Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Jarida la Forbes limetoa orodha ya matajiri barani Afrika ambapo Mohammed Dewji ameendelea kushikilia usukani kutokea Tanzania na kushika nafasi 15 barani Afrika.
Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana uwekezaji mkubwa Tanzania lakini kwenye hizi list hatujawahi kuwaona!
Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana uwekezaji mkubwa Tanzania lakini kwenye hizi list hatujawahi kuwaona!
Mara kadhaa nimekuwa nikiona list ya matajiri wa Dunia na Afrika. Huko duniani sina tatizo maana niko mbali nao ila suala la Mo na Bakhresa huwa silielewi.
Kwa kutazama tu kawaida tena sio mimi peke yangu huwa tunaamini Bakhresa ana mali na utajiri mkubwa kuliko Mo. Lakini wenzetu "wataalamu" wa hayo mambo wanamuorodhesha Mo mbele ya Bakhresa.
Sasa nyie wajuvi wa JF naomba mtujuze ni vigezo gani hutumika ambavyo humbeba Mo mbele ya Bakhresa.
Njoo na hoja siyo ushabiki wa mipira