Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Baby hivi Sasa nyie wanawake mnataka nn?.

Nimefuga ndevu, Nina sixpacks, ni mweusi, mwemba , Nina Ajira Nina vibashara vyangu, , ni mcheshi , na Maneno matamu, shoo ndo usiseme.

Unataka nini Baby?? Mnataka nn nyie wanawake !!
TUFE.
 
HAPO MAMII PIGIA MSTARI WALA HATA USIULIZE NDO UKWELI HUO. KIPARA KINASABABISHWA NA WINGI WA TESTOSTERONE hizi ni HORMONES ZA KIUME ZINAZOLETA HAMU KUTIANA. BASI HAPO SASA UMKUTE MWENYE KIPARA CHAKE.....ANA AFYA NJEMA TU.... UTALIA...ANAWEZA WASHA MOTO HUKO CHINI.
Embu ongeza sauti huku nyuma tukusikie vizuri eti Ma Mshuza
 
Kama mimi
IMG_20221223_130340.jpg
 
WANAWAKE HAWAELEWEKI,
Huyo kipara uliemuweka picha,
Siku 4 zilizopita, Katoka kupigwa kibuti[emoji4]
Screenshot_20230211-175822.jpg
Screenshot_20230211-175836.jpg
 
Kunyoa kipara ni uhuni ??....nakumbuka kipindi Fulani wakati January makamba anatangaza nia ya kuwania uraisi wa JMT......walinukuliwa watu wakisema hatuwezi kua na raisi mnyoa vipara.....

Kipindi flani shuleni Secondary rafik yangu alirudishwa nyumbani akalete mzazi kisa alinyoa upara....Eti mwalimu anamwambia uhuni 😊😊akae home mpaka nywele zitakapo ota...
Jamaa aka mleta mlezi wake mzee maarufu tena wa kuheshimika.....mwalimu alipo kua anaelezea kuhusu kosa la kijana la kunyoa upara kua ni uhuni.....mzee akatoa baragashia 😊😊😊😊 aka muuliza mwalimu Ina maana hata mm ni muhuni kisa nimenyoa kipara 😊😊😊😊
Kwa heshima ya yule mzee Mwalimu hakujib chochote....😊😊😊😊
 
Kunyoa kipara ni uhuni ??....nakumbuka kipindi Fulani wakati January makamba anatangaza nia ya kuwania uraisi wa JMT......walinukuliwa watu wakisema hatuwezi kua na raisi mnyoa vipara.....

Kipindi flani shuleni Secondary rafik yangu alirudishwa nyumbani akalete mzazi kisa alinyoa upara....Eti mwalimu anamwambia uhuni 😊😊akae home mpaka nywele zitakapo ota...
Jamaa aka mleta mlezi wake mzee maarufu tena wa kuheshimika.....mwalimu alipo kua anaelezea kuhusu kosa la kijana la kunyoa upara kua ni uhuni.....mzee akatoa baragashia 😊😊😊😊 aka muuliza mwalimu Ina maana hata mm ni muhuni kisa nimenyoa kipara 😊😊😊😊
Kwa heshima ya yule mzee Mwalimu hakujib chochote....😊😊😊😊
Sio kipara cha kunyoa soma uzi vizuri. Ni kipara cha asili
 
Back
Top Bottom