Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

Chige jaribu kutafuta informer wowote wa Department ya Large Tax pale Samora watakwambia nani kati ya hao wawili wanalipa kodi kubwa..

Uzuri hawa wote wapo kwenye department moja ya Large Taxpayers..
Binafsi sijawahi kuwa na hiyo interest lakini ninachosema, wakati inatolewa orodha ya walipa kodi wakubwa, none of them alitokea! Nakumbuka ile orodha ilitaja Top 3 walikuwa TBL, TCC na NMB, na hapo ndipo ilizaliwa ile dhana kwamba "Walevi wa nchi inabidi waheshimiwe"

Lakini kwa upande mwingine, kama nilivyosema hapo awali, kama issue ni Forbe List, huwezi ku-rely kwenye tax returns peke yake kwa sababu, hata US, wapenda hype huwa wana-temper na hizi tax returns ili mradi tu watokee kwenye Forbe List.

Mfano wa miaka karibuni kabisa ni Kylie Jenner ambae 2019 alitokea kwenye Forbes List as a youngest billionaire lakini mwaka mmoja baadae, wakamuondoa kwenye list wakimtuhumu ku-forge docs ili atokee kwenye list!!
 
MO Ana products ambazo kununua moja unatakiwa uwe na milion 200,bakharesa product zake ni za Bei za chini sana, mfano MO boxer moja ni Sawa na Azam ukwaju ngapi? Unaweza kuta Bhaharesa anatakiwa kuuza Ice cream laki 2 ili kuifikia faida ya boxer 10 za MO dewji
Una hoja dhaifu sana....
 
Matajiri wanajulikana hasa kupitia Benki na TRA sasa wewe una biashara inaonekana kwa macho kubwa ya mabilioni Benki akaunti INA laki mbili TRA kodi uliyolipa mwaka mzima laki moja utamwambiaje Forbes kuwa wewe tajiri ?

Wanaangalia rekodi za wazi sio za kichawi unalalia pesa ndani kwenye mto
Hahahahahahahah
 
Bakhresa ni Group of Companies....


Zile Hela za Azam Media hazihesabiwi pamoja na Hela za unga wa ngano....

Lakini pia pure richest men always live behind the curtain...

Shida ni sisi wenye visenti....
 
Forbes hawahesabu wanasiasa ndio maana Waarabu wa Middle east hawamo.

Kwa Africa Raisi wa Angola wa zamani inakadiriwa utajiri wake ni $20B ama zaidi, kama Dangote wawili ama watatu

Saudia tu Ina ma Prince zaidi ya 10 kwenye Forbes
Nani alikuambia hawahesabiwi?
Je ni vigezo gani unafikiri wamevuka hao?

Hivi Hassan Bolkiah Sultan wa Brunei hayumo nae
Vipi kuhusu King Salman wa Saudia
Nisaidie hapo
 
Saudia tu Ina ma Prince zaidi ya 10 kwenye Forbes
Nani alikuambia hawahesabiwi?
Je ni vigezo gani unafikiri wamevuka hao?

Hivi Hassan Bolkiah Sultan wa Brunei hayumo nae
Vipi kuhusu King Salman wa Saudia
Nisaidie hapo
Hio list ya Forbes

Hakuna prince hata mmoja.

King salman wangemuhesabu angempita hadi Musk, zile hela tu zilizonunua Newcastle tu ni zaidi ya 500B usd, Aramco ni zaidi ya 2 Trillion bado kuna makampuni kibao.
 
Bakhresa ni Group of Companies....


Zile Hela za Azam Media hazihesabiwi pamoja na Hela za unga wa ngano....

Lakini pia pure richest men always live behind the curtain...

Shida ni sisi wenye visenti....
Kaka usiamini sana haya mambo kuna watu wengi tu sisi tunawaona matajiri kumbe wana biashara za watu.
 
Saudia tu Ina ma Prince zaidi ya 10 kwenye Forbes
Nani alikuambia hawahesabiwi?
Je ni vigezo gani unafikiri wamevuka hao?

Hivi Hassan Bolkiah Sultan wa Brunei hayumo nae
Vipi kuhusu King Salman wa Saudia
Nisaidie hapo
Huyo salman akisikiaga et elon ndo tajir huwa anacheka kwa dharau..wanasema huyo mse.nge wa saudia ana ukwasi unaokaribia dola bilion 900 sema ndo hvyo ...aliponunua newcastle fc wakasema utajir wa tajir wa newcastle. Ni mara 100 ta utajir wa matajir wote wa epl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo salman akisikiaga et elon ndo tajir huwa anacheka kwa dharau..wanasema huyo mse.nge wa saudia ana ukwasi unaokaribia dola bilion 900 sema ndo hvyo ...aliponunua newcastle fc wakasema utajir wa tajir wa newcastle. Ni mara 100 ta utajir wa matajir wote wa epl

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo ni mwanae Prince MbS hapo nilikuwa namsema Baba yake Mzee Salman maana mzee ana hela acha kabisa
Huyu mtoto ni dhalimu sana aliwaweka ndugu zake chini ya ulinzi na kuwaambia kutoka lazima mlipe $1b kila mmoja
 
MO Ana products ambazo kununua moja unatakiwa uwe na milion 200,bakharesa product zake ni za Bei za chini sana, mfano MO boxer moja ni Sawa na Azam ukwaju ngapi? Unaweza kuta Bhaharesa anatakiwa kuuza Ice cream laki 2 ili kuifikia faida ya boxer 10 za MO dewji
Umeskia hzo mo boxer yy ndo anzalisha? Zile amelangua na you kutiachapa yake na kuuza
 
Hilo ni jarida la show off. Kuna watu wanapesa na awataki show off.
Hilo jarida wewe ndiwe unawapa taarifa
Ungemtaja walau hata Mtanzania mmoja aliyekataa show off ya Forbes
 
Umeskia hzo mo boxer yy ndo anzalisha? Zile amelangua na you kutiachapa yake na kuuza
Ndio faida yenyewe, kama ambavyo Bakhresa halimi ukwaju, ila analangua kwa wakulima na kuutengeneza juisi
 
Bakhresa ni Group of Companies....


Zile Hela za Azam Media hazihesabiwi pamoja na Hela za unga wa ngano....

Lakini pia pure richest men always live behind the curtain...

Shida ni sisi wenye visenti....
Kanunue soda kwaa mangi
 
Hio list ya Forbes

Hakuna prince hata mmoja.

King salman wangemuhesabu angempita hadi Musk, zile hela tu zilizonunua Newcastle tu ni zaidi ya 500B usd, Aramco ni zaidi ya 2 Trillion bado kuna makampuni kibao.
Unaijua 500b USD au unatania mkuu??? Manchester united tu Haina thamani ya zaidi ya 20b USD. Acha unazi kwenye issue serious! 500b USD ni pesa nyingi sana jamaa
 

Attachments

  • Screenshot_20230202-025851.jpg
    Screenshot_20230202-025851.jpg
    103.1 KB · Views: 6
Unaijua 500b USD au unatania mkuu??? Manchester united tu Haina thamani ya zaidi ya 20b USD. Acha unazi kwenye issue serious! 500b USD ni pesa nyingi sana jamaa
Jamaa hajui thamani ya fedha, 500B hakuna tajiri mwenye hela hizo duniani labda hela za familia..na Wafalme wa Saudia hawatangazwi na Forbes kutokana na kuwa hela zao ni za nchi..source of income na sio zao directly kama Elon Musk

Chelsea msimu huu imenunua wachezaji katika dirisha hili na la june...thamani ni sawa na ya Newcastle
 
Back
Top Bottom