuru kwani wakristu nao wakisema Quran si kitabu sahihi..kesho mnachoma makanisa mkidai ni kufuru..right?Sasa tofauti ya wakristu na Waislam ni kwamba.wao hutumia sheria....njio mnajichukulia sheria mikononi...mkaosa ya jinai ni ya jamhuri na jamhuri ndio ina jukumu la kulipeleka mahakamani.....nadhani umepata picture.Same hata ukibaka au kuiba msikitini.

2.Madai mengine ya sijui MOU..huwezi wadai kanisa kwa kupokea ila utawadai Serikali kw akumpa yule na si wewe,ndipo watakupa sababu.Nalo halihusu kanisa..ndipo mtakapoona wapi mnapigana na dola bila jijua na mwishowe mkahitimisha kuwa serikali ni mfumo kristu.

3.Pia waislam hawataki zikubali sheria za nchi, kitu ambacho ni kosa ..huo ni uasi na shid akwa dola yoyote duniani hata ya Kiislam.

Tangu kuanzishwa NECTA haina tofauti na Parokia halafu Waislam hawaruhusiw kuhoji ila ni Halali wakristo kuhoji wingi wa Waislam kwenye Tume ya Katiba, serikal zote Tangu Uhuru zimekuwa zikifanya madudu japo kwa kiwango Tofauti ila 'Mtafiti' Mwenyewe ni Shahidi Kanisa hupaza Sauti kutikisa na kukashifu na kukosoa Serikal pale tu Rais anapokuwa si Mkatoliki, kama anabisha atueleze Kauli za Kanisa kumkosoa Nyerere au Mkapa japo kuna Madudu mengi tu katika Tawala zao, unapozungumzwa Mfumo ni Mpaka Fikra kiasi kwamba leo Ofisi ikiwa na Idad walau 40% ya Waislam huitwa Udini kwa kuwa si mazoea, NSSF kila siku inaitwa kuna Udini lakin tukiomba data za Idad ya waislam na Wakristo huingia mitini kama ile 64% ya wakrsto wakat wa sensa.
Kwa haraka hapa pia naona nimeandika vitu vingi sana:

1.Kuna vitu ktk taifa ambavyo kuvipata ni kwa taaluma na weledi bila jali dini, kabila wala nini..haya ni kwavile matokeo yake yanakuwa ya wote.Kiongozi mahiri ktk sector ya madini anayeweza ingizia serikali hela kiasi kikubwa sana ni faida kwa wote..Na hii ni secondary na inategemea misingi ilisemaji kuhusu hilo.

2.Kuna maeneo ya misingi ya nchi yanayojenga mahusiano ya hayo makundi na mgawanyo wa vitu....haya yanahitaji uwakilishi ulio sawa....n aunaokubalika kwa kila makundi kwani hapo ndipo kunajenga misingi ya mengine ambayo yatakuja leta shida km dini moja iliweka msingi kuwasupport wao.Mfano tuu wazenj wanataka pawe na kila kitu sawa ktk muungano.Ila hawataki pia pawe na uwakilishi sawa wa dini ktk mambo yao...Zenj ndio wana waislam wengi,ila wana wakristu wenye elimu na weledi mkubwa sana w akutosha tuu.....mfano akina Augustino Ramadhani....Bara waislam wanataka kila sekta iwe kwa usawa wa kidini kwanini sasa katiba hawataki?Hau na wewe hujaona?Ukitaka haki basi na wewe utoe haki.

3.Sehemu za weledi waislam wanapwaya kwa vile wana mamabo mengi ya ndnai yanayowafikisha hapo.Shule zao nyingi zina uongozi na vipaumbele vya hovyo, halfu bado wengi wanazikimbilia....wanafunzi kuaharibiwa kiakili kwa kulishwa maneno yanayowafanya wakishindwa wasiongeze bidii kwa vile wanaamini kuwa wamefelishwa....

Kuhusu kumkosoa JK nani hamkosoi..hata waislam wabaguzi, wenye kufaidi udini wa JK bado wanalalama kwa vile kuna wenye kauzalendo wanaumwa roho kuona tembo, hadi wa faru wa msaada waliokolewa nao wameuzwa...?JK kapwaya...Mwinyi nae si ndio aliuza loliondo...ambayo ndio msingi wa wanyama na tembeo kuuawawa leo..Enzi ya mwinyi si Ndio akina Gulamali walikuwa vinara wa kuuza unga kupitia vijana wetu .....vijana wa tanga wakaishia kuwa punda na mashoga....wangesoma leo Tanga ingekuwa wapi?
Nachokushauri Soma Vizuri Resercha Methodology and Technique and Tactics za Reserch ili uweze kufahamu Maana ya Reserch maana vitu kama hivi kuonekana Jukwaa la Brilliant eti ni Utafiti wa Greatthinkers unatudhalilisha hata kama ulihoji watu kweli kwa kiwango hicho japo ni Ngumu kumeza!

Kw akuhitimisha.Umejiwekea majigambo ila ume fall short off mambo mengi sana...na hivyo na wewe unaabisha great thinker hapa..Umejitajia terminologies tuu ila hazian muunganiko na utetezi wako.
 
