UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Waislam siku zote mmekuwa mkidandia sana vitabu vyenye malengo mengine, just because mnadhani kuwa mnaweza pata,kitu ch akuwasaidi kwa muda mfupi..hii ndio mentality ya CUF pia....

Waislam waliwahi pia Ingia kichwakichwa ktk Darwin theory of Evolution na kujaribu thibitisha kuwa Quran ilishaandika mapema n aujinga mwingine....

Padri Kueleza nafasi ya kanisa ni theological point of view, kwa makanisa yoyote duniani kuwa na utaratibu wa kuangalia mabadiliko ya nchi, mahusiano ya kanisa na dola, mahusiano ya kanisa na dini nyingine..Na vile vile ili kanis akuweza survive lazima nao wapambane ili waweze liweka kanisa mahali salama.hina tofauti na struggle y amakundi mengine ili kuweza pata uwakilishi ktk sehemu nyeti za nchi.Km waislam wanasubiri kupew akw anjia zisizo halali wala kuw ana mipango mizuri.Haiwezei kuwa makosa ya wakristu.

Hata ktk familia mtoto anaweza chukua zaidi kiasi ambacho angeweza rithishwa kihalali km mgawo ungekuwa wa sehemu, kwakuiba na kwenda fuja, au akasubiri na kupewa kihalali kwa pamoja na kwenda tumia kwa busara ili kufanikisha huku akiwa na baraka za baba....

Waislamw amekuwa wakichukua tunu za nchi kwa njia rejareja sana, na hivyo hawajafaidika....


Unapojaribu zima ubongo kirahisi hivi unaondoa credibility yako kuchangia hii hoja..

Sasa ulitaka serikali ifanya nini:Km hospital za kanisa ni kubwa kuliko ya serikali sehemu hiyo na serikali inataka watu wote hata ombaomba na walalamikajiw a kiislam, na wanahitaji X-ray ulitaka serikali ifanye nini?Pengine hujatembea mikoani ukaona Hospital za kanisa halafu uone kipi serikali ingechagua..Hopsital km Bwagala, Hydom,Rombo Huruma, etc....Zinahudumia watu wengi sana, uwekezaji w akanisa ni mkubwa sana.....wagonjwa ni wengi sana, sasa serikali kuambia kuwa X_ray imeleta shida na kulipa mishahara ya madaktari amabo waliongezwa na serikali zaidi ya budget ya kanisa..ndio kosa?

Kwa taarifa yako hizo hospital zikishingia mkataba na serikali huduma hushuka sana, watu huwa wengi sana, hadi mifumo ya uchafu kushindwa stahimili ..hii inaonyesha serikali haiwezi na haijafika mbali kabisa..waislam hadi sasa ni kulalama hakuna hata hospital moja mmesimamisha ili nanyi mpate hizo hela mnazolilia.


Unachokosea ni kwamba, wakristu huwajibisha serikali kwanza ktk kujibu hoja.Sababu ambazo nataka uzishike kwa umakini na usirudi tena kwa hili kuelezea ujinga wako:

1.Sheria ya nchi inakataza kukashifu dini nyingine....right?Kwa mkristu au mhindu kumwambia Mungu wao si Mungu ni kufuru....kwani wao ndio wamemchagua kuwa Mungu wao wa Kumwabudu..km Nyie mlivyomchagua allah na muhamad km miungu wenu.Utashangaa kumjulisha muhamad..ila ukweli ndio huo.Quran inaongelea wingi kila mahali.."sisi, tu etc" n amahali pa kumtaja allah na muhamad hutajwa kwa pamoja(kumhehsimu allah na mtume wake)..huwezi bisha hii kufuru kwani wakristu nao wakisema Quran si kitabu sahihi..kesho mnachoma makanisa mkidai ni kufuru..right?Sasa tofauti ya wakristu na Waislam ni kwamba.wao hutumia sheria....njio mnajichukulia sheria mikononi...mkaosa ya jinai ni ya jamhuri na jamhuri ndio ina jukumu la kulipeleka mahakamani.....nadhani umepata picture.Same hata ukibaka au kuiba msikitini.

2.Madai mengine ya sijui MOU..huwezi wadai kanisa kwa kupokea ila utawadai Serikali kw akumpa yule na si wewe,ndipo watakupa sababu.Nalo halihusu kanisa..ndipo mtakapoona wapi mnapigana na dola bila jijua na mwishowe mkahitimisha kuwa serikali ni mfumo kristu.

