UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Nimeweka hapo juu link ya MOU hebu nenda isome usipoteshe jamii hapa,
hiyo link itakua imekua doctored baada ya kelele kuzidi kuhusu mou,lakini ule mkutano wa mou pale moshi ulikua na lengo la serikali itoe ruzuku.hata jk alipojibu kuhusu swala hilo hakukanusha zaidi ya kusema ombeni na nyinyi.MOU ni mpango wa kanisa na serikali na uko na nchi zingine kama nigeria,zambia,namibia,US,UK,Uganda etc.
 
tatizo huweki hata link za kusapoti maneno yako,na unataka watu waamini,sikubaliani na hiyo hesabu.
Kwamtu anasoma na kujenga hoja wala hahangaiki

Wizara tajwa zipo anakwenda anapata takwimu hizo na mwisho anafurahi,

Ukiomba links za kusapti hoja yangu utakuwa unajipunja bure,

Ni wizara na taasisi za serikali chache sana ambazo taarifa zake waweza zipata mtandaoni!
 
Mkuu wangu,

Nikujuze tu kuwa mpaka mwezi uliopita yani mwezi wa nane, Dar es Salaam ilikuwa inakadiriwa kuwa na wakaazi 5.1 milioni,

Sasa ukiona watumishi wa umma laki 8 ni maajabu basi mimi nitakuona wewe ndio wa maajabu zaidi,

Twende hatua kwa hatua Yericko.

Watumishi lako 8 ni asilimia 16 ya watu wote including watoto, wazee na wagonjwa.

Do you have a break down ya unemployment katika jiji la Dar es Salaam?

Hao asilimia 16 unasema wameajiriwa na serikali je asilimia ngapi wamejiajiri wenyewe au kuajiri na makampuni binafsi, ofisi za ubalozi au NGOs?

Twende sasa kisomi, tuache story ya kijiweni kama za Lebanon. Mambo ya waislamu wangapi na wakristo wangapi mimi wala siko interested nayo, mimi niko interested na idadi kamili ya watu wa Dar es Salaam wenye ajira. Asilimia 16 unasema wameajiriwa na serikali. Haya breakdown asilimia walioajiriwa na wengine then tuambie ni watu wangapi walio na umri wa kuajiriwa ambao hawajaajiriwa.

Ukifanya hivyo utakuta Dar es Salaam unemployment ni 0,5% do you agree kwamba serikali ya CCM imehakikisha kuwa Dar es Salaam unemploymen ni ndogo kuliko majiji yote duniani? Maana that is what you are saying, bila kujijua.
 
NONSENSE ALL THE ABOVE, just think about what you do for your country and not what country made for you, about listing TYCOONS ni pumba isiyo na maana yoyote, also thinking about religious in diplomacy reflect failure of minds for development, in Islamic or Christianity there is no DEVELOPMENT {NEVER}, in Tanzanians is where we can change, that'll , READ MORE, LEARN MORE CHANGE THE GLOBE
 
hiyo link itakua imekua doctored baada ya kelele kuzidi kuhusu mou,lakini ule mkutano wa mou pale moshi ulikua na lengo la serikali itoe ruzuku.hata jk alipojibu kuhusu swala hilo hakukanusha zaidi ya kusema ombeni na nyinyi.MOU ni mpango wa kanisa na serikali na uko na nchi zingine kama nigeria,zambia,namibia,US,UK,Uganda etc.

Unachanganye kati ya RUZUKU ya kawaida ambayo taasisi zote za kiroho nchini zenye huduma za jamii hupewa na MOU,

Vyama vya siasa vinapata RUZUKU hiyo vile vyenye wawakilishi bungeni,

Misikiti ile imilikiyo huduma za jamii kama shule na hospitali hupewa RUZUKU!

Makanisa yenye taasisi za kihuduma vivyo hivyo hupewa ruzuku hiyo,


Upataji wa ruzuku hii hutegemeana na idadi ya huduma ulizonazo, hapa ndipo utata ulipibuka kwa Waislamu,

Wamejikuta hawana huduma za kijamii na hivyo kukosa ruzuku hiyo,


Kanisa kaliki kwakuwa linaubunifu wa upataji wa vyanzo vya mapato, liliamua kusaka wafadhiri ambapo lilipata Wajerumani na wakaingia makubaliano ambayo ni(MOU)hii inayopigiwa kelele na wasiojua kitu hii leo!

