Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Baby utafiti usifanye unipe Talaka Mama !!.[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby utafiti usifanye unipe Talaka Mama !!.[emoji1787][emoji1787]
Hahah talaka ndo kitu inafata hapo unakosaje upara sasa na weweBaby utafiti usifanye unipe Talaka Mama !!.
Baby hivi Sasa nyie wanawake mnataka nn?.Hahah talaka ndo kitu inafata hapo unakosaje upara sasa na wewe
WoyooooooHAPO MAMII PIGIA MSTARI WALA HATA USIULIZE NDO UKWELI HUO. KIPARA KINASABABISHWA NA WINGI WA TESTOSTERONE hizi ni HORMONES ZA KIUME ZINAZOLETA HAMU KUTIANA. BASI HAPO SASA UMKUTE MWENYE KIPARA CHAKE.....ANA AFYA NJEMA TU.... UTALIA...ANAWEZA WASHA MOTO HUKO CHINI.
Hii tafiti imekua funded na wanaume wenye viparaKuna vitu vingi humvutia mtu inapokuja swala la kumchagua mpenzi, siwezi taja sifa zote, kila mtu anasifa zake na vigezo vyake, ila ngoja tuongelee mvuto wa kipekee unaopatikana kwa wanaume wenye vipara.
Nikiongelea vipara naongelea wale walio na vipara asili, achilia mbali wale wanaopenda kunyoa vipara japokuwa kuna baadhi ya sifa hapa wanaweza wakawa nazo pia.
Muonekano wa kiume: wanaume wenye vipara wengi huwa na muonekana wa kiume zaidi,muonekano nadhifu sina maana kama wanaume wengine walio na nywele ndefu ama wastani hawana mvuto lah, nauongelea mvuto zaidi ama mvuto wa kipekee.
Ujasiri: wanaume wa aina hii wengi huonekana ni wajasiri kwa muonekano wao tu, hii huwafanya kuwa kivutio kwa wanawake.
Wana hisia kali za kimapenzi: daktari kutoka Chuo cha Yale Marekani , James B. Hamilton alisema katika utafiti wake wanaume wengi walio na vipara miili yao huwa inazalisha mbegu nyingi za kiume kuliko wanaume wenye nywele, japokuwa si kwa asilimia 100 alisema pia uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kutetea uchunguzi huo.
Hawana muda na Vioo: mwanaume anaefuga nywele ndefu hutamani aonekane msafi na mtanashati kwahiyo hatokaa mbali na kitana chake wala mbali na kioo chake, labda tu awe ana Rasta. Mwanaume mwenye vipodozi vingi kwaajiri y aywele zake kumshinda msichana
Wastarabu : kuna utofauti wa muonekano kati ya mwanaume mwenye kiduku, na suti na mwenye upara na suti watu hawa wawili wanaweza kuonekana tofauti sababu tu ya nywele zao,muonekano wao unaweza ongelewa tofauti mbele za watu.
Wapo tayari kwa mabadiliko: kama mtu ameweza kukubali kwamba hawezi kuwa na nywele kama watu wengine na akaibubali hali yake, tofauti na wale wanaovaa kofia sana na wengine nchi za nje wanavaa hata mawigi ili wasionekana hawana nywele. Lakini wapo wanao ichukulia kama hali ya kawaida hawa ni zaidi ya wajasiri. Wanaweza kuvumilia
Vin Diesel, L.L. Cool J, Bruce Willis, Michael Jordan and The Rock (Dwayne jonhnson hawa ni Baadhi tu ya mastaa kutoka Marekani Ambao wana vipara
View attachment 2513636
Baby wangu wa jf vp una kipara?? Au tukitengenezee?
Aione kwenye jalada waziri wetu wa nishati🤣HAPO MAMII PIGIA MSTARI WALA HATA USIULIZE NDO UKWELI HUO. KIPARA KINASABABISHWA NA WINGI WA TESTOSTERONE hizi ni HORMONES ZA KIUME ZINAZOLETA HAMU KUTIANA. BASI HAPO SASA UMKUTE MWENYE KIPARA CHAKE.....ANA AFYA NJEMA TU.... UTALIA...ANAWEZA WASHA MOTO HUKO CHINI.
Tunataka upara that's all baibe wanguBaby hivi Sasa nyie wanawake mnataka nn?.
Nimefuga ndevu, Nina sixpacks, ni mweusi, mwemba , Nina Ajira Nina vibashara vyangu, , ni mcheshi , na Maneno matamu, shoo ndo usiseme.
