Huu utafiti wako sijui umeufanya wapi naona umejaa maneno matupu bila ushahidi wowote wa kitakwimu kutoka kwenye vyanzo mbali mbali...
Hapa unatueleza tu kienyeji hausemi hao wanasiasa uliwahoji maeneo yapi, hauna hata mfano mmoja ni wanasiasa wa aina gani uliowahoji japo kwa majina machache.
Nadhani hawa ni wachache ingekuwa vizuri ungetutajia majina yao.
Hapa naona unazidi kuzama kwenye tope zito na hizi tafiti zako haiwezekani Dar es Salaam, ofisi za serikali ziwe na
Waislam 492,238 halafu
Wakirsto 384,700.
Hebu soma chini hapa majibu ya serikali bungeni.
Huu utafiti una vituko vingi sana, kariakoo nzima kuna maduka 57 wamiliki wake ni wa dini nyingine, wakati Wakinga wamejaa kariakoo na wengi wao hawana dini kabisa.
Cc:
THE BIG SHOW CHAMVIGA,
ZeMarcopolo,