Mugabonihela
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 306
- 1,784
- Thread starter
- #941
Nimechelewa kulijua chiefChimbo sio la Leo hilo kaka hovac Lina miaka karibia 2 nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechelewa kulijua chiefChimbo sio la Leo hilo kaka hovac Lina miaka karibia 2 nyuma
Majibu yote yapo kwenye simulizi Chief,Mkuu hii stori ni y kweli umepitia au ni utunzi, kama ni kweli kwanini huu mji umezama chanzo ni nini na je ulizama na watu?
NimenMajibu yote yapo kwenye simulizi Chief,
Ila kwa haraka tu nikwambie baada ya miaka 100 mbele kuna miji mingine hususani hii ya pwani haitokuwepo kwenye uso wa Dunia. Na mji wa kwanza kwa sasa unaotazamiwa kuanza kuzama baharini ni Jakarta.
Nimetoa huu mfano kuonyesha kuwa ni kweli miji hupotea, ila kwamujibu wa shahzad kuzama kwa rapta bado ni controversial sana na sababu tutaziona mbele.
Tuendelee kula mtori nyama zipo chini,
Nimekuelewa kuhusu kuzama, lkn nilitaka ww binafsi umepitia haya kuanzia huko Sengerema school in real life, au ni utunzi na watu waliotmik humu ni fiction?Majibu yote yapo kwenye simulizi Chief,
Ila kwa haraka tu nikwambie baada ya miaka 100 mbele kuna miji mingine hususani hii ya pwani haitokuwepo kwenye uso wa Dunia. Na mji wa kwanza kwa sasa unaotazamiwa kuanza kuzama baharini ni Jakarta.
Nimetoa huu mfano kuonyesha kuwa ni kweli miji hupotea, ila kwamujibu wa shahzad kuzama kwa rapta bado ni controversial sana na sababu tutaziona mbele.
Tuendelee kula mtori nyama zipo chini,
Hovyo saaana, , , , , ila tumeanza acha tusubiri😡naona mnamsubiri mwandishi.kazi mnayo
Jamaa kaonyeshwa chimbo la dhahabu baada ya kutupanga sis wawekezaj wa kiwango cha DP world tuangalie namna ya kuwekeza ili kuzikwanyua toka baharin ili tuwe mabos yey anahangaika kutudai aftatNaona watu hawaisubirii kwa hamu Tena kama mwanzoni.
Shida nn?
Umbali kutoka duniani mpaka kufikia mwezini kawaida ni 382,500KM japo kuna kipindi mwezi kutokana na mzunguko wake husogea mpaka kufika 360,000km. Lakini kila siku au mara kadhaa tunasikia wanasayansi ya anga wakifanya trials za kwenda mwezini na wapo wanaodai walifika huko.
Swali je! Ni kwanini umbali kutoka mwezini mpaka mpaka dunia ilipo ni mkubwa lakini wanasayansi wanaenda huko kila siku. Lakini hapa hapa kwenye uso wa Dunia kuzama baharini KM 5 au ata 4 tu imekua mtihani mkubwa.
Tena mtihani haswaa kwa yale maeneo ambayo yalikua na shughuli au roho za watu, Shahzad ana majibu kadhaa wa kadhaa na majibu yake mengi yanahusisha uwepo wa roho za aina nyingi zikiwemo na zile roho maarufu kama wandering strangers.
Tutulie jamani kuna mengi kwenye safari ya rapta na tunaelekea huko soon, Shahzad ameshatoa zana zote zinazoenda kuturahisishia safari yetu zikiwemo.
Ila bahari sio sehemu ya kila mtu ndio maana ata wachawi wenyewe hawana ujanja wanapokutana na bahari, tumtafute mzee Schulz aseme aliona nini huko rapta na kwanini hadi leo hajasema Chochote.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Jamaa kaonyeshwa chimbo la dhahabu baada ya kutupanga sis wawekezaj wa kiwango cha DP world tuangalie namna ya kuwekeza ili kuzikwanyua toka baharin ili tuwe mabos yey anahangaika kutudai aftat
Bongo kutamu, kuna chimbo nimelikurupua huko linaitwa HOVAC!!!
sema tutafute hela wanangu.
GET RICH OR DIE TRYING
HapohapoBoss unaongelea havoc nightspot
sawa tuendeleeTUNAENDELEA
Kumbe humu unatufanyia maksudi???be open man, kama unataka chapisha kitabu watu tununue, , , , , kwani kupost kwenye hii platform c ni kuwa upo committed? Mwanzoni nilijua kuwa unabanwa kumbe sivyo, why kwenye whatsap uwe mbele na huku uwe unaenda kwa mwendo wa Kobe??anyways tutavumilia hill ila wewe ni IDIOT mmoja kama wengine tu bro. 😡Huko Whatsapp tumemalizana na shahzad lakini pia tumemalizana na Tehran,
The next move au episode ijayo Tunaingia DSM.
Kama kuna mtu aliwahi kuishi sehemu moja huko kunduchi, pwani ya Dar es salaam kuna sehemu ina magofu ya kale. Ile sehemu watu wanaizarau yaani kwa kipindi kile mi na Rehman tunafika pale yalikua ni makazi ya vibaka.
Sasa ile sehemu ina kitu kikubwa sana stay tuned alaf nashangaa serikali hawapa jali kabisa labda kama sahivi wamepakumbuka.
Simulizi inamengi na itaisha hapahapa [emoji3][emoji3][emoji3] mchawi buku 3
0623329512 WhatsApp kwa muendelezo.
Pungunza Hasira mkuu ,mchawi buku 3Kumbe humu unatufanyia maksudi???be open man, kama unataka chapisha kitabu watu tununue, , , , , kwani kupost kwenye hii platform c ni kuwa upo committed? Mwanzoni nilijua kuwa unabanwa kumbe sivyo, why kwenye whatsap uwe mbele na huku uwe unaenda kwa mwendo wa Kobe??anyways tutavumilia hill ila wewe ni IDIOT mmoja kama wengine tu bro. [emoji35]
Wala issue sio buku tatu....this platform ni kwa uwazi na sharing...how comes mtu atukoge: mara wale was whatsap tumefika huku....mara whatsap Shalzad kafanyajeeee.....my foot!!! Story za whatsap aishie nazo whatsap....ningekuwa na administrative power ningempa ban ya kupost story humu IDIOT.