Serikali ilisimama kama mdhamini/shahidi tu katika MoU,

Serikali haitoi hata senti 1 kwenda kwenye MoU
 
Haha,hebu bishana na link ya kcmc hapo juu.
Nina hakika aga khan hospital hawapati ruzuku kwani hawamo kwenye mkataba wa MOU.
 
NONSENSE ALL THE ABOVE, just think about what you do for your country and not what country made for you, about listing TYCOONS ni pumba isiyo na maana yoyote, also thinking about religious in diplomacy reflect failure of minds for development, in Islamic or Christianity there is no DEVELOPMENT {NEVER}, in Tanzanians is where we can change, that'll , READ MORE, LEARN MORE CHANGE THE GLOBE

It is true. The guy has just tried to mislead us for the benefit of his party Chadema otherwise hana kitu ni kilaza tu anayejitahidi kuandika sentensi nyingi.
 
Twende hatua kwa hatua Yericko.

Watumishi lako 8 ni asilimia 16 ya watu wote including watoto, wazee na wagonjwa.

Do you have a break down ya unemployment katika jiji la Dar es Salaam?

Hao asilimia 16 unasema wameajiriwa na serikali je asilimia ngapi wamejiajiri wenyewe au kuajiri na makampuni binafsi, ofisi za ubalozi au NGOs?

Twende sasa kisomi, tuache story ya kijiweni kama za Lebanon. Mambo ya waislamu wangapi na wakristo wangapi mimi wala siko interested nayo, mimi niko interested na idadi kamili ya watu wa Dar es Salaam wenye ajira. Asilimia 16 unasema wameajiriwa na serikali. Haya breakdown asilimia walioajiriwa na wengine then tuambie ni watu wangapi walio na umri wa kuajiriwa ambao hawajaajiriwa.

Ukifanya hivyo utakuta Dar es Salaam unemployment ni 0,5% do you agree kwamba serikali ya CCM imehakikisha kuwa Dar es Salaam unemploymen ni ndogo kuliko majiji yote duniani? Maana that is what you are saying, bila kujijua.

Vema sana,

Sasa unaonyshesha angalau unachembe za kujenga hoja,

Hoja yako ni nzuri, lakini inamapungufu ambayo yatafanya nikuombe uirekebishe,

Mimi sikujihusisha na idadi ya wakazi wa Dar, bali nilijihusisha na wanaotumikia serikali na wale wanaofanya biashara,

Kwahiyo hoja yako itembee humo,

Hoja yako ilivyo, maana yake inaniamuru nirejee mtaani kutafuta hesabu za haki,
 
Haha,hebu bishana na link ya kcmc hapo juu.
Nina hakika aga khan hospital hawapati ruzuku kwani hawamo kwenye mkataba wa MOU.

Nilifafanua hapo nyuma kuwa usichanganye mambo mawili kati ya Ruzuku na MoU,
 
It is true. The guy has just tried to mislead us for the benefit of his party Chadema otherwise hana kitu ni kilaza tu anayejitahidi kuandika sentensi nyingi.

Unakosea sana kuamini kwa fikra tu bila uhalisia
 
Hii ndio population structure ya Dar es Salaaam by age.

0-14 years: 44.8%

15-24 years: 19.4%
25-54 years: 29.3%
55-64 years: 3.5%
65 years and over: 2.9%

Yericko anasema Dar es Salaam kuna watu mil. 5. At the same time anasema watu laki 8 wamejiriwa na serikali Dar. es Salaam ambayo ni sawa na kusema asilimia 16 ya watu wa Dar es Salaam wameajiriwa na serikali.

Ukiangalia age structure hapo unaona kwamba zaidi ya asilimia 50 ya wakazi wako nje ya umri wa kuajiriwa kwa kuwa asilimia 44.8 ni watoto, asilimia 2.9 ni wazee, jumla ni asilimia 47.7. Ukijumlisha na wale wanaosoma shule inakuwa above 50%. Lets estimate it at 50%.

Kwa hessabu hizo inamaanisha watu wanaotakiwa kuajiriwa Dar es Salaam ni 2,5 mil. Kwahiyo kama laki 8 wameajiriwa na serikali maana yake kwamba serikali imeajiri asilimia 32 ya wakazi wa Dar es Salaam.

Katika jiji la Dar es Salaam watu wengi zaidi wameajiriwa na makampuni binafsi na kujiari wenyewe kuliko wale walioajiriwa na serikali. Kwahiyo kama serikali imeajiri watu laki nane, ni sahihi kukadiria kuwa watu mil 1,6 wameajiriwa na makampuni binafsi na kujiairi, kuajiriwa na ofisi za balozi na mahsirika ya kimataifa pamoja na NGOs.

