Mwenzako analeta facts wakati wewe unaleta porojo sema unaonekana age imeenda alafu ufuatilii mziki wa sasa ndo maana vitu vingi ujui.Sawa mkuu mda utaongea,kwetu msanii mkubwa ni yule anayetrend kwa kiki na wala si kwa kazi zake,nchi za wenzetu wana taasisi kabisa zinazomonitor performance ya msanii sokoni kwa USA wana RIAA ambayo inamrate msanii,ndio maana utasikia msanii ameuza double platnum hao ndio wanaleta mrejesho lakini kwa huku kwetu Mashabiki ndio wanaoleta data za msanii kama kauza kihasi gani anarun vipi sokoni etc
Ndio maana nikasema kwa TZ mashabiki ndio wanamrate msanii kimauzo na kufanya vizuri sokoni,kitendo cha mashabiki kumrate msanii hapo ndio tunapoangukia kwenye TEAM lakini kungekuwa na chombo maalumu kumonitor perfmance za wasanii wetu ingekuwa easy kujua msanii anafanyaje sokoni.Hebu nitajie mfumo rasmi unao simamia mziki Tanzania? au chombo rasmi kinachosimamia mziki Tanzania ambacho kinaweza kukupa data kuhusiana na maswala ya mziki wa Tanzania?
Kenya wenzetu wana mifumo rasmi ya kusimamia mziki wao ,wana chombo cha kusimamia malipo ya msanii kulipwa endapo nyimbo ikipigwa redioni MSCK.
2015 kupitia report za MSCK Mondi aliingiza Ksh 350,000 za kenya (Tsh 7000000 million) ndani ya miezi mitatu na mwaka uliofuatia Kenya waka implement 60% (Local content) 40%(Foreign content) na pamoja na hiyo ratio bado Mondi anakimbiza.Sasa hiyo 2015 je sasa hivi 2019 itakuwaje?
Karibia digital platforms zote zinazouza mziki Kenya Zipo .Wana mpaka kampuni za kufanya research ktk entertainment industry mwaka jana kuna kampuni ya 8020 ilifanya Research based on 2018 Kenya msanii anayeongoza kwa mauzo kwenye digital platform,streaming,airtime kwenye redio,viewers za Youtube ni Diamond (Najua humpendi).
Diamond Platnumz Named Most Popular Tanzanian Artist In Kenya - KenyanVibe
Diamond Platnumz is the most popular Tanzanian artist in Kenya according to a new research ...www.kenyanvibe.com
Na wakatoa picha jinsi jamaa anavyo dominate,sasa hapo ni mwaka jana alikaa mwaka mzima hajatoa nyimbo na akaburuza,je mwaka huu ana utitiri wa nyimbo.
Bongo tulikuwa na chombo kama
MSCK kilikuwa kinasimamiwa na P Funky Majani watu wamekipiga majungu kimekufa.
Nilishasema tangia awali ukimchallenge mond unaonekana una chuki,cha kushangaza mbona kina AY.FA ni matajiri na wana hela kuliko huyo mondi mbona hakuna sehemu yeyote tunawasema vibaya? Tatizo msaniii wenu yupo Overated sana kisa mnapewa tecno na bando kushinda online kumtetea,nyie mnaendeshwa na hisia tu,domondi kwasasa anaendeshwa kwa fedha za ringtones(hits song za zamani),youtube and the like,matangazo basi ila sijui show hakuna kitu.Naona unampa facts sema jamaa anaongozwa na chuki kuliko kuleta facts
Hhahahaaaa najua vitu vingi ambavyo naweza kumfundisha hadi dingi wako achilia mbali wewe,kuenda age ni baraka mkuu hauoni vijana wa sasa wanadanja kwenye 20's?? Najua vitu vingi sana kwa undani ambavyo wewe unaona unavijua pia vitu navyojua mimi wewe na ukoo wenu wote mjikusanye hamvijui.Mwenzako analeta facts wakati wewe unaleta porojo sema unaonekana age imeenda alafu ufuatilii mziki wa sasa ndo maana vitu vingi ujui.
Diamond akienda USA na Ulaya anaenda kuwapigia show wabeba mabox wa kiafrica especially EA..ila Jagwa wakienda Ulaya kufanya show 98% ni wazungu kwenye show zaoUsimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.
Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?
Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?
Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.
Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Wewe ndiye unayeongozwa na hisia,sasa kwa kuwa hatuna mfumo rasmi wa kuquantify mziki wetu basi tuseme hatuna wasanii wakubwa ,basi Juma Nature na Prof Jay wapo sawa na Man X na Rado.Nilishasema tangia awali ukimchallenge mond unaonekana una chuki,cha kushangaza mbona kina AY.FA ni matajiri na wana hela kuliko huyo mondi mbona hakuna sehemu yeyote tunawasema vibaya? Tatizo msaniii wenu yupo Overated sana kisa mnapewa tecno na bando kushinda online kumtetea,nyie mnaendeshwa na hisia tu,domondi kwasasa anaendeshwa kwa fedha za ringtones(hits song za zamani),youtube and the like,matangazo basi ila sijui show hakuna kitu.
Hiyo nayo AKA?.Kuzidi A.K A ya SIMBA BABA LAO
britanicca,
Bahati mbaya umaarufu wa Juma Kiroboto haukugeuzwa kuwa hela.
Hivi %uwa zinaishia Ngapi?Mbona ukijumlisha hizo % unapata 101%. Verify hilo Bro.
Ni nini sasa..?Hiyo nayo AKA?.