Mungu gani ananyonya ziwa Mungu gani anajisaidia haja kubwa na haja ndogo, Mungu gani anachapwa mijeledi mpaka analia, Mungu alipokufa zile siku 3 alizokuwa hayupo dunia alimuachia nani.
Unanishangaza kidogo mkuu,Sisi hatukubali kuwa ulifanya utafiti,yawezekana umekopi lwenye gazeti fulani tu ili nawe uoneshe umefanya utafiti,lkn ili kukupa changamoto zaidi sio vyema kukupa takwimu za usahihi wakati hujaumiza hata kichwa,mm ni mdau mkubwa sana wa elimu nimeshtuka sana kuona hiki ulichokiandika,ht vyo tunahitaji zaidi kutoka kwako kuona ukweli ndio maana nikakuomba uwafuate wadau wa elimu ili wakupe kiuhakika,sitakuandikia wakati huna uhakika na unachokisema,umiza kichwa na andika ukweli
Ni utafiti milango iko wazi kwa tafiti zaidi ili kupata mambo mengine zaidi hii ya kulialia bana si mambo kabisa
SI MLETE HUYU PASTOR WAKO AYATOE MAPEPO USISAHAU KUMWEKEA CHANGU DOA ILI APATE SHOT 1 KWANZA
Hasaaa hilo ndio lengo langu mahususi,
Watu waje na tafiti zao ili kuusaka ukweli huo,
wakristo wa malaysia,indonesia na baadhi ya jew wanatumia Allah..ofcource hilo maana yake ni mungu.
Mfano hai!
Kufelishwa wtt wa waislamu kila mtu anajua,!
Waislamu kunyimwa madaraka ktk wizara nyeti kila mtu anajua!
Upendeleo ktk scholarships kuwapa wagalatia zaidi hili pia kila mtu analijua!
Makanisa kupewa maeneo nyeti na makubwa kuliko miskiti tena toka enzi ya yule balaa kuu la taifa! (Nyenyere) kila mtu anajua!
HALAFU WEWE UNATAKA UFANYIKE UTAFITI GANI WAKATI KILA UCHAFU WA MFUMO KRISTO UKO WAAZI MBELE ZA WATU??
mkuu si uangalie wikipedia,au pigia simu kama una jamaa yako malaysia.Nyie mlichobakiza ni kusema tu bila ushahidi basi!
Sasa allah ni sifa au jina?
Hao unaowaita wajinga kwa taarifa yako ni viongozi wakubwa saana wa makanisa!
Na ya laiti wakija hapo usukumani utakimbilia kubusu miguu yao!
Na kuwaomba wakusamehe dhambi zako!
Naona unatumia ile silaha ya yule mwenzako na ya wagalatia wote!
Ukishashindwa hoja unaanza kutukana na kumkashifu mtume s.a.w!
Hoja tutoe sisi wewe umtukane mtume!
Sasa hilo kanisa utaliokoa kwa kutukana waislamu tu? Wakati unapewa andiko badala ya kulitetea unatukana!!
Basi busara zenu zoote zimeishia hapo!
Wewe huwa una lolote aisee! Ni utoto tu kazi yako ni kukata hizi quote na kuandika mipasho, teh teh teh!Unajua maana ya kanisa wewe au unazungumza vitu usivyovijua?
Mh!!!!!
Wewe umetumia kipimo gani kujua kama mimi naweza kufanya huu utumbo?
Mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi zangu na zako ni Yesu Krosto pekee!!!!!!
Christian blood is more precious ktk madhabahu....christianity ndio inaset standards...ndio dira ya kupima ukweli na uongo ndio maana lazima waingizwe hata km hawataki....ukiinginza elements za ukritu ktk bisahra lazima ifanikiwe...Ni rahisi kuona wapi wanatafutwa kuuwawa, unaweza ona shule isipowahusisha wakristu hata wachache jinsi inakuwa zero,...ndio maana hata taasisi za kiislam za jamii za kihindi, waturuki au wengine zinafanikiwa kw akuchukua western ways....hata akina JK km hawakua absorb christian leadership wangebaki km wazenj..wazenj walioingi aktk muungano wanatofauti sana na wenzao..kule ktk misitu ya mikarafuu.
LAATA, UZA, MANAATA, NA KINA THAALITHU.
atasamehe vipi dhambi za wengine wakati yeye mwenyewe alikiri kwa kinywa chake kuwa hakuwa mwema na hakuna aliye mwema ila mungu peke yake?.Unajua maana ya kanisa wewe au unazungumza vitu usivyovijua?
Mh!!!!!
Wewe umetumia kipimo gani kujua kama mimi naweza kufanya huu utumbo?
Mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi zangu na zako ni Yesu Krosto pekee!!!!!!
Wewe huwa una lolote aisee!
Ni utoto tu kazi yako ni kukata hizi quote na kuandika mipasho, teh teh teh!
Siku zote mwenye busara huwa na tabia ya kufanya mafikirio mwenyewe,
mtu mjinga kama wewe huwa mfataji maono ya watu tu.
atasamehe vipi dhambi za wengine wakati yeye mwenyewe alikiri kwa kinywa chake kuwa hakuwa mwema na hakuna aliye mwema ila mungu peke yake?.
Hujui kama hawa ni mabinti za Allah?
mkuu si uangalie wikipedia,au pigia simu kama una jamaa yako malaysia.
Leta ushahidi wa andiko kwa haya unayopayuka!
Sio kuongea kama wale walevi wa pombe ya moshi!
Basi haujaribu kutumia kichwa kufkiri hata kidogo?
Ndio maana andiko likasema.
Proverbs 29:20-27 (NLT)
"There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking"!
Sasa leta ushahidi au hili andiko litakuangukia!