Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwapo watumishi wa serikari nchi nzima ni takribani laki tano tu,inakuwaje dar pekee inakuwa na watumishi laki nane, namashaka na takwimu za utafiti huu.
Ni kweli kariakoo kuwa na maduka 489,135 binfsi siamini, maake kwa idadi hii kariakoo peke yake tatizo la ajira kwa dar lingekuwa kidogo.
shangaa na wewe,anasema katembelea maduka laki nne,hiyo kazi haiwezi kufanywa na mtu mmoja.
Huyo hana data analeta ushabiki tu wa ukristo na usilam mbuna wakristo wanapewa fedha kwenye mkataba mou, wasilamu hawapewi huo sio mfumo kristo? Yericko aanaleta data uongo hapa nani asiyo jua nchi hii labda mkimbiz, mfumo wake
utafiti huu niwa uongo, wakupanga usio mbele wala nyuma.Inferiority complex ya waislam tu
Christian blood is more precious ktk madhabahu....christianity ndio inaset standards...ndio dira ya kupima ukweli na uongo ndio maana lazima waingizwe hata km hawataki....ukiinginza elements za ukritu ktk bisahra lazima ifanikiwe...Ni rahisi kuona wapi wanatafutwa kuuwawa, unaweza ona shule isipowahusisha wakristu hata wachache jinsi inakuwa zero,...ndio maana hata taasisi za kiislam za jamii za kihindi, waturuki au wengine zinafanikiwa kw akuchukua western ways....hata akina JK km hawakua absorb christian leadership wangebaki km wazenj..wazenj walioingi aktk muungano wanatofauti sana na wenzao..kule ktk misitu ya mikarafuu.
Wakristo hamna hoja juu ya ukweli huu wa mfumo kristo,raisi jk aliwahi kusema kuwa wakristo wanapewa fedha za kuendesha taasisi zao kama hospital ,shule,nk unafikiri wasilam hawajuwi wewe subiri tu kitanuka.
ama kweli kipofu kiziwi nia kaitka kaumu ya matatatizo. bila ya aibu eti anasema ukitaka kuongokewa katika biashara fuate nyao za kikrosto lakini wakati akijua kuwa hata top 5 ya taycoons wa tanzania ni waislamu. uchumi wa Tanzania uko kwenye mikono ya waislamu.
Ukiristo ni dini ya mwituni Tanzania. Hapa kwetu hata ukiomba maji basi hupewi kwenye gilasi na ukibahatika basi glasi hiyo itaoshwa kwa maji ya moto na JIK baada yakuitumia kafiri
ama kweli kipofu kiziwi nia kaitka kaumu ya matatatizo. bila ya aibu eti anasema ukitaka kuongokewa katika biashara fuate nyao za kikrosto lakini wakati akijua kuwa hata top 5 ya taycoons wa tanzania ni waislamu. uchumi wa Tanzania uko kwenye mikono ya waislamu.
Ukiristo ni dini ya mwituni Tanzania. Hapa kwetu hata ukiomba maji basi hupewi kwenye gilasi na ukibahatika basi glasi hiyo itaoshwa kwa maji ya moto na JIK baada yakuitumia kafiri
Nakupa tanoMi nijuavyo,hawa jamaa waislam wana akili sana!Na mijadala mingi huwa naona umbumbumbu wa wakristo(ama wanaojiita wakristo)wakijigamba eti wao wamesoma ooh sijui wanajenga mashule na hospitali wakati waislam wanajenga misikiti!Ila bila hata kufanya utafiti,utagundua tu hawa jamaa wako njema sana ukilinganisha na wakristo.Na kadri mnavyowaona wajinga ndivyo wanavyojiongezea fursa kwa upendeleo bila hata kusikia wakristo wakijitetea.Wamepewa chuo kikuu bure!Wanabebana sana kila wapatapo mwanya.Na hata ungeendelea kufanya utafiti kwa wanaomiliki ardhi(viwanja na nyumba) mijini ungepata mshangao kuona hawa jamaa wako juu sana!Nawaona wakristo wenzangu wengi ushamba tu ndo huwasumbua na kujiona wako juu wakati si kweli.Asante mkuu kwa utafiti huu na utakuwa msaada hata kwa baadhi ya vijana wa kikristo wasiofikiri vizuri na kujigamba bure huku wenzao wakilalamika huku wakiwa na kitu mkononi
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huyo hana data analeta ushabiki tu wa ukristo na usilam mbuna wakristo wanapewa fedha kwenye mkataba mou, wasilamu hawapewi huo sio mfumo kristo? Yericko aanaleta data uongo hapa nani asiyo jua nchi hii labda mkimbiz, mfumo wake
Kwasababu wanafanya na wateja wengi wakristu..........bado ni ngumu kuelewa?Imagine wangekuwa wakiwauzia watu wa Uswazi tanga,bagamoyo, kilwa etc......au wazee wa gahawa migomigo....?hiyo ndio benefit ya mixed market..Na wengi wameifaidi serikali inayochukua kodi za wakristu..Wapiga dili nyingi serikalini hupitia misikitini....na kupatia entry kwa viongozi waislam.
Muulize bakhresa km angeuzia waislam wangapi chapati?wakati wenyewe ndio bishara yao mijini, bagia, vitumbua,chapati, mirungi..udi,uban na uganga....
Mbona umeruka Damu ya Wakristu umeogopa kugusa Damu ya Yesu pia ilikuwa inatosha mlipa Shetani(majinn/Iblis) deni alilokuwa anadai wananchi na kutawala hadi uzao wao .Unayo kazi....
tunalalamika kwa sababau tumezoea kutawala na wengi kuwafanya watwanaBharaghash
Top 5 tycoons ni waislamu nani amelalamika? Mbona hawawasaidii kiasi cha kila siku hamuishi, hamuachi kulalamika? Hao tycoons wawabebe basi,ni akili ndogo na finyu wanaume wazima kila siku kulalamika kama viwete mnataka mbebwe tu hamuoni aibu? Oneni aibu mara ooh