UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo ukienda China imekula kwako siku hiyo huendi church au lazima ujue kichina?

Nasali kwa lugha niijuayo kwani kila kitu kuanzaia step ni zilezile tuu..timetable ni ileile..wala sihitaji onge akichina popote.NI protocol tuu.....sijui kwanini Allah sasa asiwaumbe wote mkiongea kiarabu?
 
hajakamilisha wapi bana..alikua anahofia nini?maana kila kitu kikienda according to plan after all si ni mtoto wa mungu alikua anagwaya nini?

Alifanya hivyo ili neno la unabii litimie kwa kuteswa, kusulubiwa na kufa msalabani. Kisha kufufuka. Kwamba, "Akasema, Lazima Mwana wa Mtu kupatwa na mateso mengi, kukataliwa na wazee, pia na makuhani wakuu na Waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka" (Luka 9: 22).

Hivyo wakati ulikuwa haujatimia! Ndiyo maana katika injili ya Mathayo 16: 21-23 inasema:

"Toka wakati huo, Yesu alianza kuwaonya wafuasi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu na kupatwa na mateso mengi kwa wazee, makuhani wakuu na Waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka. Petro akamchukua upande, akaanza kumwonya na kusema, "Mungu akurehemu Bwana. Hayo hayatakupata hasha". Akageuka, akamwambia Petro, "Nenda nyuma yangu, Shetani! U kikwazo katika njia yangu, kwani maana mawazo yako si ua Mungu, bali ya kibinadamu".

Soma pia Marko 8: 31-33.

Je ni kweli alikua masiha wa wayahudi au alikua impostor? Kwanini wayahudi hadi leo bado wanamsubiri masiha,kwanini hawamtambui yesu?

Some tena bandiko langu la saa 12:13 nililokujibu kuhusu ulipoanzia ukristo. Utapata jibu humo kutoka kitabu cha Matendo ya Mitume.

Pia kwa kuongezea soma Mathayo 13: 54-58

"Akaenda nyumbani kwake. Huko akafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa na kusema, "Amepataje hekima hii na uwezo wa miujiza?" Je, huyu si mwana wa seremala? Na mama yake haitwi Maria? Na kaka zake si Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda? Na dada zake wote hawakai nasi hapa petu? Basi, hayo yote ameyapata wapi? Wakakwazika kwake. Yesu akawaambia, "Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika mji wake na nyumbani mwake". Huko hakufanya miujiza mingi kwa sababu ya ukosefu wao wa imani".

Pia injili ya Marko 6: 1-6 utapata majibu.
 
Naomba ujibu hili swali

Kwanini wewe ni mwanadamu?

Tumechoka na maswali yako ya kitoto!
Wewe kila unapokataa kujibu swali na kupindisha pindisha! Ndipo jamii inapoona udhaifu wenu nyie wagalatia!!

Mi nakuuliza WAPI YESU KAFUNDISHA UKRISTO?
sio wapi yesu kafundisha injili!

Halafu wewe unaniuliza kama mimi ni binaadamu??
Tuseme unajiwehusha au??
 
mchungaji, naomba unisaidie vile visanamu vya bikra maria huwa watu wanavipigia magoti kuviomba msaada nani anavitengeneza?

Mchungaji hana sanamu ya Bikia maria..umeanza leta issue za CUF kupandisha mchungaji feki ambaye alikuwa akichanganya Upadre na Uchugaji.
 
haileti maana kabisa..kristo maana yaje mpakwa mafuta,sasa dini inaitwa wapakwa mafuta,WHAT FOR?

What is mafuta in relation to salvation?

Teh teh teh teh! Najaribu kumuelekeza huyu mparokia Eiyer kitu hikihiki lkn wapi!.
Aisee! Ugalatia ni kazi ya ziada!
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo huyu mungu aliyetoa neno na huyu aliyepigiliwa msalabani na kudhalilishwa ni waungu wawili tofauti
baba mtumishi?

