By Eiyer<br />
Kumbe Yesu alikufae.......!!!!!!!!!!<br />
<br />
<br />
<br />
Waislam hawaoni aibu kusema uongo mbele ya hadhara kubwa kama hii ya hapa JF<br />
Eli sio ALLAH<br />
Eli ni sifa kama ilivyo Mungu sio jina la Mungu<br />
Allah kwa upande mwingine haina tafsiri hata wao wanajua hili na huwa wanasema hivyo<br />
Tatizo lao ni vilaza wanapostaka kujifananisha na Ukristo wanasahau wanachokuwa wanasema<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Uongo huu nimeshausema hapo juu<br />
Eli kwa kiarabu ni ilah sio Allah!<br />
<br />
<br />
<br />
At this wanakubali kuwa Emanu-Eli ni Mungu pamoja nasi lakini kwenye suala la Yesu wanakataa,labda nikuulize wewe ulieandoka hapa<br />
Hili jina alipewa nani na kwanini?<br />
<br />
<br />
Acha uongo wewe mbona mnasemaga Allah haina tafsiri?<br />
Unajua kuwa allah ilitoka wapi?<br />
<br />
<br />
<br />
Usichokijua wewe kilaza ni kuwa hujui tofauti kati ya jina na sifa<br />
El ni sifa sio jina<br />
Jehova ni jina la Mungu<br />
Hakuna mungu mwingine anaitwa Jehova<br />
Allah ni jina la mungu wa waarabu wa kabila la ki-quresh<br />
mungu huyu yupo makah hadi leo<br />
<br />
Wahindu wana mungu wao<br />
Waarabu wana mungu wao<br />
Waisraeli wana Mungu wao<br />
Budha wana mungu wao n.k<br />
<br />
Kila kinachoabudiwa kupewa sifa ya uungu haijalishi ni kitu gani au ni Mungukweli ama la<br />
Mungu wa waarabu anaitwa Allah<br />
Mungu wa Waisraeli anaitwa Jehova<br />
<br />
Leo wakipatikana watu wanakuabudu wewe watakuita mungu<br />
Jina la Mungu wa Waisraeli ni Jehova maana yako ni NIKO AMBAE NIKO<br />
Allah kwa upande wa pili haina tafsiri<br />
<br />
Kwa waisraeli sifa ya Mungu inajulikana kama El na jina la Mungu ni Jehova<br />
Sasa namuuliza huyu alieandika huu uha.ro hapa Kama Allah tafsiri yake ni mungu je jina la mungu kwa kiarabu ni nini?<br />
<br />
<br />
<br />
Kma wapo ni kutokujua tu ndiko kunawafanya kumuita Mungu hivyo!<br />
<br />
<br />
Uislam unaenezwa kwa njia kuu 2<br />
1:Uongo<br />
2:Ugaidi<br />
<br />
Watu wakikataa kukubaliana na uongo wanatumia ugaidi kuwalazimisha!