Kwahiyo jumla utaona kwamba watu walioajiriwa jijini Dar es Salaam ni 2,4 mil. ambao ni asilimia 96 ya wakazi wa jiji¨!!!

Yericko ni mtu anayependa sana story za kijiweni kama ile story yake pendwa ya nchi ya Lebanon. Hili chapisho lake pia ni hadithi ya kijiweni, haina uhalisia.

Takwimu rasmi zilizopo zinaonyesha kuwa jiji la Dar es Salaam lina unemployment rate ya 45% lakini Yericko anasema ni 4% na hivyo kilifanya jiji la Dar es Salaam kuwa jiji lenye rate ndogo ya unemployment kuliko majiji yote duniani!

Nadhani Yericko anapaswa kwanza kujifunza maana ya neno utafiti halafu ndio aje kuandika hizi story zake za kijiweni hapa JF.

Zaidi ya yote nimeshangaa kuona hadithi hii ya kijiweni inawekwa kwenye jukwaa la JF inteligence! This is ridiculous...
 
Vema sana,

Sasa unaonyshesha angalau unachembe za kujenga hoja,

Hoja yako ni nzuri, lakini inamapungufu ambayo yatafanya nikuombe uirekebishe,

Mimi sikujihusisha na idadi ya wakazi wa Dar, bali nilijihusisha na wanaotumikia serikali na wale wanaofanya biashara,

Kwahiyo hoja yako itembee humo,

Hoja yako ilivyo, maana yake inaniamuru nirejee mtaani kutafuta hesabu za haki,

Yericko acha porojo,

Unajua maana ya mtumishi wa umma?

Wizara ya Utumishi haina takwimu za wafanyabiashara nchini. Hapo unaongea UONGO.

Naomba MODs waangalie uhalali wa hii thread kuendelea kuwepo.
 
Yericko acha porojo,

Unajua maana ya mtumishi wa umma?

Wizara ya Utumishi haina takwimu za wafanyabiashara nchini. Hapo unaongea UONGO.

Naomba MODs waangalie uhalali wa hii thread kuendelea kuwepo.

Unakurupuka sana katika kujenga hoja ndugu,

Tangu lini mfanyabiashara akawa chini ya wizara ya utumishi wa umma?

Mfanyabiashara kwake ni TRA na Wizara ya viwanda na biashara
 
Hii ndio population structure ya Dar es Salaaam by age.

0-14 years: 44.8%

15-24 years: 19.4%
25-54 years: 29.3%
55-64 years: 3.5%
65 years and over: 2.9%

Yericko anasema Dar es Salaam kuna watu mil. 5. At the same time anasema watu laki 8 wamejiriwa na serikali Dar. es Salaam ambayo ni sawa na kusema asilimia 16 ya watu wa Dar es Salaam wameajiriwa na serikali.

Ukiangalia age structure hapo unaona kwamba zaidi ya asilimia 50 ya wakazi wako nje ya umri wa kuajiriwa kwa kuwa asilimia 44.8 ni watoto, asilimia 2.9 ni wazee, jumla ni asilimia 47.7. Ukijumlisha na wale wanaosoma shule inakuwa above 50%. Lets estimate it at 50%.

Kwa hessabu hizo inamaanisha watu wanaotakiwa kuajiriwa Dar es Salaam ni 2,5 mil. Kwahiyo kama laki 8 wameajiriwa na serikali maana yake kwamba serikali imeajiri asilimia 32 ya wakazi wa Dar es Salaam.

Katika jiji la Dar es Salaam watu wengi zaidi wameajiriwa na makampuni binafsi na kujiari wenyewe kuliko wale walioajiriwa na serikali. Kwahiyo kama serikali imeajiri watu laki nane, ni sahihi kukadiria kuwa watu mil 1,6 wameajiriwa na makampuni binafsi na kujiairi, kuajiriwa na ofisi za balozi na mahsirika ya kimataifa pamoja na NGOs.

Kwahiyo jumla utaona kwamba watu walioajiriwa jijini Dar es Salaam ni 2,4 mil. ambao ni asilimia 96 ya wakazi wa jiji¨!!!

Yericko ni mtu anayependa sana story za kijiweni kama ile story yake pendwa ya nchi ya Lebanon. Hili chapisho lake pia ni hadithi ya kijiweni, haina uhalisia.