3.Pia waislam hawataki zikubali sheria za nchi, kitu ambacho ni kosa ..huo ni uasi na shid akwa dola yoyote duniani hata ya Kiislam.


Kwa haraka hapa pia naona nimeandika vitu vingi sana:

1.Kuna vitu ktk taifa ambavyo kuvipata ni kwa taaluma na weledi bila jali dini, kabila wala nini..haya ni kwavile matokeo yake yanakuwa ya wote.Kiongozi mahiri ktk sector ya madini anayeweza ingizia serikali hela kiasi kikubwa sana ni faida kwa wote..Na hii ni secondary na inategemea misingi ilisemaji kuhusu hilo.

2.Kuna maeneo ya misingi ya nchi yanayojenga mahusiano ya hayo makundi na mgawanyo wa vitu....haya yanahitaji uwakilishi ulio sawa....n aunaokubalika kwa kila makundi kwani hapo ndipo kunajenga misingi ya mengine ambayo yatakuja leta shida km dini moja iliweka msingi kuwasupport wao.Mfano tuu wazenj wanataka pawe na kila kitu sawa ktk muungano.Ila hawataki pia pawe na uwakilishi sawa wa dini ktk mambo yao...Zenj ndio wana waislam wengi,ila wana wakristu wenye elimu na weledi mkubwa sana w akutosha tuu.....mfano akina Augustino Ramadhani....Bara waislam wanataka kila sekta iwe kwa usawa wa kidini kwanini sasa katiba hawataki?Hau na wewe hujaona?Ukitaka haki basi na wewe utoe haki.

3.Sehemu za weledi waislam wanapwaya kwa vile wana mamabo mengi ya ndnai yanayowafikisha hapo.Shule zao nyingi zina uongozi na vipaumbele vya hovyo, halfu bado wengi wanazikimbilia....wanafunzi kuaharibiwa kiakili kwa kulishwa maneno yanayowafanya wakishindwa wasiongeze bidii kwa vile wanaamini kuwa wamefelishwa....

Kuhusu kumkosoa JK nani hamkosoi..hata waislam wabaguzi, wenye kufaidi udini wa JK bado wanalalama kwa vile kuna wenye kauzalendo wanaumwa roho kuona tembo, hadi wa faru wa msaada waliokolewa nao wameuzwa...?JK kapwaya...Mwinyi nae si ndio aliuza loliondo...ambayo ndio msingi wa wanyama na tembeo kuuawawa leo..Enzi ya mwinyi si Ndio akina Gulamali walikuwa vinara wa kuuza unga kupitia vijana wetu .....vijana wa tanga wakaishia kuwa punda na mashoga....wangesoma leo Tanga ingekuwa wapi?


Kw akuhitimisha.Umejiwekea majigambo ila ume fall short off mambo mengi sana...na hivyo na wewe unaabisha great thinker hapa..Umejitajia terminologies tuu ila hazian muunganiko na utetezi wako.
Hivi wewe mzima kweli hauleweki unaandika nini ili ndiyo tatizo la kuingia JF umetutika viroba.
 
haha..wauza mandazi na mirungi , waganga wa jadi?by the way nyumba nyingi zina migogoro ya wanadungu hakuna wa kulipa kodi....as along ni watoto wa wanaojiita waasisi wa CCM /TANU kutokea msikitini...wengi wanakula hadi kodi ya vyumba vilivyowekewa wakfu na wazee wao kwa ajili ye kupeleka misikitini....
Teh teh teh tehe huu nao ni utafiti wa Mfumo Kristu.....punguza haya mambo.

DSC003181.jpg
 
MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI...

YESU KRISTO ndiye aliyeiumba DUNIA (Mithali 8:22-30) na ndiye huyo ATAKAYEWAHUKUMU WANADAMU WOTE (Ufunuo 22:12, 13).

Hata tarehe ya leo inasomeka Jumapili September 15, 2013 AD na wala sio BC (BC=Before Christ). AD=Anno Domino yaani "Mwaka wa BWANA" na huyo BWANA anayezungumzwa hapo ndiye YESU KRISTO.

