UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Ndugu yangu,

Bahati mbaya sana hao uliowataja hapo juu na wewe mwenyewe, mkiulizwa hasa mfumo kristu ni upi Tanzania? hamna jibu yakinifu zaidi ya majibu ya dhahania tu,

Fanya Literature Review kwa Vitabu nilivokutajia, kukimbilia Oral Intervw ni ku Politicise Utafiti labda kama una madhumuni mengine, Habar ya kusema hata ungewahoji hao na mimi tusingekuwa na majibu ni kuji Pre empty na kuonesha ulikariri majibu kabla ya kuanza 'utafiti wako' kitu ambacho kinakatazwa sana kwenye Reserch eti ujuwe hatutakuwa na majibu kabla hujatuhoji sasa Reserch itakuwa na maana gani, tutajie Literature Review uliyofanya kwenye huu 'utafiti'.
 
Huku ni kulidhalilisha jukwaa letu makini la Intellingence.

Hivi wanaukumbi mnakubaliana kweli watumishi wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar wengi ni Wakirsto.

Tafiti hizi kweli ni kituko.
 
Jeriko, Naamini baada ya hapo utaanza utafiti wa Makabila. Naona kama wachaga ni wengi sana katika utawala, elimu, siasa nk. Baada ya kukamilisha hiyo ripoti yako utusaidie ili kila sehemu akiwepo mchaga, awepo mmakonde, mmasai, Mgoni, Myakyusa. Tusiishie tu kugawana kidini, tugawane ki-ukabila pia ili usawa uwe usawa.
 
Fanya Literature Review kwa Vitabu nilivokutajia, kukimbilia Oral Intervw ni ku Politicise Utafiti labda kama una madhumuni mengine, Habar ya kusema hata ungewahoji hao na mimi tusingekuwa na majibu ni kuji Pre empty na kuonesha ulikariri majibu kabla ya kuanza 'utafiti wako' kitu ambacho kinakatazwa sana kwenye Reserch eti ujuwe hatutakuwa na majibu kabla hujatuhoji sasa Reserch itakuwa na maana gani, tutajie Literature Review uliyofanya kwenye huu 'utafiti'.

Vitabu vyao, cd zao, na vipeperushi vyao vyote nimevisoma kisha sikupata jibu,

Nikaingia mtaani nakuja na takwimu hizo ili kila mtu ajionee na achukue uamuzi wake,

Shehe Ilunga, Shehe Mohamed Said, Shehe Mselema, nk wote nimezungumza nae
 
Tafiti za uongo tupu unalepa propagetion kwenye swala kweli ukitaka data za kweli waulize hao wanaosema mfumokristo watakupa data za kweli,sio huu utumbo uliyo uleta hapa au kwakuwa kau asisi baba yako?
Mkuu kutoa povu hakusaidii chochote!Jenga hoja'leta data bhaaas!
 
Huku ni kulidhalilisha jukwaa letu makini la Intellingence.

Hivi wanaukumbi mnakubaliana kweli watumishi wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar wengi ni Wakirsto.

Tafiti hizi kweli ni kituko.

Tatizo lako la kukurupuka katika majukwaa mengine kala la siasa na hapa unaleta?

Hebu soma kwaumakini au weka alama ya rangi unapoona kunamakosa ili ueleweke ndugu
 

Jeriko, Naamini baada ya hapo utaanza utafiti wa Makabila. Naona kama wachaga ni wengi sana katika utawala, elimu, siasa nk. Baada ya kukamilisha hiyo ripoti yako utusaidie ili kila sehemu akiwepo mchaga, awepo mmakonde, mmasai, Mgoni, Myakyusa. Tusiishie tu kugawana kidini, tugawane ki-ukabila pia ili usawa uwe usawa.
Ni jambo la hatari sana kunyamazia malalamiko mazito haya yanayohusu mfumo wa nchi yetu,

Watu wanadai nchi ni yamfumo kristu, wewe unataka tuogope kufanya utafiti na kujiridhisha kwa madai hayo?

Hapana ikiwa kote huko kutakuwa na madai yenye ulazima basi tutafanya utafiti tu
 
Vitabu vyao, cd zao, na vipeperushi vyao vyote nimevisoma kisha sikupata jibu,

Nikaingia mtaani nakuja na takwimu hizo ili kila mtu ajionee na achukue uamuzi wake,

Shehe Ilunga, Shehe Mohamed Said, Shehe Mselema, nk wote nimezungumza nae

kama wewe sio Muongo tueleze kwenye Kitabu cha Padri Sivalon kaeleza nn jinsi Mfumo Kristo ulivoandaliwa kwa kuwa ni lazima ujuwe hoja zao ndio ujuwe ku Clash? Vitu kama hivi peleka Face book hapa utaumbuka eti Reserch kwa kutembelea maduka ya kariakoo nini kilikufanya usitembelee Necta kujua Tangu kuanzishwa kwake linaongozwa na kina nani na vitengo vyote vikoje unakimbilia kuhoji dini za madereva wa Wizarani.pengine hii tafiti ilikwenda sambamba na ile tafiti feki iliyosema mko 64% mlipoombwa uthibitisho mkajificha! Tutajie lini CAG alikagua Pesa za walipa kodi zinazokwenda Makanisani kwa mgongo wa MOU kujiridhisha matumizi yake, tutajuaje kama kodi zetu zinanunulia Misalaba na biblia!
 
Vitabu vyao, cd zao, na vipeperushi vyao vyote nimevisoma kisha sikupata jibu,

Nikaingia mtaani nakuja na takwimu hizo ili kila mtu ajionee na achukue uamuzi wake,

Shehe Ilunga, Shehe Mohamed Said, Shehe Mselema, nk wote nimezungumza nae

We yericko nyerere unavichekesho sana tena wewe ni bonge la 'MUONGO' nani kakuambia shekh MSELEMU ni muumini wa mfumo kristo?. Na kama wewe umeongea na Ilunga, Mohamedi, haujaelewa basi wewe huwezi elewa chochote hapa. Ndio maana nilikuambia kabla ya hiyo research yako uliyofanyia chumbani kwako ulienda kujustify ulichokuwa unaamini kichwani mwako.
 
Tatizo lako la kukurupuka katika majukwaa mengine kala la siasa na hapa unaleta?

Hebu soma kwaumakini au weka alama ya rangi unapoona kunamakosa ili ueleweke ndugu
Mimi na wewe sijui nani amekurupuka.

Wewe endelea kufanya editing tu na bandiko lako.

Utafiti hauna kichwa wala miguu.
 
Sempa
Acha kutumia ma------ kufikiria sababu unaposema kitanuka unamtisha nani? Mbona unakuwa na akili kama Nguruwe??

Acheni kutishia watu sababu ya ujinga,Nyie mumeshindwa nini kuomba hizo pesa mpewe? All in all INFERIORITY COMPLEX ndio inawasumbua

Taifa stars imejaa waislam! Lugha ya kiswahili imejaa maneno ya kiislam. Hata siku za wiki ni za kiislaam kweli waislam wamekamata nchi hii.
 
Wakristo hamna hoja juu ya ukweli huu wa mfumo kristo,raisi jk aliwahi kusema kuwa wakristo wanapewa fedha za kuendesha taasisi zao kama hospital ,shule,nk unafikiri wasilam hawajuwi wewe subiri tu kitanuka.
Sasa mnataka mtibiwe wapi?Hosipitali kubwa kama KCMC naPeramiho ambazo zinahudumia watu wa dini zote zisipopata ruzuku zitajiendeshaje?Ujinga wa udini unawafanya hata kufikiri vizuri mnashindwa.
 
wanaotuhumiwa kuendesha nchi kwa mfumo kristo ni serekali na wao ndo wana wajib wa kutoa majibu murua, sio utafiti wa mtu binafsi aje aijibie serekali.
Yeriko sio msemaji wa serekali wala sio mkurugenzi wa taasisi huru ya utafiti.
Hivyo hawezi kutoa majibu murua yasio na shaka kwa wenye hoja.
 
Huku ni kulidhalilisha jukwaa letu makini la Intellingence.

Hivi wanaukumbi mnakubaliana kweli watumishi wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar wengi ni Wakirsto.

Tafiti hizi kweli ni kituko.

hakika hiki ni kituko, kapika data anataka kuleta majibu mepesi kwa maswali magumu.
Yeriko kakurupuka, hii posti haina hadhi ya kukaa jukwaa hili.
 
Sasa mnataka mtibiwe wapi?Hosipitali kubwa kama KCMC naPeramiho ambazo zinahudumia watu wa dini zote zisipopata ruzuku zitajiendeshaje?Ujinga wa udini unawafanya hata kufikiri vizuri mnashindwa.

ndomana nikasema mnatoa majibu mepesi kwa maswli magumu. Jiulize, serekali itaendelea kutegemea hizo hosipitali mpaka lini?
Je mpaka leo tangu tupate uhuru, serekali haijaweza kujenga hosipitali zake yenyewe?
Jumla ya ruzuku ilokwisha tolewa ingeweza kujenga hosipitali ngapi bora zaidi ya hizo?
Mbona wanapewa ruzuku na bado wanatoa matibabu kwa gharama kubwa, mf: ni majuzi tu kcmc walipandisha gharama maradufu mpaka mkuu wa mkoa akaingilia kati?

Fikiri nje ya boxi mkuu.
 
Mkuu Songoro,

Nakusoma kwa makini hizi bayana zako kwa utuvu.

Mkubwa hata Hiyo MOU wanayojaribu kuitetea kwa miaka mingi walikuwa wakikanusha Mpaka watu walipoweka hadharani Mkataba halisi ndio wakaja na jitihada za kuutetea, Sasa Mamilion ya fedha za walipa kodi yanaenda kanisani lakin hakuna Ukaguzi unaofanywa, kama wanaweza kwiba fedha za Sadaka za waumini wao watashindwaje kutafuna au kubadilisha matumizi fedha zetu kama vile kununulia Mkate wa Damu ya Yesu au Mvinyo na Rozari?
 
Last edited by a moderator:
Katika hao waislam wenye ajira karibu wote ni MADEREVA na WALINZI,kazi za uofisa ni za wakristo!OKEY kutokana na data zake hapo yaonekana waislam kuwa 50%ktk idadi ya watu,inakuaje msiseme wapo 30%?ungetoa na idadi ya wanaomaliza vyuo vikuu,ufundi tungejua tatizo lipo wapi!ila kwenye biashara ndio limekua kimbilio la waislam kama mbadala wa ajira
Hivi waisilamu wamekatazwa kupeleka watoto shule?Hizo kazi za udereva wamelazimishwa na nani?..tuache kulalamika bila hoja za msingi jama!
 
wanaotuhumiwa kuendesha nchi kwa mfumo kristo ni serekali na wao ndo wana wajib wa kutoa majibu murua, sio utafiti wa mtu binafsi aje aijibie serekali.
Yeriko sio msemaji wa serekali wala sio mkurugenzi wa taasisi huru ya utafiti.
Hivyo hawezi kutoa majibu murua yasio na shaka kwa wenye hoja.

Umeongea ukweli kabisa,

Huu ni utafiti wangu tu, hata majibu ya hoja zenu yatalenga kutetea utafiti wangu tu na sio vinginevyo!
 
hakika hiki ni kituko, kapika data anataka kuleta majibu mepesi kwa maswali magumu.
Yeriko kakurupuka, hii posti haina hadhi ya kukaa jukwaa hili.

Lete haya unayoyaita ni "maswali magumu"

Ninajibu kwa wepesi tena kwa dharau kwakuwa sioni hoja wala swali, bali yaleyale yaitwayo malalamiko mufu,

Hebu tulieni jengeni hoja za msingi au maswali ya msingi na muyaelekeze kwangu, nitayajibu kadiri ya uzito wake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom