Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Naona sisi wengine ni exceptions.....ndugu wa mama hatupo karibu nao kivile kulinganisha na wa baba . Babu yetu mzaa baba aliweza kuweka msingi mzuri sana kwa uzao wake.
 
Jindanganye mkuu hujajua uhuni wa wanawake,siku mnazinguana anakutamkia live kuw watoto sio wako ,ndipo utalia na kusaga meno
Lazima niwang'ang'anie watoto wangu kwa maana mimi ndio nimelipa mahari na sio huo mchepuko wake. Huo mchepuko ulikuwa unaniibia tu mkuu.
 
Tatzo hutokana na wamama wa hao watoto...ukikaa chin ukatafakar utaelewa

Haiwezekan mke wa bro awe anatunanga familia halaf tumpende...so lazima atawalisha sumu wanae.so mara chache sana huwa watoto wao wanaelewana.na hii ni endapo baba ana msimamo...

Ukimwendekeza sana mwanamke kwenye maisha yako..atakutibulia kila kitu .na ndo hcho kinachotufanya sis ma bachela ambao hatunaga shobo na wadada tunasita kuoa mapema had tujiridhishe na variables zote
 
Unalosema ni kweli japo kuna exceptions, niko karibu na ndugu wa baba hasa watoto wa mashangazi, Ila nisipokuwa makini wanangu watakuwa karibu upande wa mama yao as yeye na nduguze wapo so close.

Nilichoamua kufanya, watoto watakwenda kwa babu na bibi (kusalimia)kila ikibidi, watoto wa kaka/dada zangu watakuja au wa kwangu wataenda kila inapobidi. Then na-limit trip za wao huko ukweni[emoji39] how about that Infantry Soldier
 
Jindanganye mkuu hujajua uhuni wa wanawake,siku mnazinguana anakutamkia live kuw watoto sio wako ,ndipo utalia na kusaga meno
Mkuu mwanamke wa ndoa ni sawa na shamba ulilonunua na unalimiliki, kila zao linaloota humo ni mali yako haijalishi alipanda nani au alitupa mbegu nani. Kuhusu mwanamke kukwambia kuwa watoto siyo wako huwa inatokana na hasira tena kwa wanawake wapumbavu.

Anaweza kukwambia siyo wako (ila kiukweli ni wako) na anaweza kukwambia ni wako (ila siyo wako) inategemea kama anataka kukujenga au kukubomoa. Usije ukaamini sana vipimo vya DNA maana ni vya mwanadamu ambaye naye ana mapungufu yake.
 
Kwa kaka unakosa comfortability kwa sababu ya wifi? Sio ndio mkuu?
Not really, sijui hata niiwekeje hii...mimi ni mwanamke, ninapoenda kwenye nyumbani yoyote inategemewa nitakuwa na connection zaidi na mwanamke, likifanikiwa hili ndio nitakuwa na uhuru kwenye hiyo nyumba maana lazima tukubali kuwa mwenye nyumba ni mwanamke. Sasa nikienda kwa sister nakuwa tayari tuna connection na tumezoeana ila nikienda kwa bro mtu ambaye nimemzoea ni bro kuliko mkewe ambaye ndio mwenye nyumba hapo kwa hivyo siwezi kuwa comfortable maana mtu niliyemzoea na yeye ni 'mgeni'katika hiyo nyumba. Sijui kama nimeeleweka
 
Unaeza kumsaidia kumbe si mkojo wa bamdogo/bamkubwa wako[emoji23][emoji23][emoji23]kapigwaaaaaaa,ila kwa upande wa mama ni biyeeeeeeee[emoji4]
Hata mtoto wa mjomba unaweza kumsaidia kumbe sio mtoto wake, au pengine huyo unayemuita ma mdogo si mtoto wa babu yako bibi alichakachua. Hivi ni visingizio vya watu wachoyo tu
 
umenena ukweli mtupu, mara nyingi udugu wa wamama hua imara sana tofauti na wa wababa ambao hauishi migogoro
 
Unaeza kumsaidia kumbe si mkojo wa bamdogo/bamkubwa wako😂😂😂kapigwaaaaaaa,ila kwa upande wa mama ni biyeeeeeeee😊
Mtoto akizaliwa katika ndoa huyo ni mtoto wako. Wewe una uhakika gani kama huyo unayemuita baba ni baba yako kweli? Mbona unamsaidia?
 
Utakuwa baba mlezi tu ila biological father ndio dili.damu nzito
Inawezekana hata wewe huyo unayemuita baba yako sio biological father kwako. Watoto wooote wa ndani ya ndoa ni watoto wangu.
 
Wkt nko skuli ticha alisemaga mambo ya Patrinial na matrineal society....(cjui nmepatia hata spellings na uzee huu) ,akimaanisha muendelezo wa koo na hata ndugu kuelemea upande mmoja wa familia...yaan unakita watoto wanaelemea upande wa mama..kila kitu kitu,.hii iko kwa nyanda za juu kusini....naa kusin kwa Tanzania..(Matrineal).. Na upande wa kaskazin unakuta watoto wanaelemea kwa baba kila kitu,kuanzia majina ya koo hata kufaham ndugu wa baba zaid kuliko wa mama...(Patrineal)
 
Back
Top Bottom