Huu ni "UKWELI MCHUNGU" kwa WAPINGA KRISTO wote. Hii ni hoja inayozidi SIASA, UCHUMI, ELIMU na hata JAMII. Hii inahusu ROHO ZENU na MAISHA BAADA YA KIFO.
If you can not BEAT JESUS, then JOIN HIM. Karibuni kwa YESU awape UZIMA WA MILELE.

Fanyeni mtakavyoweza JUENI LEO KWAMBA MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI KAMWE.
 
haha..wauza mandazi na mirungi , waganga wa jadi?by the way nyumba nyingi zina migogoro ya wanadungu hakuna wa kulipa kodi....as along ni watoto wa wanaojiita waasisi wa CCM /TANU kutokea msikitini...wengi wanakula hadi kodi ya vyumba vilivyowekewa wakfu na wazee wao kwa ajili ye kupeleka misikitini....

unahitaji Darsa la Kodi ujuwe Kodi inalipwa Vipi! Ina maana mpaka leo ulikuwa hujui Muuza Vitumbua na Maandaz wa Barabarani analipa Kodi japo hajui hata kujaza form ya Return au ulipo mlango wa TRA? Bora kutokuwa na Akili kabisa kuliko kuwa na Akili za kijinga!
 
MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI...

YESU KRISTO ndiye aliyeiumba DUNIA (Mithali 8:22-30) na ndiye huyo ATAKAYEWAHUKUMU WANADAMU WOTE (Ufunuo 22:12, 13).

Hata tarehe ya leo inasomeka Jumapili September 15, 2013 AD na wala sio BC (BC=Before Christ). AD=Anno Domino yaani "Mwaka wa BWANA" na huyo BWANA anayezungumzwa hapo ndiye YESU KRISTO.

Huu ni "UKWELI MCHUNGU" kwa WAPINGA KRISTO wote. Hii ni hoja inayozidi SIASA, UCHUMI, ELIMU na hata JAMII. Hii inahusu ROHO ZENU na MAISHA BAADA YA KIFO.
If you can not BEAT JESUS, then JOIN HIM. Karibuni kwa YESU awape UZIMA WA MILELE.

Fanyeni mtakavyoweza JUENI LEO KWAMBA MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI KAMWE.

Takbeer!! Mmeanza kukiri Uwepo wa Mfumo Kristo japo kwa Taaaaabu, Mfumo Kristo haukubaliki Tushirikiane kuutokomeza!
 
MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI...

YESU KRISTO ndiye aliyeiumba DUNIA (Mithali 8:22-30) na ndiye huyo ATAKAYEWAHUKUMU WANADAMU WOTE (Ufunuo 22:12, 13).

Hata tarehe ya leo inasomeka Jumapili September 15, 2013 AD na wala sio BC (BC=Before Christ). AD=Anno Domino yaani "Mwaka wa BWANA" na huyo BWANA anayezungumzwa hapo ndiye YESU KRISTO.

Huu ni "UKWELI MCHUNGU" kwa WAPINGA KRISTO wote. Hii ni hoja inayozidi SIASA, UCHUMI, ELIMU na hata JAMII. Hii inahusu ROHO ZENU na MAISHA BAADA YA KIFO.
If you can not BEAT JESUS, then JOIN HIM. Karibuni kwa YESU awape UZIMA WA MILELE.

Fanyeni mtakavyoweza JUENI LEO KWAMBA MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI KAMWE.

Maandiko ya biblia yanahusu ulimwengu mzima,

Tanzania ni moja ya nchi zisizotawaliwa kwa mfumo wa aina yoyote ya "KIROHO"

Nchi ya Ujerumani ni ya kikristu ambapo makasisi wake hulipwa mishara na Serikali,

Nchi ya Uingereza nayo ni ya mfumo kristu ambapo viongozi wa kiroho wanalipwa na serikali,

Nchi yenye mfumo wowote wa "kiroho". Mfano mfumo islamu: haitatokea hata chembe kiongozi mkuu wa nchi kuwa mkristu,

Vivyo hivyo nchi yenye mfumo kristu haitatokea kiongozi wa nchi kuwa muislamu!

Hivyo ndivyo mfumo kristu unavyofanya kazi,

Acheni bla bala hapa
 
Yericko uliahidi kuwa ukiamka utakuja tuongee numbers naona umeingia mitini na sasa umejikita kwenye "kusutana".

Njoo hapa tuongee numbers, ili ujiridhishe kuwa "utafiti" wako ni porojo za kijiweni.

