Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Na Muamala huwa wa idadi ya namba za NIDAKama kweli vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Muamala huwa wa idadi ya namba za NIDAKama kweli vile
[emoji1787]mbingu utaisikia kwny redioMwanaume na kipara alafu kwa bahati mbaya ukute hana ndevu anakua kama gololi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata umetutetea[emoji4]Naona tumeachana na kigezo cha Tall and dark, tumehamia kwenye vipara, wanaume mmeumbwa mateso kweli[emoji23][emoji23]
tunachangamsha genge tuh bibie sina hata mia mbovu apa mwenyewe huwezi amini gesi imeisha ndio nimetoka kutingisha mtungiWenye nazo wala hawajisemi mkuu
Ukishamjua ndo unajua kumbe yaliyomo yamoo
Sio hivyo bwana [emoji2][emoji2] nilimaanisha hata kama mtu ukiwa na sifa zote mwenza wako anapenda ila mkishindwana tabia mtaachana tu.Kwaiyo tuconclude Tena kua wenye vipara wote Wana tabia mbovu Kama Jacob zuma[emoji1787]View attachment 2514003
Uzuri uji ilikua umesha chemka ndio naugida apa ukichagiza na sijui nitee mboga any way ni mboga maziwa mtindi,imebidi niyachanganyie hukohuko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa itakuwaje...hatuli leo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbingu utaisikia kwny redio
....Noma sanaWana hisia kali za kimapenzi: daktari kutoka Chuo cha Yale Marekani , James B. Hamilton alisema katika utafiti wake wanaume wengi walio na vipara miili yao huwa inazalisha mbegu nyingi za kiume kuliko wanaume wenye nywele, japokuwa si kwa asilimia 100 alisema pia uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kutetea uchunguzi huo.
mwandishi hapa ni wewe na haujaweka source.🤣🤣🤣 sio hoja yangu ni ya watafiti wa mambo ya maendeleo
Bila shaka unatinduliwa na lenye para, kisa bwana Ako ana kipara ndo unasifia vipara humu???, Nakupenda wewe na huyo bwana Ako.Kuna vitu vingi humvutia mtu inapokuja swala la kumchagua mpenzi, siwezi taja sifa zote, kila mtu anasifa zake na vigezo vyake, ila ngoja tuongelee mvuto wa kipekee unaopatikana kwa wanaume wenye vipara.
Nikiongelea vipara naongelea wale walio na vipara asili, achilia mbali wale wanaopenda kunyoa vipara japokuwa kuna baadhi ya sifa hapa wanaweza wakawa nazo pia.
Muonekano wa kiume: wanaume wenye vipara wengi huwa na muonekana wa kiume zaidi,muonekano nadhifu sina maana kama wanaume wengine walio na nywele ndefu ama wastani hawana mvuto lah, nauongelea mvuto zaidi ama mvuto wa kipekee.
Ujasiri: wanaume wa aina hii wengi huonekana ni wajasiri kwa muonekano wao tu, hii huwafanya kuwa kivutio kwa wanawake.
Wana hisia kali za kimapenzi: daktari kutoka Chuo cha Yale Marekani , James B. Hamilton alisema katika utafiti wake wanaume wengi walio na vipara miili yao huwa inazalisha mbegu nyingi za kiume kuliko wanaume wenye nywele, japokuwa si kwa asilimia 100 alisema pia uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kutetea uchunguzi huo.
Hawana muda na Vioo: mwanaume anaefuga nywele ndefu hutamani aonekane msafi na mtanashati kwahiyo hatokaa mbali na kitana chake wala mbali na kioo chake, labda tu awe ana Rasta. Mwanaume mwenye vipodozi vingi kwaajiri y aywele zake kumshinda msichana
Wastarabu : kuna utofauti wa muonekano kati ya mwanaume mwenye kiduku, na suti na mwenye upara na suti watu hawa wawili wanaweza kuonekana tofauti sababu tu ya nywele zao,muonekano wao unaweza ongelewa tofauti mbele za watu.
Wapo tayari kwa mabadiliko: kama mtu ameweza kukubali kwamba hawezi kuwa na nywele kama watu wengine na akaibubali hali yake, tofauti na wale wanaovaa kofia sana na wengine nchi za nje wanavaa hata mawigi ili wasionekana hawana nywele. Lakini wapo wanao ichukulia kama hali ya kawaida hawa ni zaidi ya wajasiri. Wanaweza kuvumilia
Vin Diesel, L.L. Cool J, Bruce Willis, Michael Jordan and The Rock (Dwayne jonhnson hawa ni Baadhi tu ya mastaa kutoka Marekani Ambao wana vipara
View attachment 2513636
Baby wangu wa jf vp una kipara?? Au tukitengenezee?
Kuna wenye asili ya vipara kama hao unaotaka wewe, wenye nywele za wastani na ndefu.Kwan upara unaanza utotonii??
eeh huwa sipendelei vyakula vya rangirangiUgali mtindii
Kwa hiyo umemzimia huyu mwenye vyuma tag masikioni; ndiyo ukaleta uzi huu?Kuna vitu vingi humvutia mtu inapokuja swala la kumchagua mpenzi, siwezi taja sifa zote, kila mtu anasifa zake na vigezo vyake, ila ngoja tuongelee mvuto wa kipekee unaopatikana kwa wanaume wenye vipara.
Nikiongelea vipara naongelea wale walio na vipara asili, achilia mbali wale wanaopenda kunyoa vipara japokuwa kuna baadhi ya sifa hapa wanaweza wakawa nazo pia.
Muonekano wa kiume: wanaume wenye vipara wengi huwa na muonekana wa kiume zaidi,muonekano nadhifu sina maana kama wanaume wengine walio na nywele ndefu ama wastani hawana mvuto lah, nauongelea mvuto zaidi ama mvuto wa kipekee.
Ujasiri: wanaume wa aina hii wengi huonekana ni wajasiri kwa muonekano wao tu, hii huwafanya kuwa kivutio kwa wanawake.
Wana hisia kali za kimapenzi: daktari kutoka Chuo cha Yale Marekani , James B. Hamilton alisema katika utafiti wake wanaume wengi walio na vipara miili yao huwa inazalisha mbegu nyingi za kiume kuliko wanaume wenye nywele, japokuwa si kwa asilimia 100 alisema pia uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kutetea uchunguzi huo.
Hawana muda na Vioo: mwanaume anaefuga nywele ndefu hutamani aonekane msafi na mtanashati kwahiyo hatokaa mbali na kitana chake wala mbali na kioo chake, labda tu awe ana Rasta. Mwanaume mwenye vipodozi vingi kwaajiri y aywele zake kumshinda msichana
Wastarabu : kuna utofauti wa muonekano kati ya mwanaume mwenye kiduku, na suti na mwenye upara na suti watu hawa wawili wanaweza kuonekana tofauti sababu tu ya nywele zao,muonekano wao unaweza ongelewa tofauti mbele za watu.
Wapo tayari kwa mabadiliko: kama mtu ameweza kukubali kwamba hawezi kuwa na nywele kama watu wengine na akaibubali hali yake, tofauti na wale wanaovaa kofia sana na wengine nchi za nje wanavaa hata mawigi ili wasionekana hawana nywele. Lakini wapo wanao ichukulia kama hali ya kawaida hawa ni zaidi ya wajasiri. Wanaweza kuvumilia
Vin Diesel, L.L. Cool J, Bruce Willis, Michael Jordan and The Rock (Dwayne jonhnson hawa ni Baadhi tu ya mastaa kutoka Marekani Ambao wana vipara
View attachment 2513636
Baby wangu wa jf vp una kipara?? Au tukitengenezee?