Utafiti wako umegundua nini hapa JF?

Utafiti wako umegundua nini hapa JF?

Mwenye sim ya smat af haina apps ya jamii forums bhaasi namshusha hadh kwa upande wa Sim janja
 
Hahahaaa. Kweli ujue wa nyumbani.

Waeza andikiwa mtu yupo Iraq kumbe tunagombea nae daladala kila kukicha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mzima lakini weye?
Mzima mie sijui wewe na shemeji
 
Nimegundua kuwa jf sio sehemu nzuri kuleta matatizo yako ukitafuta ushaur,huku n kuja kupoteza tu muda na kufurah na watu maana watu wengi wana michango hovyo sana,ni bora upambane na hali yako....half kingne n kuwa ukileta thread zisizohusiana na mapenz a.k.a papuchi hutapata MTU wa kucomment...watu wanapenda mada za usenge usenge tu huku,mada serious hupati michango ya mawazo
 
Back
Top Bottom