Umesema Dar kuna watu mil. 5.1. Tukubaliane na takwimu hiyo, na wala sitakuuliza source.

Sasa jibu swali hili kwanza ili tuwekana sawa kwa numbers, kwa sababu utafiti ni numbers.

Je, ni asilimia ngapi ya wakazi wa Dar wako kwenye umri wa kuajiriwa/kufanya kazi? Hii ni kumaanisha kutoa walio chini ya miaka 18 na walio zaidi ya miaka 65 ikiwa ni pamoja na walio mashuleni (sekondari na vyuo).

Makadirio niliyo nayo yanaonyesha walio nje ya umri wa kufanya kazi ni zaidi ya asilimia 50 na mimi huwa ninatumia asilimia 50 kama makadirio ya walio nje ya umri wa kufanya kazi. Je, unakubaliana na makadirio haya? If not, je wewe makadirio yako ni asilimia ngapi? Kwa vile hii ni data muhimu katika "utafiti" wako sitarajii useme kuwa huna takwimu hizo.

Tuanze na swali hili halafu hatua kwa hatua utajiridhisha jinsi ulivyojaa porojo za vijiweni kama ile hadithi yako ya Lebanon.

hizo ni official data..ila dara kuna watu zaidi ya mil 10 wengi wakiwa hawana muda kuhesabiwa,wengine wakiwa akina nyinyi mliogoma....so kwa vyoyote kuna data overlaping...ila overlaping ya data hapa haimpingi Yericho ndio maana hata mmi sikuulizia sana mamba mengi..mara nyingine mnahitaji tumia akiliz enu kupunguza to and from questions.
 
Umeulizwa Barrick Gold halipi kodi? unaleta stori ndefu nani hajui kama TBL wanaongoza kuliopa kodi, wewe jamaa mjinga mnoooo.

haha ..vitu vingine tumia akili ili kupunguza cyclic reasoning.

Barrick lazima walipe kodi kwa vile ni utamaduni wa kimagharibi..ila kiasi gani wanacholipa na asilimia ngapi ktk pato litokanalo na kodi?


Ni kiasi ndicho kinachomatter na ukubwa w abiashara yao....ndipo utawakuta akina Bkhresa, Manji etc
 
hizo ni official data..ila dara kuna watu zaidi ya mil 10 wengi wakiwa hawana muda kuhesabiwa,wengine wakiwa akina nyinyi mliogoma....so kwa vyoyote kuna data overlaping...ila overlaping ya data hapa haimpingi Yericho ndio maana hata mmi sikuulizia sana mamba mengi..mara nyingine mnahitaji tumia akiliz enu kupunguza to and from questions.

Asante kwa kujitolea kujibu, lakini swali langu liko directed to Yericko. Yeye ndiye anayebeba dhamana ya huu utafiti sio wewe.

Mwache ajikusanyekusanye aje ajibu mwenyewe, ili baadae asiseme kuwa sio maneno yake.

What I want ni percentage ya watu walio kwenye umri wa kufanya kazi/kuajiriwa, sio porojo porojo kama ulizoandika hapa. I want NUMBERS and ​I want them from Yericko...
 
Yesu 'akitukanwa' FFU na Dola kwa ujumla huwakilisha hisia za Wakristo ndio maana hutaskia Mkiandamana kwa kuwa Risas za Moto zinatumika na Magereza yanajaza watu kwa niaba yenu, 1996 Yesu 'alitukanwa' (Uungu wake ulikanwa) Paroko Lwambano wa Parokia ya mburahati akaenda kulalamika Ikulu watu wakaja kuuawa,Msikiti ukaporwa wakapewa Bakwata (Wakala wa Mfumo), 2001 Hamis Dibagula akakana Uungu wa Yesu Dola ikamtia Kizuizini na kifungo kikafuata sasa kama Dola ina react hivi kuna haja gani ya kuandamana Wakristo? Waislam hawana Wakala wa kudai haki zao ndio maana wanatoka wenyewe kuonesha hisia zao japo wanajua watapigwa Risasi, Wame Opt kununua Uhuru wao wa kulalamika kwa kukubali kupigwa Risas za moto na kugeuzwa Gereza kuwa ndio makazi yao!

hah nimelijbu hili swali long time:

-Makosa ya jinai ni ya jamhuri jamhuri ndio inayoshitaki mhalifu.