Ndilo Yericko Nyerere alitakiwa alifanyie utafiti na siyo kutafuta majina ya kuwa Dini baadala ya mfumo Kristo kwa manna ya upendeleo.......
Naomba ujibu swali hili moja tu, ili twende sawa kwa hoja

Je upendeleo huo linapendelewa "kanisa" au waamini wa kanisa?
 
utafiti huu niwa uongo, wakupanga usio mbele wala nyuma.
mfano mzuri ni Zanzibar ambayo ni sehemu ndogo na tunajuana, amesema wanasiasa na si watendaji, lakini hata hivyo yule mwakilishi mkiristo tena mwanamke kwenye baraza la wawakilishi ameshasilimishwa? yule mbunge wa jimbo la Dole ni mkiristo pia. hivi utafiti uliufanya vipi au kutumia mfumo kristo? ukija watendaji usiseme kibao wakati huohuo ujue kuwa asilimia 98% ya wakaazi ni waislamu na asilimia mbili 2 % ni wa dini nyengine. Unategemea nini? au ndio maana Mnawaleta wakiristo kwa kivuli cha muungano ili mpate kuleta mfumo kristo na huku Zanzibar Ndio maana tuanata ka muungano wa mkataba na Tanganyika

Danganya wakotoliki wenzako, mfumo kristo upo si kwa wanasiasa tu lakini hata watendaji nawatoa maamuzi

Nyerere alifikiri akija na minamba atatukamata watu wenye uwezo zaidi yake, tunaojua nje na ndani ya mchonga meno. Mfumo Kristo upo na unanyanyasa baadhi yetu kupitia BAKWATA.
 
JK alisema halafu haku clarify ili asiwaudhi kwa kuondoa mnalopenda sikia....ndio maana Lema hadi Kesho anasema JK ndie mwanzilishi wa Udini......

Kinuke kwa lipi sasa.....mlitaka muende hospital za wakristu bure kutibu mabusha..,sukari, pressure na magonjwa mengine ya kula vibaya?

Kwanza Hata hiyo hela serikali inayotoa waislam wana michango kidogo sana....akina manji, mohamed more, bkhresa, wana misamaha kibao....waislam wengine ndio wauza mirungi, unga, vitumbua, uganga, restaurant za kwenye kona, kuuza misahafu, kanzu, tende etc vitu ambavyo havina kodi....wakristu wanalia kodi kubwa, bia na sigara, nyingine ni misaada ya Mataifa makubwa na mashirika ya dini(ambayo ni kodi za wakristu wa hayao mataifa na Sadaka za makanisani).

JK hawezi waamabia haya kwa vile uwezo wake kiakili Kagame anaweza usema vyema....waislama bado sana kuweza ishi wenyewe ktk hii dunia bila kukata mti mlioukalia.

Utaskia huyu nae Graduate! Ukitaja walipa Kodi waislam unamtaja Manji, hajui kama jiran zako akina Abdala na Fatuma Pia wanalipa Kodi hata kama nao si Wafanyabiashara, huji kuwa Kila Mkazi analipa Kodi au unadhani usippna mtu kwenye Foleni za TRA basi unaona halipi Kodi! Watu kama nyie ndio uthibitisho wa Mfumo Kristo mmebebwa kwa majina yenu wakati Vichwa vyenu ni Plain Paper thamani yake inategemea na Mchoraji atachora nn?
 
Utaskia huyu nae Graduate! Ukitaja walipa Kodi waislam unamtaja Manji, hajui kama jiran zako akina Abdala na Fatuma Pia wanalipa Kodi hata kama nao si Wafanyabiashara, huji kuwa Kila Mkazi analipa Kodi au unadhani usippna mtu kwenye Foleni za TRA basi unaona halipi Kodi! Watu kama nyie ndio uthibitisho wa Mfumo Kristo mmebebwa kwa majina yenu wakati Vichwa vyenu ni Plain Paper thamani yake inategemea na Mchoraji atachora nn?

Huyo jamaa nae ni wa kuhurumiwa pia,
Mimi nashangaa sana watu kuanzisha debate wasizo na uwezo nazo.
Inashangaza sana
 
Vipi makampuni ya madini Barrick Gold

hayamo?

kumbe ni kutojua tuu ndio kunawasumbua....dhahamu hailipi kodi ya pombe.......na hii ni kwa sababu ya uongozi mbovu....husikilizi bunge nini?Watu wanavyoicheka serikali ya JK kutegemea Pombe na Sigara ....sijui wenzangu wa zenj waliokataa udhamini wa TBL huku wakipokea fedha ya serikali kuu ya pombe na kitimoto inayosindikizia ulabu....unafiq utawamaliza watu.
 
Haha....tonatofautiana san ktk analysis a vitu....wafalme wa uarabuni wana hela nyingi sana za kufuru ila at the end of the day wamezungukwa na masikini wa kufa mtu......Umewahi jiuliza akina manji, karamagi, hata Bakheresa contribution yao ktk jamii si tuu ya watanzania au hata ya kiislam na kodi ktk uchumi wa nchi?NImekuuliza muulize bakhresa km angewauzia waislam pekee (wauza chapati) na maandazi angeuza chapati ngapi...?

