Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

Mara kadhaa nimekuwa nikiona list ya matajiri wa Dunia na Afrika. Huko duniani sina tatizo maana niko mbali nao ila suala la Mo na Bakhresa huwa silielewi.

Kwa kutazama tu kawaida tena sio mimi peke yangu huwa tunaamini Bakhresa ana mali na utajiri mkubwa kuliko Mo. Lakini wenzetu "wataalamu" wa hayo mambo wanamuorodhesha Mo mbele ya Bakhresa.

Sasa nyie wajuvi wa JF naomba mtujuze ni vigezo gani hutumika ambavyo humbeba Mo mbele ya Bakhresa.

Njoo na hoja siyo ushabiki wa mipira

Mara kadhaa nimekuwa nikiona list ya matajiri wa Dunia na Afrika. Huko duniani sina tatizo maana niko mbali nao ila suala la Mo na Bakhresa huwa silielewi.

Kwa kutazama tu kawaida tena sio mimi peke yangu huwa tunaamini Bakhresa ana mali na utajiri mkubwa kuliko Mo. Lakini wenzetu "wataalamu" wa hayo mambo wanamuorodhesha Mo mbele ya Bakhresa.

Sasa nyie wajuvi wa JF naomba mtujuze ni vigezo gani hutumika ambavyo humbeba Mo mbele ya Bakhresa.

Njoo na hoja siyo ushabiki wa mipira
Kuongea point kazi mno mkuu, hivyo kupata jawabu ni ngumu kwa vijana wakileo... Hisia sanaaa yaan basi tena wenye kujenga hoja hawapi😁
 
MO Ana products ambazo kununua moja unatakiwa uwe na milion 200,bakharesa product zake ni za Bei za chini sana, mfano MO boxer moja ni Sawa na Azam ukwaju ngapi? Unaweza kuta Bhaharesa anatakiwa kuuza Ice cream laki 2 ili kuifikia faida ya boxer 10 za MO dewji
Hata MO anazo za ukwaju za jerojero
 
Kwahiyo rekodi za benki na TRA ni za wazi?!

Kuna wakati fulani enzi za JK ilitolewa orodha ya walipa kodi wakubwa Tanzania! Sio Bakhresa wala Mwamedi aliyetokea kwenye orodha ile!!

Mashabiki wa Bakhresa wakatetea Bakhresa ni Group of Companies, kwahiyo kodi zinalipwa na individual groups ndo maana hawachomozi! Hapakuwa na utetezi ulioleta sense kwanini METL nayo haikutokea!!

Ninachotaka kusema ni kwamba, kama kigezo kingekuwa ni tax returns, Mwamedi asingetokea! Vigezo kama hivyo vinatumika kwa nchi za wenzetu ambako hata Forbes inakuwa rahisi kupata hizo returns, ingawaje na kwenyewe, wakati mwingine Forbes huwa wanaingizwa chaka!
Chige jaribu kutafuta informer wowote wa Department ya Large Tax pale Samora watakwambia nani kati ya hao wawili wanalipa kodi kubwa..

Uzuri hawa wote wapo kwenye department moja ya Large Taxpayers..
 
Jarida la Forbes limetoa orodha ya matajiri barani Afrika ambapo Mohammed Dewji ameendelea kushikilia usukani kutokea Tanzania na kushika nafasi 15 barani Afrika.

Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana uwekezaji mkubwa Tanzania lakini kwenye hizi list hatujawahi kuwaona!




View attachment 2095043
Hata kwa kuangalia tu kwa macho...uwekezaj wa bakhresa africa na mo ni tofaut..hebu angalia viwanda vya bakhresa vilivyo east africa..chek project za mahotel..uwekezaj kwenye marine..uwekezaj kwenye media..soka..now anakiwanda cha sukar kikibwa east africa...kampun zake za logistic etc..haya bado products zingne ndogondogo anazo hazihesabik...ni hiv..bakhresa kuna uwezekano ni mtu wa mising flan ya dini snaaa nahis kwake hili jambo la kutangazwa etc halihafik kabisa ndomana hatak hata fanya hayo..maana forbes wanakufata na unawalipa kwa hyo kaz..sio wanakutangaza tu...

Mo uwekezaj wake hata kwa macho haishindan na bakhresa....

This is according to waarab wenzao wa kisutu ndo huwa wanaongea haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bakhresa anaupiga mwingi sana ila kaamua kupiga mikausho mikali ki bingwa
 
Mimi siamini kama Mo anamshinda GSM kwa mtonyo, maana GSM mpaka alithubutu kudhamini Ligi kuu kabla babra hajaleta fitina[emoji28]
Duh we jamaa bana utajiri wa GSM haukuti hata share alizo nazo mtt wa miaka 9 wa mo dewj
 
Chige jaribu kutafuta informer wowote wa Department ya Large Tax pale Samora watakwambia nani kati ya hao wawili wanalipa kodi kubwa..

Uzuri hawa wote wapo kwenye department moja ya Large Taxpayers..
Na Tz nzima pale LTD walipa Kodi wakubwa wako 400's na wanachangia 70% of domestic revenue.
 
Hata kwa kuangalia tu kwa macho...uwekezaj wa bakhresa africa na mo ni tofaut..hebu angalia viwanda vya bakhresa vilivyo east africa..chek project za mahotel..uwekezaj kwenye marine..uwekezaj kwenye media..soka..now anakiwanda cha sukar kikibwa east africa...kampun zake za logistic etc..haya bado products zingne ndogondogo anazo hazihesabik...ni hiv..bakhresa kuna uwezekano ni mtu wa mising flan ya dini snaaa nahis kwake hili jambo la kutangazwa etc halihafik kabisa ndomana hatak hata fanya hayo..maana forbes wanakufata na unawalipa kwa hyo kaz..sio wanakutangaza tu...

Mo uwekezaj wake hata kwa macho haishindan na bakhresa....

This is according to waarab wenzao wa kisutu ndo huwa wanaongea haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipokuwa mtafutaji huwezi elewa hata siku moja Utajiri wa Mo.

Utajiri wa Bakhresa unaonekana kwa binadamu wa kawaida, Gari, Boti, Hoteli, Ice cream etc.

Mo yeye anacheza na soko la Dunia anachange kutokana na Demand na supply. Unahitaji uelewa kidogo kumuelewa.

Nitakupa fact moja, Mo ana Export Tani 500,000 za Nafaka na mazao mengine, mazao yetu mengi kilo ni 1000 kupanda kama Pamba, Korosho, Dengu etc. Assume ni hio tsh 1000 average.

Tani laki 5 ni sawa na kilo milioni 500, zidisha kwa 1000 hapo unaongelea around Bilioni 500 revenue.

Bado viwanda Vyake ambavyo ni versatile sana kuanzia Mafuta ya petroli, Mafuta ya Kula, Vinywaji, Kanga, sabuni, Siagi, battery, biskuti, Tambi etc.

Jamaa ni Agent wa LG, TCL, Boxer, etc

Kontena Lina Tani 20 mpaka 30 akileta tu mzigo mmoja wa Sukari analeta mamia ya kontena, unakuta tani 60,000 zinaingia kwa Mkupuo. For comparison Kiwanda cha Bakhresa kitakuwa kinazalisha Tani 30,000.
 
Jarida la Forbes limetoa orodha ya matajiri barani Afrika ambapo Mohammed Dewji ameendelea kushikilia usukani kutokea Tanzania na kushika nafasi 15 barani Afrika.

Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana uwekezaji mkubwa Tanzania lakini kwenye hizi list hatujawahi kuwaona!




View attachment 2095043
Kawaulize forbes wenyewe

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Chige jaribu kutafuta informer wowote wa Department ya Large Tax pale Samora watakwambia nani kati ya hao wawili wanalipa kodi kubwa..

Uzuri hawa wote wapo kwenye department moja ya Large Taxpayers..
Mkumbuke pia kwamba wana viwanda mpk nchi jirani.
 
Ni ukiherere wa mtu tu kupeleka records zake Forbes na hela alizonazo

Ila kuna wengi sana wanazo ila wametulia kimya
Kuna yule tajiri wa UAE hayumo kwenye list ila alipoulizwa una kiasi gani bank akasema muulize mke wangu yeye ndio anafuatilia sana na kuhesabu ila mimi sijui kwa haki tena ninazo ngapi

Hao ndio hawajionyeshi
Hata mimi sitaji n’gooooo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni ukiherere wa mtu tu kupeleka records zake Forbes na hela alizonazo

Ila kuna wengi sana wanazo ila wametulia kimya
Kuna yule tajiri wa UAE hayumo kwenye list ila alipoulizwa una kiasi gani bank akasema muulize mke wangu yeye ndio anafuatilia sana na kuhesabu ila mimi sijui kwa haki tena ninazo ngapi

Hao ndio hawajionyeshi
Hata mimi sitaji n’gooooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Forbes hawahesabu wanasiasa ndio maana Waarabu wa Middle east hawamo.

Kwa Africa Raisi wa Angola wa zamani inakadiriwa utajiri wake ni $20B ama zaidi, kama Dangote wawili ama watatu
 
Watanzania wengi tuna uelewa mdogo sana juu ya mambo ya ulimwengu hasa nyanja za kiuchumi.....na kinachotunyima zaidi maarifa haya ni kijfanya wajuaji......Mtanzania mmoja ni mjuaji wa kila kitu...wewe mpe kichwa Cha habari tu......

Mambo mengine ni bora tuwaachie wataalamu watupe maarifa kuliko kuzungumzia hisia........

Katika zama hizi za taarifa viganjani maarifa mengi yapo wazi ni wewe kuamua kupata maarifa au kubakia kuwa mjinga.......

Hapa Jf tumebarikiwa kuwa na wataalamu wa nyanja mbali mbali ambao kupitia wao tunaweza kujifunza mengi na kujipatia maarifa makubwa.......
 
Back
Top Bottom