Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Na hiki kichwa changu kama koleo jipya nikaongeza na kipara mbona kamzozo😄
 
Yaani mtu anazaliwa hana nywele au sijaelewa😀😀
Jaman anazaliwa nazo vizurii tu ila kipara kinaweza anza mapema sana hata kabla hajafikia miaka 30 unashangaa nywele zinapotea zenyewe
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Yaan mtu anazaliwa Hana nywele zozote kichwani...... which is not 🚫🚫🚭🚭 true
We nae hujaelewaa bwana. Soma nlichomjibu hapo chini. Kwan hujaona vijana wenye vipara? Anazaliwa na nywele vizuri tu late 20s unashangaa nyewe mbele zinaanza kunyonyoka zenyewe
 
Wew unapenda watu wenye upara zamani walikua wana uwawa Kwa Imani za kishirikina...
Wala sio hivyo kama nawapendaa
Me napenda toyote atakayeweza kunipenda kwa dhati. Akizingua tupa kuleeeeeeee
 
Nyie kenge msituchoshe mnataka tuwe watu wa aina gani six pack mara kipara mara bhange mara mwenye gari mara mweye hela mara mwenye misuli yaani mnatuviruga ilimradi mtuue nyoko zenu
 
Back
Top Bottom