Unataka nini Baby?? Mnataka nn nyie wanawake !!
Dr Mwaka kesha sema *Wanawake hawatoshekagi,akipata mwenye ndevu,kesho atamtaka mwenye kipara!!Mnatuchanganya elewekeni..Kwahio siku hizi Mnavutiwa na KIPARA Sio HELA Na MAGARI?
Basi naomba tu Talaka baby 😂Tunataka upara that's all baibe wangu
Ukiona huko chini kunawaka Moto,ujuwe unatatizo la upungufu wa utelezi huko chini,jitahidi ule mlenda kwa wingi sana!!HAPO MAMII PIGIA MSTARI WALA HATA USIULIZE NDO UKWELI HUO. KIPARA KINASABABISHWA NA WINGI WA TESTOSTERONE hizi ni HORMONES ZA KIUME ZINAZOLETA HAMU KUTIANA. BASI HAPO SASA UMKUTE MWENYE KIPARA CHAKE.....ANA AFYA NJEMA TU.... UTALIA...ANAWEZA WASHA MOTO HUKO CHINI.
Kuna vitu vingi humvutia mtu inapokuja swala la kumchagua mpenzi, siwezi taja sifa zote, kila mtu anasifa zake na vigezo vyake, ila ngoja tuongelee mvuto wa kipekee unaopatikana kwa wanaume wenye vipara.
Nikiongelea vipara naongelea wale walio na vipara asili, achilia mbali wale wanaopenda kunyoa vipara japokuwa kuna baadhi ya sifa hapa wanaweza wakawa nazo pia.
Muonekano wa kiume: wanaume wenye vipara wengi huwa na muonekana wa kiume zaidi,muonekano nadhifu sina maana kama wanaume wengine walio na nywele ndefu ama wastani hawana mvuto lah, nauongelea mvuto zaidi ama mvuto wa kipekee.
Ujasiri: wanaume wa aina hii wengi huonekana ni wajasiri kwa muonekano wao tu, hii huwafanya kuwa kivutio kwa wanawake.
Wana hisia kali za kimapenzi: daktari kutoka Chuo cha Yale Marekani , James B. Hamilton alisema katika utafiti wake wanaume wengi walio na vipara miili yao huwa inazalisha mbegu nyingi za kiume kuliko wanaume wenye nywele, japokuwa si kwa asilimia 100 alisema pia uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kutetea uchunguzi huo.
Hawana muda na Vioo: mwanaume anaefuga nywele ndefu hutamani aonekane msafi na mtanashati kwahiyo hatokaa mbali na kitana chake wala mbali na kioo chake, labda tu awe ana Rasta. Mwanaume mwenye vipodozi vingi kwaajiri y aywele zake kumshinda msichana
Wastarabu : kuna utofauti wa muonekano kati ya mwanaume mwenye kiduku, na suti na mwenye upara na suti watu hawa wawili wanaweza kuonekana tofauti sababu tu ya nywele zao,muonekano wao unaweza ongelewa tofauti mbele za watu.
Wapo tayari kwa mabadiliko: kama mtu ameweza kukubali kwamba hawezi kuwa na nywele kama watu wengine na akaibubali hali yake, tofauti na wale wanaovaa kofia sana na wengine nchi za nje wanavaa hata mawigi ili wasionekana hawana nywele. Lakini wapo wanao ichukulia kama hali ya kawaida hawa ni zaidi ya wajasiri. Wanaweza kuvumilia
Vin Diesel, L.L. Cool J, Bruce Willis, Michael Jordan and The Rock (Dwayne jonhnson hawa ni Baadhi tu ya mastaa kutoka Marekani Ambao wana vipara
View attachment 2513636
Baby wangu wa jf vp una kipara?? Au tukitengenezee?
Utafiti wako apo kwenye tako ni duni wanawake weusi ndio wanaongoza kumiliki takoVyote viende sambamba kama ilivyo traako na weupe
Kiufupi tu wengi wenye vipara wana pesa kama hana wanakuaga vichaaMnatuchanganya elewekeni..Kwahio siku hizi Mnavutiwa na KIPARA Sio HELA Na MAGARI?
[emoji1787][emoji1787][emoji847]Basi naomba tu Talaka baby [emoji23]
Aah sio kipara cha hivo sasa ni kile kipara fulani hivi cha heshimaView attachment 2513731
Hata mm Nina kipara njooni basi mabebi mama
She's very right.Really?!
But one of the signs of low testosterone is hair loss as this hormone is responsible for hair production. Given this fact, I don't think someone with high levels of testosterone would experience balding!