Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Mwanangu tafta helaa tafta helaa aisee kipara sio inshu ww, Wanawake wanataka pesa pesa achana na uboya wa kipara
 
Nyie kenge msituchoshe mnataka tuwe watu wa aina gani six pack mara kipara mara bhange mara mwenye gari mara mweye hela mara mwenye misuli yaani mnatuviruga ilimradi mtuue nyoko zenu
Ndo hadi uite watu kenge... acha matusi ndugu. Maisha ni simple tu. Yupo mwanamke mahali ambaye hapendi kipara yeye anapenda hela tuu utampata
 
Ndo hadi uite watu kenge... acha matusi ndugu. Maisha ni simple tu. Yupo mwanamke mahali ambaye hapendi kipara yeye anapenda hela tuu utampata
Ndo hadi ureply post yangu yupo asietukana sehemu unaweza reply post zake maisha ni simple tu
 
Ndo hadi ureply post yangu yupo asietukana sehemu unaweza reply post zake maisha ni simple tu
Na ww why ureply uzi wangu? Zipo nyuzi zingine ambazo haziongelei hili linalokukwaza...
Bye
 
Wala sio hivyo kama nawapendaa
Me napenda toyote atakayeweza kunipenda kwa dhati. Akizingua tupa kuleeeeeeee
At least Kuna binadamu mmoja Ali wai kuangaika na Mimi.... what's love iz 💕 tutasimuliaga huko....
 
Me akili ngumu hebu elezea nielewe
Wanawake hamuelewekagi mnataka nini.....Kuna ex-girl wangu kanifanya niwaze sana Good moment & Bad moments.....Am 4 Real ni chuma Kingine hakikajawai kupenda tena..... ROBOCOP
 
Wanawake hamuelewekagi mnataka nini.....Kuna ex-girl wangu kanifanya niwaze sana Good moment & Bad moments.....Am 4 Real ni chuma Kingine hakikajawai kupenda tena..... ROBOCOPS
Huo ni utafiti mkuu
Unaweza ukaupinga tu kwa hoja.
Huyo xgirl wako alikuwa na yakee
 
Sisi wanyoa vipara wengi wetu ni amnazo tuna mamuzi ya ghafla sana
 
Back
Top Bottom