-Pia wakristu km raia chini ya sheria wanalindwa kwa sheria ya nchi na serikali ndio inapaswa toa huo ulinzi...so kwa utaratibu huo mtapigana sana serikali kwanza kabla hamjaifikisha hii nchi ktk vita za kidini.hata wakristu wangekuwa na vicha akm nyie nao pia wangedhibitiwa na serikali

Kingine ambacho kinawasumbua kuelewa huko msikitini?
 
Jibu hoja za Mkuu Nicholas sio malalamiko tu
Hoja zipi? Hoja yako ya utafiti imekuacha mtupu, yule jamaa wa Wavuti kakuweza kweli teh teh teh, majibu yake umeyachukua kisha umeedit bandiko lako ukayaweka, hauna tofauti na saa mbovu.
 
Kwanza kwa tafsiri ya kawaida ya "mfumo kristu" ni "utaratibu unaotumika kuongoza/kutawala mahali/watu kwa misingi ya dini ya kikristu"

Nchini Tanzania kumekuwepo na madai kuwa Tanzania "ni ya mfumo kristu",

Madai haya ni mazito na yanahitaji majibu yakinifu kutoka serikalini kwakuwa yanagusa imani za watu, yana athiri uchumi wetu, yana athiri siasa za nchi yetu, yana athiri elimu yetu pia yana athiri ajira nchini, lakini serikali imekuwa kimya kwa mda mrefu sasa,

Kwa dhana hiyo hapa wanaosema Tanzania ni ya mfumo kristu inamaana kuwa sekta zote zinazosimamiwa na serikali ya Tanzania zipo chini ya Ukristu na hata serikali kuanzia Urais hadi mjumbe wa nyumba kumi nk!

Mwaka 2011 nilijipa kazi maalumu yakuusaka ukweli kuhusu madai hayo,

UTAFITI wangu ULIFANYIKA katika majiji ya Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza na Zanzibar, hii ni kutokana na kuwa majiji haya ndio kitovu cha mambo yote na mwelekeo wa taifa letu, na ndiyo yenye wakazi wengi zaidi ambao ni zaidi ya 15% ya Watanzania wote!

Haikuwa kazi rahisi kupata nilichokihitaji hasa kila nilipojaribu kuomba ufafanuzi kwa walioimba na wanaoendelea kuimba wimbo huo wa "Mfumo Kristu" kukosa majibu mujarabu,

Nilipanga safu yangu ya kiutafiti katika makundi yafuatayo,

1) Siasa,
2) Elimu
3) Ajira
4) Uchumi

A. Katika anga la siasa hapa nilijikita kuangalia Watanzania wanaohudumu katika ngazi za kimaamuzi ya kisiasa tu kwa jiji la Dar, Mbeya, Mwanza, Arusha na Zanzibar

Jiji la Dar limekumbatia wanasiasa 521,556 ambao huendeshea shughuli zao za kisiasa Dar tu, niliowahoji imani zao za kiroho ni 360,001 kati ya hawa 270,823 ni waamini wa Uislamu na 89,100 ni waamini wa Ukristu huku 72 ni waamini wa imani zingine na 6 ni waamini wa Urasta fari.

Kundi la wanasiasa lililobaki nilitumia kigezo cha majina yao japo kina akisi kwa 98% tu ya ukweli wao!

Jiji la Mbeya lina wanasiasa 1360 ambao wanahudumu katika siasa ndani ya jiji hilo. niliowahoji kujua imani zao za kiroho ni 386 kati ya hawa 272 ni waamini wa Ukristu na 112 ni waamini wa Uislamu huku 2 ni waamini wa imani zingine na hakuna waamini wa Urasta fari.


Jiji la Mwanza lina wanasiasa 2682 wanaohudumu katika siasa ndani ya jiji hilo, niliowahoji kujua imani zao za kiroho ni 1230 kati ya hawa 324 ni waamini wa Uislamu na 696 ni waamini wa Ukristu huku watu 58 ni waamini wa imani zingine na hakuna waamini wa Urasta fari.

Zanzibar ina wanasiasa 682 wanaohudumu katika siasa ndani ya mamlaka hiyo, niliowahoji kujua imani zao za kiroho ni 123 kati yao 120 ni waamini wa Uislamu na 2 ni waamini wa Ukristu huku watu 1 ni waamini wa imani zingine na hakuna waamini wa Urasta fari.