Hiyo kuosha glass na JIK ni kuonyesha ujinga wako kiakili...JIK si salama kwa afya km wewe unadhani unasafisha something is wrong in your head and mindset.

Ukristu si dini wala hautokuwa dini .Ukristu ni "Neno ", Ukristu ni "Habari Njema" habari haiwezi kuwa utamaduni....NI HABARI YA UKOMBOZI.....UISLAMA NI HABARI YA KUJISALIMISHA.....WANAJISALIMISHA WALIOSHINDWA KTK VITA....NA BAADA YA KUJISALIMISHA WANASUBIRI HURUMA YA ADUI AU MHUKUMU WAO....UKRISTU NI UMASIHI..MASIHI NI MPAKWA MAFUTA..MPAKWA MAFUTA NI MTU ALIYEKWISHA APISHWA NA KUPEWA MILKI....so shetani aliyekufundisha kwa kupindisha maneno hajakosea sana..ila hakumalizia kwanini ukristu si dini..alijua ubongo wako hautoshi kung`amu mengi.....

Yesu ahatofunga foleni na mohamed ktk hukumu......YESU ni Neno la Mungu alilottumw amalaika kwa Maria, Neno La Mungu linaumba,Neno La Mungu linaishi ,Yesu aliumba alifufua, aliponya kwa vile yeye ni uhai wenyewe...na hakutaka dini kwa vile dini ni utamaduni wa watu duni wanahitaji teseka sana wakimtafuta Mungu..Wakristu Mungu aliwajia...


"Kasome Quran vyema uone Nguvu ya Neno la Mungu ....Nakumbusha "NENO-THE WORD"" Mungu hana meneno ...Mungu ni Mmoja Neno lake ni Moja...Neno Lake Lina Nguvu ya Mungu....Yesu Ni Roho Ya Mungu...Roho ya Mungu ni Mungu ..Kwani ina Nguvu za Mungu......Nadhani Baada ya hapo utajifunza kwanini Islam will never be as powerful as Christianity.....Injil itabaki kuwa na Nguvu sana na Itajilinda yenyewe mbele ya Mataifa bila vita.

Uislam hauna hata nguvu ya kukimbiza majinn achilia mbali "kuliishi Neno la Mungu"..kamuulize shekhe wako km kuna muislam anayeweza kimbiza Jinn....only kuwatuliza.
Huu ndiyo utafiti....
 
Mkuu,

Tatizo la Yericko anafanya mzaha na mambo yasiyohitaji mzaha.

Jana aliahidi akiamka leo atakuja tuongee numbers. Naona amechukua daftari lake akajumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya akaona his numbers dont add up. Sasa ameamua kuingia mitini. Hataki kujadili numbers anajikita kwenye "kusutana".

Yericko siku hizi amekuwa na roho mbaya kama Mwanakijiji, sijui kwa nini!!!

Originally Yericko alikuwa ni "kijana" anayeonekana kuwa na malengo mema na nchi yake. Lakini lately ameingia kwenye kundi la watu kama Mwanakijiji. Lakini Yericko inabidi ajue kumuiga tembo,.....

Mwenzie Mwanakijiji hata ikitokea demage haimdhuru, yuko zake States. Yeye mkazi wa Kigamboni anaiga iga tu!

Unanichukulia kirahisi sana ndugu yangu,
 
kumbe ni kutojua tuu ndio kunawasumbua....dhahamu hailipi kodi ya pombe.......na hii ni kwa sababu ya uongozi mbovu....husikilizi bunge nini?Watu wanavyoicheka serikali ya JK kutegemea Pombe na Sigara ....sijui wenzangu wa zenj waliokataa udhamini wa TBL huku wakipokea fedha ya serikali kuu ya pombe na kitimoto inayosindikizia ulabu....unafiq utawamaliza watu.
Umeulizwa Barrick Gold halipi kodi? unaleta stori ndefu nani hajui kama TBL wanaongoza kuliopa kodi, wewe jamaa mjinga mnoooo.
 
Utaskia huyu nae Graduate! Ukitaja walipa Kodi waislam unamtaja Manji, hajui kama jiran zako akina Abdala na Fatuma Pia wanalipa Kodi hata kama nao si Wafanyabiashara, huji kuwa Kila Mkazi analipa Kodi au unadhani usippna mtu kwenye Foleni za TRA basi unaona halipi Kodi! Watu kama nyie ndio uthibitisho wa Mfumo Kristo mmebebwa kwa majina yenu wakati Vichwa vyenu ni Plain Paper thamani yake inategemea na Mchoraji atachora nn?

haha..wauza mandazi na mirungi , waganga wa jadi?by the way nyumba nyingi zina migogoro ya wanadungu hakuna wa kulipa kodi....as along ni watoto wa wanaojiita waasisi wa CCM /TANU kutokea msikitini...wengi wanakula hadi kodi ya vyumba vilivyowekewa wakfu na wazee wao kwa ajili ye kupeleka misikitini....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom