Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Mkuu hii stori ni y kweli umepitia au ni utunzi, kama ni kweli kwanini huu mji umezama chanzo ni nini na je ulizama na watu?
Majibu yote yapo kwenye simulizi Chief,

Ila kwa haraka tu nikwambie baada ya miaka 100 mbele kuna miji mingine hususani hii ya pwani haitokuwepo kwenye uso wa Dunia. Na mji wa kwanza kwa sasa unaotazamiwa kuanza kuzama baharini ni Jakarta.

Nimetoa huu mfano kuonyesha kuwa ni kweli miji hupotea, ila kwamujibu wa shahzad kuzama kwa rapta bado ni controversial sana na sababu tutaziona mbele.

Tuendelee kula mtori nyama zipo chini,
 
Majibu yote yapo kwenye simulizi Chief,

Ila kwa haraka tu nikwambie baada ya miaka 100 mbele kuna miji mingine hususani hii ya pwani haitokuwepo kwenye uso wa Dunia. Na mji wa kwanza kwa sasa unaotazamiwa kuanza kuzama baharini ni Jakarta.

Nimetoa huu mfano kuonyesha kuwa ni kweli miji hupotea, ila kwamujibu wa shahzad kuzama kwa rapta bado ni controversial sana na sababu tutaziona mbele.

Tuendelee kula mtori nyama zipo chini,
Nimen
Majibu yote yapo kwenye simulizi Chief,

Ila kwa haraka tu nikwambie baada ya miaka 100 mbele kuna miji mingine hususani hii ya pwani haitokuwepo kwenye uso wa Dunia. Na mji wa kwanza kwa sasa unaotazamiwa kuanza kuzama baharini ni Jakarta.

Nimetoa huu mfano kuonyesha kuwa ni kweli miji hupotea, ila kwamujibu wa shahzad kuzama kwa rapta bado ni controversial sana na sababu tutaziona mbele.

Tuendelee kula mtori nyama zipo chini,
Nimekuelewa kuhusu kuzama, lkn nilitaka ww binafsi umepitia haya kuanzia huko Sengerema school in real life, au ni utunzi na watu waliotmik humu ni fiction?
 
Naona watu hawaisubirii kwa hamu Tena kama mwanzoni.
Shida nn?
Jamaa kaonyeshwa chimbo la dhahabu baada ya kutupanga sis wawekezaj wa kiwango cha DP world tuangalie namna ya kuwekeza ili kuzikwanyua toka baharin ili tuwe mabos yey anahangaika kutudai aftat
 
Umbali kutoka duniani mpaka kufikia mwezini kawaida ni 382,500KM japo kuna kipindi mwezi kutokana na mzunguko wake husogea mpaka kufika 360,000km. Lakini kila siku au mara kadhaa tunasikia wanasayansi ya anga wakifanya trials za kwenda mwezini na wapo wanaodai walifika huko.

Swali je! Ni kwanini umbali kutoka mwezini mpaka mpaka dunia ilipo ni mkubwa lakini wanasayansi wanaenda huko kila siku. Lakini hapa hapa kwenye uso wa Dunia kuzama baharini KM 5 au ata 4 tu imekua mtihani mkubwa.

Tena mtihani haswaa kwa yale maeneo ambayo yalikua na shughuli au roho za watu, Shahzad ana majibu kadhaa wa kadhaa na majibu yake mengi yanahusisha uwepo wa roho za aina nyingi zikiwemo na zile roho maarufu kama wandering strangers.

Tutulie jamani kuna mengi kwenye safari ya rapta na tunaelekea huko soon, Shahzad ameshatoa zana zote zinazoenda kuturahisishia safari yetu zikiwemo.

Ila bahari sio sehemu ya kila mtu ndio maana ata wachawi wenyewe hawana ujanja wanapokutana na bahari, tumtafute mzee Schulz aseme aliona nini huko rapta na kwanini hadi leo hajasema Chochote.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app

Mkuu hongera nilikuwa nikifatilia historia hii. Kiukweli nimekumbuka baada ya juzi kuona makala ya mji wa raptha sehemu ushaanzwa kuvumbuliwa.
Niliangalia Tanzania safari channel. kiukweli ni mji unaonekana ulikuwa na historia kubwa na nzuri.
 
Jamaa kaonyeshwa chimbo la dhahabu baada ya kutupanga sis wawekezaj wa kiwango cha DP world tuangalie namna ya kuwekeza ili kuzikwanyua toka baharin ili tuwe mabos yey anahangaika kutudai aftat

giphy.gif
 
Kwa mujibu wa shahzad bwana john aliiwinda sana meli moja ambayo ndio inaaminika kuzama na mzigo wa kutosha wa gold ambao thamani yake inakadiliwa kufikia pauni million 100.

Nilimuomba shahzad tumalize siku kwani mpaka hapo alishanipa madini ya kutosha ata yeye alisema siku hiyo ameongea sana na ametumia nguvu kubwa kukumbuka matukio ya nyuma hivyo hatoweza kuendelea zaidi ya hapo.

Aliomba tukapumzike ila kesho mapema nirudi kwani bado kuna mengi napaswa kuyajua. Lakini alinipa assignment moja, ninavyoenda nikajaribu kuwaza ni namna gani nitafanikisha zoezi hilo kwa kutumia maelezo machache aliyoanza kunipa.



Ninatakiwa kufikiria manpower lakini pia ninatakiwa kufikiria technology ambayo itanisaidia kufanikisha zoez hilo.

Tulitoka ndani ya chumba kile huku tukiponda kiswahili utafikiri kulikua na kikao cha wazaramo kwenye chumba kile. Hakika watu waliokuwepo ndani ya nyumba ile walionekana kuvutiwa sana na lugha tuliyoizungumza Mimi na shahzad.

Wakati natoka ndani ya chumba kile nikiwa na shahzad kumbe fatemeh alishafika hapo mda mrefu sana alikua ananisubiri. Lakini cha ajabu hakua amekaa na wanawake wenzake alijitenga mbali sana ndani ya nyumba hiyo.

SHAHZAD: naona amekufuata.

MIMI: ni kweli nilimuambia leo hatutokua na mambo mengi hivyo nitawahi kutoka lakini nashangaa leo ndio imekua siku nzuri na yenye mambo mengi zaidi. Yaani naweza kusema kichwa kimejaa vitu mpaka sioni pakuweka hivyo vilivyobaki.

SHAHZAD: acha uvivu mjukuu wangu yaani leo nimetoa robo ya ninachokijua umesema mambo yamekua mengi.
(Fatemeh alisogea mpaka tulipo kwa dhumuni la kutusalimia)

FATEMEH: asalaam aleykum shahzad

SHAHZAD: waleykum salaam the girl with no clan

( Dada wa watu alimsalimia kwa bashasha lakini jibu lake lilimfanya asiongee mengine zaidi ya kukaa kimya)


SHAHZAD: for tomorrow's exercise, tell her not to come after you and you will sleep here.

( Kwa zoezi la kesho mwambie asikufuate utalala huku huku)

Shahzad aliongea maneno hayo huku akielekea chumbani kwake bila kumuangalia yoyote kati yetu.

Mzee huyu alikua hamuelewi kabisa fatemeh,

FATEMEH: is it true that you will sleep here tomorrow?
( Ni kweli kesho utalala huku)

MIMI: with the sweet sleep we had today, how can I leave you alone in bed

( Kwa ule usingizi mtamu wa leo naanzaje kukuacha kitandani peke yako)

FATEMEH: I'm serious
( Nipo serious ujue)

MIMI: yeah I'm serious too baby

Wakati huu tunaendelea na maongezi haya tulikua tunatoka nje ya jumba lile la familia ya Shahzad tunaelekea kwenye usafiri wetu wa kila siku. Ila mpaka hapo ile mipango ya kumhujumu dereva ili nimuone ilishaharibika kwani nisingeweza kufanya chochote mbele ya uwepo wa fatemeh.

Tukiwa Ndani ya gari tunarudi home nilimueleza fatemeh kwamba kukaa nae mbali kwa masaa yale machache nilishammiss sana ndio maana ata nikamkatisha shahzad ili nije kumuona yeye.

Sikutegemea positive response kutoka kwa fatemeh lakini alichojibu fatemeh ni kwamba ata yeye alihisi kuna kitu kimepungua ndio alikuja pale mapema zaidi.

Kwa maelezo ya fatemeh alifika hapo wakati sisi tunatoka msikitini ila hakutaka kunistua kwani alijua bado tunaendelea na program yetu mimi na shahzad.

Lakini baada ya majibu yale ni kama fatemeh alijistukia yeye mwenyewe nikaona amepoteza amani na ata kujiamini kama kumepungua hivi alionekana kama mtu anaetamani tufike home mapema zaidi.

Binafsi majibu yalinifurahisha na nikaona very soon naenda kuliwakilisha taifa vyema kitu ambacho timu yetu ya mpira ilishashindwa hahaha (jokes).

Tulifika home baada ya muda mfupi tu, na tulipandisha kwenye floor iliyotuhusu kwa kutumia rift zilizokua kwenye jengo lile.

Kutokana na uchovu wa siku hiyo cha kwanza ilikua ni kuelekea bafuni kwanza kisha mambo mengine baadae. Kama unakumbuka nilisha hama room tayari yaani nipo kwenye room ya fatemeh hivyo nilinyooka mpaka makazi mapya moja kwa moja mpaka bafuni.

Ila ndani ya ile room niliona mazingira yamebadilika yaani room imepwaya sana. Apo nikagundua yule mrembo ameshahamisha mazagazaga yake ameniachia kile chumba.

Chap kabla ya kuoga nikaelekea kwenye room yangu ya zamani ili kuhakikisha ni kweli amehamia uko.


( Baada ya kufika nilikuta mlango umefungwa kama kawaida yake alikua aniamini kabisa)

MIMI: fet....!!! Can you please open the door
( Fet naomba nifungulie mlango)

niliita lakini wakati huo huo niligonga mlango kwa nguvu sana.

Fatemeh ambaye alionekana alikua bafuni kwani alikuja na povu la kutosha usoni. alifungua mlango na kuchungulia kidogo akiuliza shida yangu.

FATEMEH: what can I help you?
( Nikusaidie nini)

MIMI: don't pretend this is my room
( Usijisahaulishe chumba changu hiki)

Kilichotokea nilipakwa povu usoni kisha akafunga mlango, kinyonge sana nikarudi kwenye room yangu mpya ili kupata maji kwanza mwili ukae sawa.
( Mazoea na fatemeh yaliongezeka sana mpaka wakati huo)

Bilashaka baada ya kuingia mara ya pili ni kweli chumba kilipwaya kutokana na kukosekana kwa baadhi ya vitu vya fatemeh lakini niliona vitu vingine vingi vilivyonihusu.

Mfano kulikua na raba kali sana pamoja na sandals na kiukweli huyu binti kwenye kuchagua mavazi alikua nguli kwa upande wangu hajawahi kukosea ata siku moja yaan kuanzia suruali mpaka boxa.

Ila mimi nilishawahi kujaribu kumletea chupi kwa bahati mbaya ilikua kubwa, anyway ulikua ni ushauri wa shahzad bwana.....! unajua huyu mzee apo mbele tutaona alikuja kuwa Babu yangu ambae ambae alinizidishia masiala sana.

Na yeye ndiye alishauri size ile akijua fika haitamtosha fatemeh lengo lilikua kum discourage tu mtoto wa watu.

( Shahzad aliamini mi na fatemeh ni wapenzi, sasa swala la kupeleka zawadi ya chupi alafu oversized kwa mpenzi wako lina tafsiri nyingi ambazo sio rafiki kabisa.)

Ila nilijitetea kwa kumwambia nimeshindwa kumemorize size kwakuwa hakuwahi kunipa game hivyo isingekua rahisi kuijua size ya chupi ambayo sijawahi kuivua. ( tutaona hapo baadae kwenye hiki kituko ilikuaje)
 
Huko Whatsapp tumemalizana na shahzad lakini pia tumemalizana na Tehran,

The next move au episode ijayo Tunaingia DSM.

Kama kuna mtu aliwahi kuishi sehemu moja huko kunduchi, pwani ya Dar es salaam kuna sehemu ina magofu ya kale. Ile sehemu watu wanaizarau yaani kwa kipindi kile mi na Rehman tunafika pale yalikua ni makazi ya vibaka.

Sasa ile sehemu ina kitu kikubwa sana stay tuned alaf nashangaa serikali hawapa jali kabisa labda kama sahivi wamepakumbuka.

Simulizi inamengi na itaisha hapahapa [emoji3][emoji3][emoji3] mchawi buku 3

0623329512 WhatsApp kwa muendelezo.
 
Huko Whatsapp tumemalizana na shahzad lakini pia tumemalizana na Tehran,

The next move au episode ijayo Tunaingia DSM.

Kama kuna mtu aliwahi kuishi sehemu moja huko kunduchi, pwani ya Dar es salaam kuna sehemu ina magofu ya kale. Ile sehemu watu wanaizarau yaani kwa kipindi kile mi na Rehman tunafika pale yalikua ni makazi ya vibaka.

Sasa ile sehemu ina kitu kikubwa sana stay tuned alaf nashangaa serikali hawapa jali kabisa labda kama sahivi wamepakumbuka.

Simulizi inamengi na itaisha hapahapa [emoji3][emoji3][emoji3] mchawi buku 3

0623329512 WhatsApp kwa muendelezo.
Kumbe humu unatufanyia maksudi???be open man, kama unataka chapisha kitabu watu tununue, , , , , kwani kupost kwenye hii platform c ni kuwa upo committed? Mwanzoni nilijua kuwa unabanwa kumbe sivyo, why kwenye whatsap uwe mbele na huku uwe unaenda kwa mwendo wa Kobe??anyways tutavumilia hill ila wewe ni IDIOT mmoja kama wengine tu bro. 😡
 
Kumbe humu unatufanyia maksudi???be open man, kama unataka chapisha kitabu watu tununue, , , , , kwani kupost kwenye hii platform c ni kuwa upo committed? Mwanzoni nilijua kuwa unabanwa kumbe sivyo, why kwenye whatsap uwe mbele na huku uwe unaenda kwa mwendo wa Kobe??anyways tutavumilia hill ila wewe ni IDIOT mmoja kama wengine tu bro. [emoji35]
Pungunza Hasira mkuu ,mchawi buku 3

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Pungunza Hasira mkuu ,mchawi buku 3

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wala issue sio buku tatu....this platform ni kwa uwazi na sharing...how comes mtu atukoge: mara wale was whatsap tumefika huku....mara whatsap Shalzad kafanyajeeee.....my foot!!! Story za whatsap aishie nazo whatsap....ningekuwa na administrative power ningempa ban ya kupost story humu IDIOT.
 
Back
Top Bottom