Tuassume tu kwamba haya maandishi yawe ni matusi halafu yakapelekwa mahakani ni nani ataenda kujibu mashtaka?
 
Heshima mbele kwa mwarabu na mzungu kwa kuwaletea watanzania dini.
 
Tumechoka na maswali yako ya kitoto!
Wewe kila unapokataa kujibu swali na kupindisha pindisha! Ndipo jamii inapoona udhaifu wenu nyie wagalatia!!

Mi nakuuliza WAPI YESU KAFUNDISHA UKRISTO?
sio wapi yesu kafundisha injili!

Halafu wewe unaniuliza kama mimi ni binaadamu??
Tuseme unajiwehusha au??

Hizi akili za ki-mwamedi bana kazi sana!
 
Hapo ndipo shida....ilipo kitu usichokijua ni bora ungeomba kufundushwa.Kelele zote hizi sasa unauliza ujinga.

Mpakwa mafuta ni Mtu aliyepitishwa......ni kuhani mkuu alitawadhwa.....ndipo tofauti ya kujisalimisha na kupakwa mafutwa....
mary magdalena alikua dada poa,na niyeye ndo aliempaka yesu mafuta miguuni,actually sijui hata ni nini hasa huyo mdada alitaka kuachiave.

Sijui ili kuwa massage..hebu weka andiko hapa tujue uhusiano wa mafuta na mambo ya imani.
 
Mwenyewe unadhani umeshaconvince watu kuwa upo km kichwa yako inavyo imagine...

Unachokiona ni christian Values ambazo ndizo unazozifaidi na kukuba kila kitu kuanzia technologia na vitu vingine.

Huwezi kuuita huu udhalimu kuwa ni values!
Kumbuka hii nchi si yenu peke yenu!
And more over waislamu ni wengi kuliko hao wanywa damu ya bwana!
Mnapoleta hii mifumo yenu mpaka kwenye nyumba za kulala wageni!
Iko siku yatawatokea puani!

We unanipikia kiti moto mtaani kwangu na kupiga miziki kwenye baa mpaka saa saba usiku halafu unaita Christian values!
Kudadeki!
 
Wagalatia kwa sarakasi,kuna mdau alishawai kusema biblia kama NOVEL ZA SHIGONGO,nami nakubaliana nae. Yaani utumbo utumbo tu halafu walevi kama kina Nicholas na matapeli kama maxshimba eti ndio wafuasi wa hiyo novel (biblia)
 
Last edited by a moderator:
Kabla Mwamedi hajazaliwa Wakristo,Waquraish na wapagani wengine walikuwa wakiishi kwa amani Makkah,lakini huyo jamaa yenu alipoiteka tu matatizo yaliaznia hapo,kukawa hakuna amani kati ya waislam na mtu wa imani yopyote ile na hata miongoni mwenu wenyewe

Unanipa link za hovyo tu hapa hazina lolote

Mambo ya one worl goverment hayana ushahidi wowote lakini mimi nina ushahidi wa mambo ya kigaidi yanayofanywa na nyie waumini wa dini ya haki

Shame on you!!!!!
Kwahiyo Daudi alipomuua Goliath ulikuwa pia ni ugaidi na ukumbuke mtume Muhamad (S.A.W) makka palikuwa ni kwao
na hao makuraish na wayahudi walikuwa wanamuamini sana na kupeleka amana zao mtume awatunzie kosa likawa ni kuja kuwakataa miungu yao ya sanamu na ndipo walipotaka kumuua na akakimbilia madina sasa hapo kuna amani gani yeye
kuhama kwao kwenda kuishi sehemu nyingine wewe mwenyewe ukiambia uhame hapo ulipo bila kosa sidhani kama utakubali kijana acha kuvamia mambo usiyo yajua kasome vizuri uislamu .
 
Walikua wapi siku zote hizo?

Sisi mfumo kristo tinaufahamu miaka yoote!
Ni nyie wenye viherehere mnaotaka kuonyesha na kupoyesha umma kwa kuwaambia kuwa hakuna huo mfumo ila ni dhana tu ya waislamu!
Hatukuwa na haja ya kuja humu jukwaani kuonyesha kuwa huo mfumo umo ktk taifa letu!

Kwa sababu MFUMO KRISTO NA KAMA UGONJWA WA KUHARA!
Hata kama ufanye vipi. Aidha utasikia harufu au tumbo litaanza kelele tena!
 
Mchungaji hana sanamu ya Bikia maria..umeanza leta issue za CUF kupandisha mchungaji feki ambaye alikuwa akichanganya Upadre na Uchugaji.
Mtumishi! Kanisani hakuna visanamu vya bikra maria ambavyo vinaombwa.
 
mary magdalena alikua dada poa,na niyeye ndo aliempaka yesu mafuta miguuni,actually sijui hata ni nini hasa huyo mdada alitaka kuachiave.

Sijui ili kuwa massage..hebu weka andiko hapa tujue uhusiano wa mafuta na mambo ya imani.

Nina mashaka sana na theology ya Islam......sijui km una aamini hiyo Quran yako au nayo ni rubbish....inasema kuwa Yesu ...hakuwahi tenda dhambi sasa..wewe unataka mwekea neno .
 
yesu alisema,hakutumwa ila kwa wana wa israel,na alisema si vyema kukitwaa chakula cha watoto na kumpa mbwa.

Hiyo enendeni kwa mataifa yote ni nyongeza ya baadae.
Baada ya wayahudi kumkataa yesu ndo mwishomwishoni akawageukia mataifa.
Kumbuka yesu alikataliwa na hata pald nazerati walimfukuza wenyeji akaenda galilaya.

Sasa mkuu we hujui kuwa hawa wagalatia Eiyer na mwenzake Nicholas wanajiita ni waisraeli kiroho!
Japo mmoja ni msukuma na mwingine mchaga?
Hapa utakesha!

Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Wagalatia kwa sarakasi,kuna mdau alishawai kusema biblia kama NOVEL ZA SHIGONGO,nami nakubaliana nae. Yaani utumbo utumbo tu halafu walevi kama kina Nicholas na matapeli kama maxshimba eti ndio wafuasi wa hiyo novel (biblia)

unayo shida..unaandika pumba ,halafu unajipa conclusion mwenyewe.
 
We umeombwa ulete andiko linalosema "wapi yesu kafundisha ukristo?
Au kasema mimi ni mkiristo??

Sio yesu kasema mimi ni kristo!

Kuna tofauti kubwa saana baina ya
Yesu KRISTO na UKRISTO!
au hufahamu tofauti zake nikufundishe??

Ukifahamu kwamba Yesu ndiye Kristo, basi utaelewa yale aliyoyafundisha ndiyo ukristo wenyewe. Na wale walioyafuata mafundisho yake ndiyo wakristo wenyewe. Yesu hawezi kuwa MKRISTO wakati yeye ndiye KRISTO.

Soma na hapa upate kuelewa na kubarikiwa.

Luka 24: 44-49

"Kisha akawaambia, Hii ndiyo maana ya maneno yangu niliyowaambia nilipokaa bado nanyi, yaani, lazima yatimizwe yote yaliyoandikwa katika Sheria ya Musa, na manabii na zaburi. Halafu akawafungulia akili wapate kuyafahamu maandiko. Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa kwamba Kristo atateswa na kufufuka katika wafu siku ya tatu, na kwa jina lake ihubiriwe toba na maondoleo ya dhambi kwa mataifa yote, kuanzia Yerusalemu. Ninyi ni mashahidi wa mambo hayo. Angalieni, mimi ninawatumia ahadi ya Baba yangu. Lakini ninyi kaeni mjini hata mvikwe nguvu toka juu".
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom