Unajua maana ya kanisa wewe au unazungumza vitu usivyovijua?
Mh!!!!!
Wewe umetumia kipimo gani kujua kama mimi naweza kufanya huu utumbo?
Mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi zangu na zako ni Yesu Krosto pekee!!!!!!
k
WANZA NIKUPONGEZE KWA UTAFITI WAKO PENGINE TUNAWEZA KUPATA PA KUANZIA LAKINI KUNA MAKOSA MADOGO MADOGO KWENYE UANDISHI WAKO KAMA NILIVYOAANISHA HAPO JUU..
KINGINE NINGEPENDA UTAFITI WAKO UINGIE KWA WAKUU WA WILAYA, MKOA, RCO, RPC,MAWAZIRI,MAJAJI, MAKATIBU...
Kama sina lolote ni kitu gani kimekufanya ukaniquote?
Mpiasho ni kitu gani?
Ni quote gani nimekata?
Huwa unanisaidia kufikiri?
Na umetumia kipimo gani kujua hayo?
Povu la nini yakhe?
Nimefuata maono ya nani?
Luka 5 :24 ;
Lakini, mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (alimwambia yule mwenye kupooza). Nakuambia, Ondoka, ujitwike kitanda chako, ukaende zako nyumbani kwako.
9asamehe duniani,hata binadamu yoyote wanasameheana duniani,lakini siyo dhambi za mbinguni.Utakazofanya ukose uzima wa milele.
soma mathew 19:16-18.''mwalimu mwema nifanye nini ili nipate kuokoka.Luka 5 :24 ;
Lakini, mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (alimwambia yule mwenye kupooza). Nakuambia, Ondoka, ujitwike kitanda chako, ukaende zako nyumbani kwako.
Mkiambiwa nyie ni vilaza mnatoka povu,haya angalia ulivyoumbuka!!!!!!!!!
maana yake anayo maxi shimba in disguise as eiyerUnajua maana ya Allat?
mbokaleo, ndugu yangu huyo jamaa huwa ana analolifahamu zaidi ya kukata kata mabandiko na kuyajibu kitoto.
Huwa anatokwa na povu nakushangilia upuuzi naye ubongo wake ni 0.10g.
Wacha kuniuliza maswali ya kitoto wewe!
Unajifanya eti ya wewe myahudi!!
Myahudi anafanana hivyo??
Manake hata wale mafalasha wa ethiopia wana pua kidogo ina afadhali!
We hebu jitazame kwenye kioo halafu uone kama utaona myahudi hapo!
Teh teh teh teh!
Myahudi anaongea kiskuma!
soma mathew 19:16-18.''mwalimu mwema nifanye nini ili nipate kuokoka.
Yesu,'unamwita nani mwema,hakuna iliye mwema ila mmoja tu,mungu.
Ndo kusema hata yesu sio mwena.
Kama sina lolote ni kitu gani kimekufanya ukaniquote?
Mpiasho ni kitu gani?
Ni quote gani nimekata?
Huwa unanisaidia kufikiri?
Na umetumia kipimo gani kujua hayo?
Povu la nini yakhe?
Nimefuata maono ya nani?
maana yake anayo maxi shimba in disguise as eiyer
Teh teh teh teh! Mkuu wangu Ritz unanivunja mbavu na uzito wa hizo bongo zao!
Yaani kila nikifikiri 0.10g naona kama panya kapita sasa hivi!
Kwi kwi kwi kwi!
Wanaitwa akili kuambiwa!
Hata andiko limeshasema!
Proverbs 29:20-27
There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking.
Hili andiko linawachapa wote. Kina Yericko Nyerere Nicholas Eiyer na waparokia woote wanaoropoka bila andiko!
asamehe duniani,hata binadamu yoyote wanasameheana duniani,lakini siyo dhambi za mbinguni.Utakazofanya ukose uzima wa milele.
Kuonyesha jinsi asivyo mwema.
Yesu alihimiza watu kuwaheshimu wazazi wake.mathew 19:19.
Lakini yeye mwenyewe alifanya kinyume.john 2:4,yesu alimjibu mamake mzazi,''WEWE MWANAMKE NINA NINI MIMI NAWE''.
This is eguivalent to huu msemo,''AACHANA NA MIMI WE MWANAMKE''.
Sijui ni kinywaji kilimzidi ama vipi maana yesu pia alifahamika kwa unywaji.mathew11:19.
Siku moja nduguze na mamake walimfata yesu wakamsalimie,wanafunzi wake wakamwambia,''mwalimu mamako na nduguzo wapo hapo nje wanataka kukusalimia,yesu akajibu,''ndugu zangu wa wapi,ndugu zangu ni wale wanao(ndont remmember).
Ndo tuseme huu ni mfano mzuri kweli hadi apewe uwezo wa kuhukumu.
Maswali ya kitoto uliyoshindwa kuyajibu!!!!!
Unachekesha wewe!
Ni wapi niliposema mimi ni myahudi?
Ndio maana ninasema hapa kila siku kuwa dini yenu inaenezwa kwa njia kuu 2
1:Uongo
2:Ugaidi
Wewe na wenzako mko kwenye uongo mkishindwa mnaenda kwenye ugaidi
Na ole wenu mjaribu ugaidi tutatumia hii:laser: kuwashikisha adabu!
Hizi ndizo akili za wafuasi wa mwamedi!
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
Kuonyesha jinsi asivyo mwema.
Yesu alihimiza watu kuwaheshimu wazazi wake.mathew 19:19.
Lakini yeye mwenyewe alifanya kinyume.john 2:4,yesu alimjibu mamake mzazi,''WEWE MWANAMKE NINA NINI MIMI NAWE''.
This is eguivalent to huu msemo,''AACHANA NA MIMI WE MWANAMKE''.
Sijui ni kinywaji kilimzidi ama vipi maana yesu pia alifahamika kwa unywaji.mathew11:19.
Siku moja nduguze na mamake walimfata yesu wakamsalimie,wanafunzi wake wakamwambia,''mwalimu mamako na nduguzo wapo hapo nje wanataka kukusalimia,yesu akajibu,''ndugu zangu wa wapi,ndugu zangu ni wale wanao(ndont remmember).
Ndo tuseme huu ni mfano mzuri kweli hadi apewe uwezo wa kuhukumu.
Kuna dhambi mbinguni?
si uweke maandiko yako tuyaone,kwani bibilia ziko za aina ngapi?Hoja yako ya mwanzo umeona haina mashiko umeamua kukurupukia kitu kingine
Hayo maneno ya Yesu ni ya kwenye biblia iliyochakachuliwa au?
We mwanawane! Nakutola gete gete!
Yaani wewe ni makoye munno!
Yani maakili sijuwi umeyapelekaga likkizzo.
Mhhhh! Onene mwanamayo! Nasatta muno!
Mi nilikuwa nadhani uatona haya kidogo kutoa mapovu ovyo lkn du!
Kweli asiye na haya hajui vibaya!!
si uweke maandiko yako tuyaone,kwani bibilia ziko za aina ngapi?
"Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu." - MHUBIRI 7:9.
"I permit no woman to teach or have authority over men; she is to keep silent." Timothy 2:11
Soma andiko na ulifuate! Au laana ya yesu inakunyatia nyatia!!