Takwimu rasmi zilizopo zinaonyesha kuwa jiji la Dar es Salaam lina unemployment rate ya 45% lakini Yericko anasema ni 4% na hivyo kilifanya jiji la Dar es Salaam kuwa jiji lenye rate ndogo ya unemployment kuliko majiji yote duniani!

Nadhani Yericko anapaswa kwanza kujifunza maana ya neno utafiti halafu ndio aje kuandika hizi story zake za kijiweni hapa JF.

Zaidi ya yote nimeshangaa kuona hadithi hii ya kijiweni inawekwa kwenye jukwaa la JF inteligence! This is ridiculous...

Chanzo cha takwimu hizi ni kipi?

Waeleze wanajamvi ulipozitoe wajionee wenyewe kama ni credible sources,


Hahahaa mkuu punguza mulkari twende taratibu hoja kwa hoja!
 
Chanzo cha takwimu hizi ni kipi?

Waeleze wanajamvi ulipozitoe wajionee wenyewe kama ni credible sources,


Hahahaa mkuu punguza mulkari twende taratibu hoja kwa hoja!

Yericko mbona kila weekend ikifika huwa unakuwa hauko sober?

vyanzo hapo vimeainishwa ikiwa ni pamoja na "utafiti" wako. Sasa kama wewe mwenyewe hukubaliani na utafiti wako, basi kuna tatizo kubwa sana.
 
Vema sana,

Sasa unaonyshesha angalau unachembe za kujenga hoja,

Hoja yako ni nzuri, lakini inamapungufu ambayo yatafanya nikuombe uirekebishe,

Mimi sikujihusisha na idadi ya wakazi wa Dar, bali nilijihusisha na wanaotumikia serikali na wale wanaofanya biashara,

Kwahiyo hoja yako itembee humo,

Hoja yako ilivyo, maana yake inaniamuru nirejee mtaani kutafuta hesabu za haki,

Unakurupuka sana katika kujenga hoja ndugu,

Tangu lini mfanyabiashara akawa chini ya wizara ya utumishi wa umma?

Mfanyabiashara kwake ni TRA na Wizara ya viwanda na biashara

Yericko leo umepata kijiti cha wapi?

Unasema umejihusisha na wafanya biashara na kwamba takwimu umezipata wizara ya Utumishi, halafu wewe huyohuyo unasema takwimu za wafanyabiashara hazipatikani wizara ya utumishi!

Kaa chini, kunywa glass ya maji kwanza ili ku dilute kijiti, halafu ndio uje kuendelea na mjadala.
 
Yericko katikaporojo zake za leo anasema kariakoo ametembelea maduka 489,125. hayo ndio aliyotembelea yeye, lakini hajasema jumla kuna maduka mangapi. Kurahisisha mahesabu lets assume kwamba kila duka moja linatoa ajira kwa mtu mmoja, kwahiyo inakuwa jumla ni watu wawili kwa duka, yaani mmiliki na msaidizi.

Kwahiyo, Kariakoo tu kuna ajira 978,250. Kwahiyo Kariakoo tu peke yake kuna ajira nyingi kuliko ajiro zote za serikali ndani ya mkoa wa Dar es Salaam.

Tukijumlisha Kariakoo na watumishi wa umma (waajiriwa wa serikali) tunapata
489,125 + 876,981 = 1,366,106 hii ni sawa na asilimi 54.6 ya watu wenye umri wa kuajiriwa wanaoishi ndani ya jijila Dar es Salaam.

Makadirio yaliyopo ni kwamba unemployment Dar es Salaam ni asilimia 45 kwa hiyo kutoka kwenye hizo porojo za Yericko ni kwamba Dar es Salaam watu wanafanya kazi either kariakoo au kwenye ofisi za serikali, nje ya hapo hakuna ajira!!!

Yericko anapenda sana porojo siku hizi, kama ile porojo yake ya Lebanon!!!
 
Yericko leo umepata kijiti cha wapi?

Unasema umejihusisha na wafanya biashara na kwamba takwimu umezipata wizara ya Utumishi, halafu wewe huyohuyo unasema takwimu za wafanyabiashara hazipatikani wizara ya utumishi!

Kaa chini, kunywa glass ya maji kwanza ili ku dilute kijiti, halafu ndio uje kuendelea na mjadala.
Sasa hivi lala, ila kesho naamka na wewe mpaka darasa likuingie mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom