Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #101
Mkubwa hata Hiyo MOU wanayojaribu kuitetea kwa miaka mingi walikuwa wakikanusha Mpaka watu walipoweka hadharani Mkataba halisi ndio wakaja na jitihada za kuutetea, Sasa Mamilion ya fedha za walipa kodi yanaenda kanisani lakin hakuna Ukaguzi unaofanywa, kama wanaweza kwiba fedha za Sadaka za waumini wao watashindwaje kutafuna au kubadilisha matumizi fedha zetu kama vile kununulia Mkate wa Damu ya Yesu au Mvinyo na Rozari?
Nilitoa ufafanuzi kidogo tu kuhusu MoU, sijui kama ulinielewa hapo nyuma?
Uliza swali ama maoni kulingana na ufafanuzi wangu huo juu ya MoU!