Kasome Kwanza Hukumu ya Maarufu ya Mahkama ya Rufaa ya 2001 ambayo huwa ni sheria (Kesi ya Dibagula) imetamka Bayana si Kosa kisheria kutamka au kuhubiri kuwa Yesu si Mungu, wewe bado unang'angania eti ni halali Serikal kushtaki,Kesi ya Kashfa huanza kwa anaekashifiwa kulalamika kwenye Mamalaka husika sio kukimbilia Ikulu, wapi mmewahi kufungua Jalada la Malalmiko kuwa mnakashifiwa, Nyie mnapoikana Miungu ya wengine kama vile Mizimu mmeshawah kufunguliwa kesi ngapi kwa kukashif Miungu ya Asili au kukana Utume wa Muhammad?
Huu ulioita ukichaa wa Waislam ndio uliofuta hukumu ya Jaji Nixon Chipeta aliehukumu kwa Imani yake badala ya Sheria! Msilazimishe serikal kuwa Wakili wa kutetea Uungu wa Yesu, Hata Missionaries walikashif miungu ya Asili ili dini isambae leo mnalazimisha kupewa Immunity na Serikal ili Mungu wenu asihojiwe?
Ungeulizwa source ya data zako, nadhani kwa jibu rahisi ungekimbilia kusema ni utafiti wako mwenyewe. lakini ukienda ndani zaidi ungetuonesha vyanzo halisi na vya kuaminika. Mfano takwimu za wanasiasa jiji la mwanza ulizipataje na ni wapi, na hao wanasiasa ni wa level gani hasa katika swala la kufanya maamuzi. Halikadhalika ungefanya hivyo katika nyanja zingine ulizozitaja. Hii ingeweza kusaidia kujustfy unachojaribu kukiamini. Pia ungeweza kueleza ulijaribi vipi kuzuia bias katika utafiti wako, ungeenda kisayansi ya utafiti zaidi ya hapo. Vinginevyo utafiti wako huu huna tofauti na wanasaiasa wengine.
Wakati mwingine unapoandika kitu, jaribu kukisoma kwanza!
Wapi umeskia mtu mwenye elimu yake akatoa makadirio ya population ya mji wowote dunia eti kati ya 5 mil to 10mil??
Cant you even think for a moment??
Haya makadirio ya watu au panya??
Utajulia wapi km HUJUI KUWA YESU NI NENO,NENO LA MUNGU NDILO ATUMIALO KUUMBA.HUO UJUMBE UPO KTK QURAN ILA MTAFUMBWA SANA MACHO NA MAMBO MENGI ILI MWIHSOWE MUANGAMIE CHEZA NA MAJINN NINI.
Neno la Mungu "LINAUMBA" Mungu analitoa tuu.LENYEWE LINATENDA.......ndio maana Quran inatoa mfano Yesu aliumba ndege, halfu mnapigwa chenga kwa neno KWA UWEZA WA MUNGU....kwani Mungu mwenyewe ni Nani...
Kwenye mikataba unashauriwa usome vimaandishi vidogo kwa makini....
*JINN NI MOTO, JINI PIA NI UZAO WA IBLIS, MAJINN IN WAISLAM..MAJINN YANAKULA DAMU NA MAVI.....WAISLAM WANAISHI NAO......URAFIKI WA MAJINN NA WATU UNA MUSKELI SIKU ZA MWISHO..
Yet waislam hawajwahi ng`amua kitu hadi leo........kwanini hawatakuwa na amani hata siku moja....
mcc tena:ALLY Kombo akathibitishe km Yesu Si NENO na HILO neno ndilo linaumba .
Na hii theory umetoa wapi!?
Na kabla hujaendelea kutoa maneno meengi, una maana gani kusema nchi km uingereza kiongozi wake mkiristo!!
Kwanza unafahamu maana ya kujiita mkiristo??
Biblia inakwambia "uliberali ni haramu"!
Queen Elizabeth ndio ktk viongozi wa kwanza kusaini na kuikubali sheria mpya ya kuwaruhusu waliberali kuwa treated kama wanandoa wengine!! Na baadhi ya viongozi wakubwa wa kanisa!
Sasa kuna ukristo hapo?? Au ukristo ni kabila na taifa??
Kwa hivyo, kauli yako ya kusema haiwezekani kuwa na mfumo kristo wakati kiongozi sio mkiristo ifute!
Wako viongozi wamewekwa km pambo tu! Au mfumo unakuwa umetapakaa kila kona na kuufuta inatakiwa kiongozi awe jasiri asiyeogopa lawama!
Mfano mzuri ni Tz! Na huo mfumo kristo umesambaa km saratani!
Kuuondoa inataka mapambano ya hali ya juu sana! Lkn siku zote chanzo cha matibabu ni kuutambua ugonjwa kwanza!
Na sisi tumeisha yatambua maradhi!
Iliyobaki ni kutafuta dawa tu!.
kweli wewe unajingiza usipopajua:MAKADIRIO NI NINI?TUANZIE HAPO
Kwa taarifa yako km huna system inayoweka majibu ktk real time ,basi kinachohesabika kiwe ni kitu amabcho hakibadiliki hesabu....
BY the time sensa inamalizika, halafu anakwenda jumlisha na kufanya kustandarze ili kuweka margin of error....figure si hiyo tena.Wati wa staistics wanajua hilo ndio maana kuna neno inakadiriwa kufikia au ziadi ya .......tofauti ya kuzaliwa na kufa inabadili sana mambo....bado wale wanaohamia,bado wanaorudi ambao walizamia nje bila kuaga....hakuna figure exactly ya idadi ya watu dar ...dar awtu wanaingia kila dkk na wengine wanaodoka kupitia anga, kupitia barabara, na bandari..
usipende kuwa kitalolo ktk mambo serious..
Typical galatian! Unaongea bila hata kulifahamu andiko!
Huyo neno anaweza kutumwa??
Hebu tuangalie kwenye andiko je! mungu yesu ALIKUJA KWA HIARI YAKE? AU mungu yesu ALITUMWA na MUNGU MKUU!
-----TOFAUTI BAINA YA WAISLAMU NA WAKRISTO NI KUWA,
NYIE MNAMWABUDU ALIYETUMWA.!
NA SISI TUNAMUABUDU ALIYEMTUMA YESU!
Hizo ni imaginations zako!
Hata siku moja huwezi kuweka gap ya population between 5-10 milions!!
We hizi fikra unatoa wapi?
Hebu nionyeshe statistics yoyote duniani ikaonyesha makadirio ya watu ktk mji wwt with a gap of 5 millions!!
Unapoandika vitu hapa, jaribu kufikiri kwanza! Sii kila kinachokuja kichwani kwako basi unaandika tu!
Wenzetu wanasema upo na unafanya kazi, lakini kila nikiwaomba waueleze ulipo na unavyofanya kazi wanaweweseka tu!
tunalalamika kwa sababau tumezoea kutawala na wengi kuwafanya watwana
Kwanini unadhani siwezi?Ni kwamba siwezi au wewe hutaki
Margin ya makadirio inategemea unataka fanyia nini hizo data...km unarusha rocket unahitaji makadirio ya decimal places zaidi ya 20 kwa vile space erro kidogo tuu kwa umbali uliopo na mwendo unamiss target kw akilometers, km unatumia data kuwapa watu chupi hutakiwi kadiria kwani kuna atakayetembe uchi kwa kukosa,ila unaweza kadiria size...km unataka peleka chakula unaweza kadiri aupendavyo kwani unaweza punguza sahani...
km unatibu kansa unatakiwa ukate kiunge sehemu you are very sure hakuna cell yoyote ya kansa.....hapo ndipo utaona wapi kiungo inakatiwa na bado wengi wanajikuta kansa ilsihazidi na kufika kulikobaki.
Sasa mimi nakuambia watu wa dar ni kati ya hizo milioni 5 za Yeriko na 10m ...sababu nilishakupa sioni haja ya kurudia.Ni wewe uniambie kwanini hutaki sikia hilo?Kwanza uanchobishia ni ujinga wa Ritz ambaye alishweka quote ya milion 40+ figure ya nchi nzima..tena akaweza exactly kwani altaja figure inayoishia na wati 2.Wote mna shida za akili. Data za Yericko Zimezidi mil 5. sasa mimi kuweka figure ambayo kwa kiasi kukubwa zinakuwa ktk margin ni safe way yakusema jambo.
