MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
UTAJIRI UNAONGEZA NGUVU ZA KIUME
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ukiwa maskini huwa unaonekana una roho mbaya. Umaskini unaweza sababisha ufanye vitu vya kipuuzi. Tutafteni tu hela tuache kujifarijiUmaskini ni mbaya mkuu, hakuna kitu cha kipumbavu kama unatamani kitu fulani ila haina uwezo wa kukipata🥲
Dah kabisa mkuu🤔Halafu ukiwa maskini huwa unaonekana una roho mbaya. Umaskini unaweza sababisha ufanye vitu vya kipuuzi. Tutafteni tu hela tuache kujifariji
Kwa nini tuuepuke?Jaribu kuepuka utajili, ila uwe na pesa
Tafuta hela Bora umiliki Mali mpaka uzisahau kuliko kumiliki ufukaraa kama weweNi kweli kabisa. Utajiri uliopitiliza beyond human need hauna maana yoyote . Mabepari wametengeza taswira isiyo halisi juu ya utajiri.
Kama utajiri ungekuwa na maana Billgate angerithisha utajiri wote kwa wanawe wawili lakini kawapa asilimia 10 kama sijakosea.
Utajiri ni hali ya kumiliki ma vitu mengi usiyoyatumia na mda mwi gine hata huyaoni na hata kuyasahau.
Nikiangalia malori ya Dangote hapa TZ naona kabisa hakuna maana ya utajiri.
kila mtu apambane kivyake vyake mkuuWe vinakuhusu nini hivyo vizazi?
Wewe hutakaa uje uwe hata Fred vunjabei forget the level of Mengi.Tafuta hela Bora umiliki Mali mpaka uzisahau kuliko kumiliki ufukaraa kama wewe
Hujielewi mzee tafuta hela umasikini unakusumbua mwenzio pesa zimejaa bank mpaka nazisahau unanitajia masikini wenzio waliokuzudi wewe kina Fred vunjabei wauza mitumbaWewe hutakaa uje uwe hata Fred vunjabei forget the level of Mengi.