hembu wape ambacho hamna wa kuwapa ktk misikiti yaoMaandiko ya biblia yanahusu ulimwengu mzima,
Tanzania ni moja ya nchi zisizotawaliwa kwa mfumo wa aina yoyote ya "KIROHO"
Nchi ya Ujerumani ni ya kikristu ambapo makasisi wake hulipwa mishara na Serikali,
Nchi ya Uingereza nayo ni ya mfumo kristu ambapo viongozi wa kiroho wanalipwa na serikali,
Nchi yenye mfumo wowote wa "kiroho". Mfano mfumo islamu: haitatokea hata chembe kiongozi mkuu wa nchi kuwa mkristu,
Vivyo hivyo nchi yenye mfumo kristu haitatokea kiongozi wa nchi kuwa muislamu!
Hivyo ndivyo mfumo kristu unavyofanya kazi,
Acheni bla bala hapa
Naona magari mabovu yanavutana teh teh teh!!Asante sana kwa ufafanuzi murua mkuu wangu!
Hoja zipi? Hoja yako ya utafiti imekuacha mtupu, yule jamaa wa Wavuti kakuweza kweli teh teh teh, majibu yake umeyachukua kisha umeedit bandiko lako ukayaweka, hauna tofauti na saa mbovu.
Huu mfumo kaunda nyerere ili wakristo wawezekuwatala wasilamukupitia kanisa leo hii kila ofice ya serikali ukiuliza kwenye wfanyakazi 20 wafanyakazi16 ni wakristo, yaani hakuna usawa, wakurugenzi wao, wakuu wamikoa wao, wakuu wa wilaya wao,mabalozi wao, mawaziri wao, makatibu wao, wasilamu wamepewa wajumbe wa nyumba kumi tu,wakristo wanakauli yao ya kijing ,eti wasilamu hawajaoma,
Km ungekuwa na akili kidogo ungeona hilo suala la watu kuwa daa bila kutambulika na kila siku wanaingia wengia tuu...issue ya waislam kugomea pia....halafu nimesema kuhusu suala la OVERLAPPING kwa data kati ya TRA na Sensor..kwanza TRA ni more current kwani watu wanajiandika mfululizo kadiri wanavyoongoeza bisahra, sensor hufanywa mara moja... Data za sensor ni minimum(At least)...Sijui unakomaa nini kumtafuta Yericko au una issue binafsi?Mbona yeyote naweza kujibu na Yericko akafurahi kwa vile lengo ni kujadili mambo...ndio maana kaleta hapa.Asante kwa kujitolea kujibu, lakini swali langu liko directed to Yericko. Yeye ndiye anayebeba dhamana ya huu utafiti sio wewe.
Mwache ajikusanyekusanye aje ajibu mwenyewe, ili baadae asiseme kuwa sio maneno yake.
What I want ni percentage ya watu walio kwenye umri wa kufanya kazi/kuajiriwa, sio porojo porojo kama ulizoandika hapa. I want NUMBERS and ​I want them from Yericko...
Bora haya mabovu lakini yana mafuta fulu tengi kuliko hayo magari mazima lakini hayana mafuta,Naona magari mabovu yanavutana teh teh teh!!
Asante sana kwa ufafanuzi murua mkuu wangu!
mill 48,261,942.....ni figure ya makadirio ya nchi nzima wewe kijana...na every second Idadi ya watu inabadilika haraka sana kutegemeana na rate iliyo sawa na difference ya wanaozaliwa, wanaokufa, wanahama na kuhamia kwa kubadili uraia.
Dar es Salaam ilikuwa inacheza na watu kati ya 5mil na 10mil na inaweza kuwa imezidi..ila data za Yericho no za watu ambao walipatikana na kuhesabiwa.....duh kwa hiyo figura unayotaka niw azi haukustahili ktk huu mjadala.
Maandiko ya biblia yanahusu ulimwengu mzima,
Tanzania ni moja ya nchi zisizotawaliwa kwa mfumo wa aina yoyote ya "KIROHO"
Nchi ya Ujerumani ni ya kikristu ambapo makasisi wake hulipwa mishara na Serikali,
Nchi ya Uingereza nayo ni ya mfumo kristu ambapo viongozi wa kiroho wanalipwa na serikali,
Nchi yenye mfumo wowote wa "kiroho". Mfano mfumo islamu: haitatokea hata chembe kiongozi mkuu wa nchi kuwa mkristu,
Vivyo hivyo nchi yenye mfumo kristu haitatokea kiongozi wa nchi kuwa muislamu!
Hivyo ndivyo mfumo kristu unavyofanya kazi,
Acheni bla bala hapa
haha....wauza vitumbua ktk vichochoro hawalipi kodi, wauza mirungi na waganga uliowakataa...wauza unga, wauza udi, ..wengi hawalipi..Kwanza saa wanazojipanga huko barabara nav vibarazani ni muda wakati maduka yamefungwa..pita miji yote nchini ...sehemu ambzo mchana ni maduka..jioni ukipita kunawaka mioto na vyakula vyenye viungo vingi sana....huku wakichoma udi, na vitu vingine vy akishirikina wakiamini vinavuta bishara..waokopa ushuru wa jiji saa hizo hawapo....
Hembu sema tena wapi unajua uokotaji wa ushuru..?kn unabisha pita dar sehemu yoyote ya waswahili wengi.....uone uwekezaji wao..ila ukipita kwa wakristu utakuta kuna bar iliyosajiliwa na mpishi anakuwa kakodi kwa mwenye bar ambaye anakuwa answerable ktk kodi....
Hembu kidogo basi mtumie kaili ili kupunguza maswali ya kurudiarudia km habari ya "kuku na yai"
Wacha kijichekesha km mtoto!
Unasema kuna mitaa ya kikristo Dar!!?
Hebu ntajie mmoja
Halafu unataja baa kuwa ni za wakiristo!!?
Hivi nyie ukristo mnautafsiri kwa maana gani??
Hebu muulize yesu, je! Wewe unaejiita mgalatia unaruhusiwa kuuza pombe na vitimoto??
Sasa sio kwa sababu wewe unaitwa nicholas eti ndio iwe sababu ya kujiita mkristo!
Ukristo ni sheria na kanuni, na km utaenda kinyume nazo, basi wewe sio mkristo bali ni tapeli unaetumia jina la imani za watu! Na kwa mfano huu pia kuna waislamu wengi tu wanaojipa vyeo sio vya kwao ktk dini!
Asante sana kwa ufafanuzi murua mkuu wangu!
hah nimelijbu hili swali long time:
-Makosa ya jinai ni ya jamhuri jamhuri ndio inayoshitaki mhalifu.
-Pia wakristu km raia chini ya sheria wanalindwa kwa sheria ya nchi na serikali ndio inapaswa toa huo ulinzi...so kwa utaratibu huo mtapigana sana serikali kwanza kabla hamjaifikisha hii nchi ktk vita za kidini.hata wakristu wangekuwa na vicha akm nyie nao pia wangedhibitiwa na serikali
Kingine ambacho kinawasumbua kuelewa huko msikitini?
Ndugu yangu,
Bahati mbaya sana hao uliowataja hapo juu na wewe mwenyewe, mkiulizwa hasa mfumo kristu ni upi Tanzania? hamna jibu yakinifu zaidi ya majibu ya dhahania tu,
Mfumo kristo ni kitu cha nadharia