Tanzania
The United Republic of Tanzania (Kiing.)
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania (Kiswahili)
?
?
Bendera ya Tanzania
Nembo ya Tanzania
Wito: Uhuru na Umoja
Lugha rasmi
Kiswahili (kwa dhati)
Mji Mkuu
Dodoma
Makao ya Serikali
Dar es Salaam
Serikali
Jamhuri
Rais
Jakaya Kikwete
Waziri Mkuu
Mizengo Pinda
Eneo
945.087 km²
Wakazi
44,928,923[2] (30th) (2012)
Wakazi kwa km²
46.3
Uhuru
kutoka Uingereza tar. 9 Desemba 1961
Pesa
Shilingi ya Tanzania
Wakati
UTC+3
Dini za wakazi
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}
Wimbo wa Taifa
Mungu ibariki Afrika
?
Tanzania katika Afrika
?
Ramani ya mikoa ya Tanzania
Tanzania ni nchi iliyoko Afrika ya Mashariki. Imepakana na Uganda na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa mashariki, Msumbiji, Malawi na Zambia upande wa kusini, Kongo, Burundi na Rwanda upande wa magharibi.
Eneo lina kilometa za mraba 945,203 (nchi ya 31 duniani); maji ya ndani yanachukua asilimia 6.2.
Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya (mwaka 2012) ni 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002.
Msongamano ni wa watu 46.3 kwa km2 (nchi ya 124 duniani).
Tanzania ni nchi kubwa zaidi kati ya wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki.
Mji mkuu ni Dodoma, lakini makao makuu ya serikali bado yapo Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541. Majiji mengine ni kama vile Mwanza, Mbeya, Arusha, Tabora na Tanga.
Hivi umeisoma kweli hii mada au umekimbilia kupost tu hisia zako?
Hebu tumia mda kidogo soma ndugu, utaona kila namba iliposimama imekwenda na maelezo ya upatikanaji wa namba hiyo!
Hebu punguzeni jazba ili muelewe hasa mada inasema nini!
---- craaaaaaaaap.......give out source of data please sio kutuletea fikra kama vitabu vya Shigongo....
Ungeulizwa source ya data zako, nadhani kwa jibu rahisi ungekimbilia kusema ni utafiti wako mwenyewe. lakini ukienda ndani zaidi ungetuonesha vyanzo halisi na vya kuaminika. Mfano takwimu za wanasiasa jiji la mwanza ulizipataje na ni wapi, na hao wanasiasa ni wa level gani hasa katika swala la kufanya maamuzi. Halikadhalika ungefanya hivyo katika nyanja zingine ulizozitaja. Hii ingeweza kusaidia kujustfy unachojaribu kukiamini. Pia ungeweza kueleza ulijaribi vipi kuzuia bias katika utafiti wako, ungeenda kisayansi ya utafiti zaidi ya hapo. Vinginevyo utafiti wako huu huna tofauti na wanasaiasa wengine.
Mkuu,Tatizo la hawa watu hawafikirii kabisa
Hebu fikiria,wewe umetumia muda na gharama zako kufanya utafiti halafu anakuja mtu bila utafiti bila chochote na kukubishia
Hovyo sana hawa watu
Sijui wamezoea ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa ambavyo unaweza kuja na maneno kuwa Uwanja wa mpira wa miguu ni wa Yerico Nyerere na watu wakakubali na wengine kulichukua bila kufikiri na kwenda kuwaambia wenzao
Kuna wakati niliwahi kusema kuwa kuna imani zingine inabidi zikaguliwe maana waumini wake wamekuwa kama ma-zombie tu hawafikiri kabisa!
Mkuu Yeriko, kwanza niwasahahishe wale waliokupongeza kwa kuumiza kichwa kufanya utafiti huu.Mimi nakupongeza kwa kuumiza roho ndiko kilikopelekea kuandika thread hii.
'Utafiti' wako unaweza kujumishwa kwa maneno mafupi kuwa
Idadi ya waislam ni kubwa kuliko wakiristo katika Tanzania lakini 'utafiti' wako haujibu hata kidogo hoja za mfumo kristo kama unavyodaiwa na hao wanoleta madai hayo!