mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kuna ukweli mleta meta ila naomba nikusahihishe kidogo;
Kuna kiwango cha utajiri ambacho sio cha lazima, yaani unakuwa na hela nyingi kupita kiasi
Unakuwa bepari, mtumwa wa pesa, unapata uraibu wa pesa
Hela muhimu sana aisee ila usizidishe
Kuna kiwango cha utajiri ambacho sio cha lazima, yaani unakuwa na hela nyingi kupita kiasi
Unakuwa bepari, mtumwa wa pesa, unapata uraibu wa pesa
Hela muhimu sana aisee ila usizidishe