Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Wenye vipara inabidi tu niwaelewe maana baba yangu alikuwa nacho ila it was great I like kipara Cha Mzee was fine aisee alivyokuwa na Mzee mpaka kafariki tulikuwa tunamchana nywele zilizo bakia .😰😰😰
 
Mkuu umezungumzia kipara , ni kipara cha kichwa kipi hasa?
 
Kinaota kwa kasi.. nikishapata ile Phd kitakuwa kishatoka kabisa
 
Wenye vipara tunasemwa huku ila mademu wenyewe hatupati[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…