B. ELIMU

Hapa kwenye sekta ya elimu kwakutumia takwimu za wizara ya Elimu, nilitumia majina ya wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2011-2012 kutambua imani zao japo sio njia aminifu kwa asilimia mia.

Mkoa wa Dar mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 120,032, kati yao 111,231 ni Waislamu, na 8,801 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Mkoa wa Mbeya mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 76,136, kati yao 25,621 ni Waislamu, na 50,515 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Mkoa wa Mwanza mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 100,116, kati yao 23,522 ni Waislamu, na 76,594 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa

Zanzibar mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 89,139, kati yao 89,138 ni Waislamu, na 1 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa


C. AJIRA

Kwamjibu wa takwimu zilizopo Wizara ya Utumishi na ambazo mimi nimetzitumia kama rejea kuu ni kuwa,

Mwezi wa 7 mwaka 2012 Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wafanyakazi 876,981, kati yao 492,238 ni Waislamu, wakati 384,700 ni Wakristu na 43 ni wa dini nyinginezo!

Mwezi wa 7 mwaka 2012 Mkoa wa Mwanza ulikuwa na wafanyakazi 226,139, kati yao 114,023 ni Waislamu, wakati 112,116 ni Wakristu na 0 ni wa dini nyinginezo!

Mwezi wa 7 mwaka 2012 Mkoa wa Mbeya ulikuwa na wafanyakazi 199,226, kati yao 99,221 ni Wakrstu, wakati 100,005 ni Waislamu na 0 ni wa dini nyinginezo


Mwezi wa 7 mwaka 2012 Zanzibar ilikuwa na wafanyakazi 113,206, kati yao 113,001 ni Waislam, wakati 205 ni Waikristu na 0 ni wa dini nyinginezo


D. UCHUMI

Katika anga la uchumi nchini nilimulika zaidi idadi ya wafanyabiasha katika miji hiyo kwakutumia takwimu za TRA na BRELA

Mwezi wa kumi nambili Mwaka 2012 jiji la Dar es Salaam pekee lilikuwa na makampuni (Limited) 4737 kwamjibu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni, kati ya hayo utafiti unaonyesha 3826 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu kwa 100%, wakati 911 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu,

Eneo la Kariakoo ambako kunamkusanyiko mkubwa wa wafanyabiashara na biashara zao kulitoa picha stahiki za utafiti wangu,
Kariakoo na viunga vyake pekee nilitembelea maduka 489,125, kati ya hayo 312,568 yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, na maduka 176,500 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Ukristu wakati maduka 57 wamiliki wake ni wa dini nyingine


Mwezi Januari Mwaka 2013 jiji la Mbeya lilikuwa na makampuni (limited) 197 kwamjibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kati ya hayo utafiti unaonyesha makampuni 102 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, wakati makampuni 95 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu.

Jiji la Mwanza lilikuwa na makampuni (limited) 204 kwamjibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kati ya hayo utafiti unaonyesha makampuni 102 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, wakati makampuni 95 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu.

Zanzibar ililikuwa na makampuni (limited) 81 kwamjibu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar, kati ya hayo utafiti unaonyesha makampuni 72 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, wakati makampuni 9 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu.

Msomaji unaweza kutumia mang'amuzi yako kujua hoja ya wenye hoja!

Ndugu zangu Watanzania, tuendeshe siasa za kistaarabu kuilinda nchi yetu iliyojengwa kwa jasho na damu, dhana za kufikirika na zenye agenda mtambuka na wakwale zitalipeleka taifa letu pabaya!
Kwavile ni mtizamo wako upo huru kusema japo kuwa halimaanishi usemalo kama ni kweli maana ukweli upo wazi kabisa
 
Hivi wewe mzima kweli hauleweki unaandika nini ili ndiyo tatizo la kuingia JF umetutika viroba.

Kwa wanye uzoefu wa JF ....hii habari ya "haueleweki, haieleweki " neno la mjina la kusema umenishika sina cha kusema.NI maarufu sana kwa magamba na alqaeda.
 
MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI...

YESU KRISTO ndiye aliyeiumba DUNIA (Mithali 8:22-30) na ndiye huyo ATAKAYEWAHUKUMU WANADAMU WOTE (Ufunuo 22:12, 13).

Hata tarehe ya leo inasomeka Jumapili September 15, 2013 AD na wala sio BC (BC=Before Christ). AD=Anno Domino yaani "Mwaka wa BWANA" na huyo BWANA anayezungumzwa hapo ndiye YESU KRISTO.

Huu ni "UKWELI MCHUNGU" kwa WAPINGA KRISTO wote. Hii ni hoja inayozidi SIASA, UCHUMI, ELIMU na hata JAMII. Hii inahusu ROHO ZENU na MAISHA BAADA YA KIFO.
If you can not BEAT JESUS, then JOIN HIM. Karibuni kwa YESU awape UZIMA WA MILELE.

Fanyeni mtakavyoweza JUENI LEO KWAMBA MFUMO "KRISTO" HAUKWEPEKI KAMWE.
Kumbe hii dunia imeumbwa na Yesu nilikuwa sijui.

CC; Ally Kombo, Gavana,
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh tehe huu nao ni utafiti wa Mfumo Kristu.....punguza haya mambo.

DSC003181.jpg
Ndio inakuweka mjini hiyo...ile rushwa ya lumumba wanaiba mapato ya hii...sijui sasa km sembe, mirungi, kuber.....uganga, ubani, udi ,pweza ...taarabu.......bao vinaingizia nchi nini?
 
Asante kwa kujitolea kujibu, lakini swali langu liko directed to Yericko. Yeye ndiye anayebeba dhamana ya huu utafiti sio wewe.

Mwache ajikusanyekusanye aje ajibu mwenyewe, ili baadae asiseme kuwa sio maneno yake.

What I want ni percentage ya watu walio kwenye umri wa kufanya kazi/kuajiriwa, sio porojo porojo kama ulizoandika hapa. I want NUMBERS and ?I want them from Yericko...

Nipo hapa tangu alfajiri ya leo,

Lete hoja yako hapa ndugu,
 
Kwa wanye uzoefu wa JF ....hii habari ya "haueleweki, haieleweki " neno la mjina la kusema umenishika sina cha kusema.NI maarufu sana kwa magamba na alqaeda.
Hebu jisome ulichoandika kama utaelewa umeandika nini punguza mbege zitakuuwa
 
unahitaji Darsa la Kodi ujuwe Kodi inalipwa Vipi! Ina maana mpaka leo ulikuwa hujui Muuza Vitumbua na Maandaz wa Barabarani analipa Kodi japo hajui hata kujaza form ya Return au ulipo mlango wa TRA? Bora kutokuwa na Akili kabisa kuliko kuwa na Akili za kijinga!

haha....wauza vitumbua ktk vichochoro hawalipi kodi, wauza mirungi na waganga uliowakataa...wauza unga, wauza udi, ..wengi hawalipi..Kwanza saa wanazojipanga huko barabara nav vibarazani ni muda wakati maduka yamefungwa..pita miji yote nchini ...sehemu ambzo mchana ni maduka..jioni ukipita kunawaka mioto na vyakula vyenye viungo vingi sana....huku wakichoma udi, na vitu vingine vy akishirikina wakiamini vinavuta bishara..waokopa ushuru wa jiji saa hizo hawapo....

Hembu sema tena wapi unajua uokotaji wa ushuru..?kn unabisha pita dar sehemu yoyote ya waswahili wengi.....uone uwekezaji wao..ila ukipita kwa wakristu utakuta kuna bar iliyosajiliwa na mpishi anakuwa kakodi kwa mwenye bar ambaye anakuwa answerable ktk kodi....

Hembu kidogo basi mtumie kaili ili kupunguza maswali ya kurudiarudia km habari ya "kuku na yai"
 
hah nimelijbu hili swali long time:

-Makosa ya jinai ni ya jamhuri jamhuri ndio inayoshitaki mhalifu.

-Pia wakristu km raia chini ya sheria wanalindwa kwa sheria ya nchi na serikali ndio inapaswa toa huo ulinzi...so kwa utaratibu huo mtapigana sana serikali kwanza kabla hamjaifikisha hii nchi ktk vita za kidini.hata wakristu wangekuwa na vicha akm nyie nao pia wangedhibitiwa na serikali

Kingine ambacho kinawasumbua kuelewa huko msikitini?
Asante sana kwa ufafanuzi murua mkuu wangu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom