Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

afadhali umeliweka wazi mkuu
 
Sio wengi wao, wote matapeli tu.

Labda wenye afadhali kidogo ni wale wanaokupa masharti ambayo kimsingi ni mbinu za biashara (e.g. fungua duka mapema-chelewa kufunga, wajue wateja wako, usifuje pesa (acha anasa), weka nia/malengo, be there/get involved kwenye biashara yako hasa pesa kila siku (hii knasaidia kutoibiwa nk), etc. etc.)
 
Google
 
Akiwa tajiri hawezi kuwa mganga
 
Sio KILA mtu anaweza masharti,pesa sio ttzo kwake ttzo masharti magumu
Babu masharti magumu kama yapi? Kafara au nini?..bado watu wangekuwa wengi sana wanaotajirika kwa hiyo michongo..

Kuna exeggaration sana hapa..huwezi kuacha laki moja kwenye droo,ukaja kukuta millioni kumi..vitu vingine haviingii akilini
 
Kuna mmoja aliambiwa alale chini kwenye box bila godoro,tena asiwe analala chumbani usiku,jamaa akawa na majumba mazuri lakini halali ndani,akaona ujinga,akaenda hoteli siku moja akalala,aliporudi akaanza kuona vibweka,mara nyumba imeungua,gari ikazama mto rufiji mpaka akaishiwa,anagongea fegi sasahivi.
 
Babu masharti magumu kama yapi? Kafara au nini?..bado watu wangekuwa wengi sana wanaotajirika kwa hiyo michongo..

Kuna exeggaration sana hapa..huwezi kuacha laki moja kwenye droo,ukaja kukuta millioni kumi..vitu vingine haviingii akilini
Shetani hana zaidi ya kafara ya damu ya ndugu, watoto, wazazi,au Jamii.
Mfano.
.Mtoe kafara mtoto wako kisha umtwange kwenye kinu Ili wakuu wa giza wanywe damu na nyama yake.
.Toa kafara mama yako mzazi
.Mfanye msukule mama yako mzazi andaa chumba KILA mwisho wa mwezi mlawiti.
.Mtoe kafara mama yako mzazi kisha kata viungo vyake vya Siri vikaange
.Toa lita kadhaa damu za watu kila mwezi
.Sababisha ajali kila mwezi
.Mfanye mtoto wako taahira
Nk zipo nyingi Sana

Wafuasi wa imani za kuishi milele ufanya hivyo Ili kupata utajiri huo kufurahisha nafsi zao.
 
Huo utajiri masharti yake yasinizuie kugonga, kunishinikiza kuua mzazi ama kupata watoto, kutembelea gari na kupendeza hapo sawa!

Siku zote masharti ya kishetani ni magumu, just imagine una pesa ya kutosha halafu eti unakula hovyo, sehemu ya kulala hovyo, kuvaa hovyo, hata usafiri TZ 11, sasa hizo pesa za kazi gani?
 
Na hela zinapatikana vipi mkuu kufanya mtu kuwa tajiri sasa?

Please embu nieleweshe hapo..
 
Mr. Siko hapa kutangaza business.
Sitaomba hata mia kutoka kwa mwana jf kwa uzi huu au uzi wowote ule.
Am here just to share my experience I heard and I seen .
Narudia tena , sihitaji misaada wala pesa ya mwana jf kwa njia yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…